GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Madhara ya SANDA haya yameanzaYawezekana au Nahisi huenda Mamlaka inayohusika na kupima Akili timamu ( Afya ya Akili ) za Mashabiki wa Vilabu barani Afrika kuna Klabu moja itajikuta / itakuwa ndiyo Kinara wa kuwa na Mashabiki si tu Washamba ( Madunduka ) bali kwa 98% wana matatizo ya Akili ( Psychopaths )
ANGALIZO
Nimesema vilabu vya bara la Afrika sasa Wewe jichanganye kwa kujifanya upo Akilini mwangu kwa kujua nimeisema Klabu yako ili uyakoge....
MSAADA
Naomba kama kuna Mtu yoyote hapa mwenye Video Clips za Vilabu vikubwa Ulaya ambapo vikiwa Pre Season na kuchukua Vikombe huwa vikirejea Kwao vinapokelewa na Mashabiki wao Werevu Usiku mkubwa aniwekee hapa tafadhali.
It is a milestone and motivation for players .Ni mwanzo mzuri kwa kutwaa kombe wakati timu zote zilizoshiriki zinajitafuta kujiandaa na msimu mpya wa ligi za ndani na zakimataifa,(mashindano ya club bingwa Africa,), kumbe ilikuwa michuano ambayo hata kocha Gamondi mwanzoni aliikataa kwakudhani hawakuwa na maandalizi ya kutosha japokuwa mashindano yameleta hamasa kwa wachezaji na msisimko kwa mashabiki hivyo basi wataweza kuichangia timu kwa kununua jezi na michango mingine iliyoko kikatiba hata hamasa ya kwenda uwanjani, mashabi hutembea kifua mbele endapo timu inashindaYawezekana au Nahisi huenda Mamlaka inayohusika na kupima Akili timamu ( Afya ya Akili ) za Mashabiki wa Vilabu barani Afrika kuna Klabu moja itajikuta / itakuwa ndiyo Kinara wa kuwa na Mashabiki si tu Washamba ( Madunduka ) bali kwa 98% wana matatizo ya Akili ( Psychopaths )
ANGALIZO
Nimesema vilabu vya bara la Afrika sasa Wewe jichanganye kwa kujifanya upo Akilini mwangu kwa kujua nimeisema Klabu yako ili uyakoge....
MSAADA
Naomba kama kuna Mtu yoyote hapa mwenye Video Clips za Vilabu vikubwa Ulaya ambapo vikiwa Pre Season na kuchukua Vikombe huwa vikirejea Kwao vinapokelewa na Mashabiki wao Werevu Usiku mkubwa aniwekee hapa tafadhali.
Nimemkumbuka Mtume na Nabii Luc Eymael.Yawezekana au Nahisi huenda Mamlaka inayohusika na kupima Akili timamu ( Afya ya Akili ) za Mashabiki wa Vilabu barani Afrika kuna Klabu moja itajikuta / itakuwa ndiyo Kinara wa kuwa na Mashabiki si tu Washamba ( Madunduka ) bali kwa 98% wana matatizo ya Akili ( Psychopaths )
ANGALIZO
Nimesema vilabu vya bara la Afrika sasa Wewe jichanganye kwa kujifanya upo Akilini mwangu kwa kujua nimeisema Klabu yako ili uyakoge....
MSAADA
Naomba kama kuna Mtu yoyote hapa mwenye Video Clips za Vilabu vikubwa Ulaya ambapo vikiwa Pre Season na kuchukua Vikombe huwa vikirejea Kwao vinapokelewa na Mashabiki wao Werevu Usiku mkubwa aniwekee hapa tafadhali.