Hivi kula wali maharage ni kujishusha? Huyu Lemutuz sijui yupoje?

Status
Not open for further replies.
Nikiwa na mtoto kama Le Mutuz, najinyonga hadharani kabisa. Naweza kwenda Garden pale posta NBC nikajinyonga mubashara.

Heri kufa kuliko kutahayarika mbele ya kadamnasi.
Wewe temea chini na omba MUNGU yasikukute. Sidhani kama Mzee Malecela aliomba kuzaa toto kubwa jinga kama hili
 
Wewe temea chini na omba MUNGU yasikukute. Sidhani kama Mzee Malecela aliomba kuzaa toto kubwa jinga kama hili

- Siku ukniona natumia majina ya bandia kama wewe ndio ujue nakaribia kujiua maana simaini kama kuna ujinga unaozidi huo kwenye Dunia pole sana kwa baba yako U know maana unaishia kuzaa koroma linatukana wanaume kwenye mitandao kwa majina ya bandia na lina amini lina akili sana hahahahahahahaha

le Mutuz
 
mbona rafiki yako RC wa Dar es Salaam anatumia majina ya bandia na ni rafiki yako?
 
Hizi za uso mlizompa leo hasira zake zote ataenda wamalizia followers wake leo huko insta mana huwaga anawapelekapeleka kma wanawe..ole wako umpinge utakula bloku la hataree..
Huko insta ndo kunakufaa huku tunakupa za uso tu..
Makonda kamuharibu sana huyu mpuuz yuko tyri hta amkane babake mzazi kwa ajili ya Makonda huyu baba!kipindi dadake mwele anatumbuliwa alikua kimbelembele kutetea serikali ili kujikomba cha kushangaza mpk leo hana cheo zaid ya kua secretary wa makonda!shame!
 
- hapana mbona kama unajisema tabia zako maana msema njia si aliipitia ndio maana unaijua sana hi michezo ya mtoto wa kiume kama wewe kutingisha matako au wewe huwa unatingisha pua? hahahahahahahahah

le Mutuz


Wewe una bahati una mfano wa kikalio tuu na hili limwili km puto la kuchezea watoto ungeleta shida bora una mfano wa tako.............. huyo mwingine anaona dili kulikitisa i wonder ndiko zilikohamia sperm zote
 
Wewe una bahati una mfano wa kikalio tuu na hili limwili km puto la kuchezea watoto ungeleta shida bora una mfano wa tako.............. huyo mwingine anaona dili kulikitisa i wonder ndiko zilikohamia sperm zote

- HAHAHAHA lakini mbona kama unajisema mwenyewe una maana huna tako au what? Sasa unaendaje Chooni mkuu sana? hahahahaha tafuta matusi ambayo hayakuhusu next time maana kusema uliyonayo ni kujitukana hahahahaha

le Mutuz
 
Hivi kula wali maharage ni kujishusha, huyu lemutuz sijui yupoje. Kwa hiyo na yeye ni tajiri na hakustahili kula maharage ama.

Wakati Lemutuz analazimisha kupata followers, bill gates yeye ana 30k followers.
Lemutuz kadata maana alitegemea kupata uteuzi wa Ngosha lkn katupwa

In God we trust
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…