Hivi kula wali maharage ni kujishusha? Huyu Lemutuz sijui yupoje?

Hivi kula wali maharage ni kujishusha? Huyu Lemutuz sijui yupoje?

Status
Not open for further replies.
mpango wa kuuza ile nyumba ya kinyerezi sijui uliishia wapi? siku hizi anapiga tu picha yupo kwenye kiwanja cha watu Mbweni, alafu anasema ni kiwanja chake anajenga nyumba kumbe ni kiwanja cha watu! kama ana ubavu aonyeshe hati za kiwanja anachodai ni cha kwake ambacho kipo Mbweni Beach.

Nyumba aitoe wapi huyu mzee... anapenda sana kuwa na Assets but huishia kua na Liabilities tu... maana fake life lina gharama sana kuli maintain
 
Kusema ukweli kabisa,moja ya watu ambao ni wajinga kupita wote hapa Tz ni ww.

ww umri wako uko sawa n babu yangu ila mambo yako na tabia zako,mwanangu hana. Kwa kifupi though she is 12yrs ila anakuzidi akili.

Le jingaz

Sent using Jamii Forums mobile app
upload_2017-8-15_14-10-13.jpeg


- una maana mtoto wako miaka 12 ana ofisi kama hii posta mpya Sokione Drive na ana wafanyakazi kama nilivyo na wewe unao pia si ndio maana yako au sijakuelewa? Ok lets say unayosema ni kweli kwa nini unapoteza muda wako na mtoto wa miaka 12? hahahahahahahaha

le Mutuz
 
Kusema ukweli kabisa,moja ya watu ambao ni wajinga kupita wote hapa Tz ni ww.

ww umri wako uko sawa n babu yangu ila mambo yako na tabia zako,mwanangu hana. Kwa kifupi though she is 12yrs ila anakuzidi akili.

Le jingaz

Sent using Jamii Forums mobile app

Jamaa mwili jumba,akili zake sawa na kidonge cha piriton......
 
Nyumba aitoe wapi huyu mzee... anapenda sana kuwa na Assets but huishia kua na Liabilities tu... maana fake life lina gharama sana kuli maintain

- Kwani kuwa na nyumba ni nini wewe unayo mbona upo hapa kubishana na nisyekuwa nayo? hahahaha ninaishi kwenye apartment na wahindi matajiri wa dunia sijaona wanajenga nyumba? Sasa nyumba inakusaidia nini kama unakuja kubishana na niyekuwa nayo? hahahahahahaha tafuta wenyewe nyumba wenzako basi uongee nao kama ni dili hahahahahaha

le Mutuz
 
- Kwani kuwa na nyumba ni nini wewe unayo mbona upo hapa kubishana na nisyekuwa nayo? hahahaha ninaishi kwenye apartment na wahindi matajiri wa dunia sijaona wanajenga nyumba? Sasa nyumba inakusaidia nini kama unakuja kubishana na niyekuwa nayo? hahahahahahaha tafuta wenyewe nyumba wenzako basi uongee nao kama ni dili hahahahahaha

le Mutuz

Uache kutupiga fix sasa, mara unauza nyumba, mara sijui nini, mara hivi, mara una watoto wanasoma marekani.. kuishi kwenye apartment...sasa Babu kwani kusihi huko ndo kwamba una pesa au?? Hizo apartment unaweza kuta unaishi bure wewe
 
Mtoto wa kiume kitingisha matako uliona wapi? kama sio ................... anavaa kabisa nguo za michezo ili tako litoke khaaa

- hapana mbona kama unajisema tabia zako maana msema njia si aliipitia ndio maana unaijua sana hi michezo ya mtoto wa kiume kama wewe kutingisha matako au wewe huwa unatingisha pua? hahahahahahahahah

le Mutuz
 
Uache kutupiga fix sasa, mara unauza nyumba, mara sijui nini, mara hivi, mara una watoto wanasoma marekani.. kuishi kwenye apartment...sasa Babu kwani kusihi huko ndo kwamba una pesa au?? Hizo apartment unaweza kuta unaishi bure wewe

- Sasa mbona kama hujielewi maana unarukia mambo mengi sana kwa wakati mmoja, relax chagua moja at a time au? hahahahahah

le Mutuz
 
View attachment 566768

- una maana mtoto wako miaka 12 ana ofisi kama hii posta mpya Sokione Drive na ana wafanyakazi kama nilivyo na wewe unao pia si ndio maana yako au sijakuelewa? Ok lets say unayosema ni kweli kwa nini unapoteza muda wako na mtoto wa miaka 12? hahahahahahahaha

le Mutuz
Wallah mzee wako huwa anatamani angemwaga nje sperms ili usitokee maana unatia aibu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna kitu kibaya kama mwanaume kuwa mpambe Wa mwanaume wengine!!!!Mwanaume yapaswa usimame ufanye yako Kwa wajibu wako, siyo kushadadia waliofanya wengine
 
Hakuna kitu kibaya kama mwanaume kuwa mpambe Wa mwanaume wengine!!!!Mwanaume yapaswa usimame ufanye yako Kwa wajibu wako, siyo kushadadia waliofanya wengine

- Kama wewe ulivyo mpambe wa wanaokutuma hapa kumbe unajua madhara yake? hahahahahaha saafi sana uchae sasa

le Mutuz
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom