William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
Nafikiri huyu mtu akili yake bado kama ya teenager mtu mzima huwezi kuwa na akili za kijinga namna hii.
William ni mpumbavu sana kwakeli
Weka no. Yake hapa
Is that the servent quaters where the nanny goes to change or a mans shoe rack?
Namuonea huruma sana mzee Malecela, kuwa na toto kama hili halijielewi tabu tupu, muda ulitakiwa ukae na wajukuu zako bado unajiona una miaka 17 hahahahaView attachment 566667
- yaaap yaap relaxing at my home downtown hahahahahaha kuna mwenye tatizo hukoo? hahahahha
le Mutuz
Itakua ni kujitelezeshakama.kula maharage ni kujishusha na kula MLENDA kutakuwa nini?
Hao wanaopiga picha na wewe nao wapuuzi tu, mwenye akili zake hawezi piga picha na mtu kama wewe. Kila unae piga picha nae kawa mkeo tabu tupuView attachment 566660
- I know teeneger hahahahahaha ona bata batannn Fish MArket kwa mateeneger hahahahahaa
le Mutuz
Namuonea huruma sana mzee Malecela, kuwa na toto kama hili halijielewi tabu tupu, muda ulitakiwa ukae na wajukuu zako bado unajiona una miaka 17 hahahaha
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao wanaopiga picha na wewe nao wapuuzi tu, mwenye akili zake hawezi piga picha na mtu kama wewe. Kila unae piga picha nae kawa mkeo tabu tupu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao wanaopiga picha na wewe nao wapuuzi tu, mwenye akili zake hawezi piga picha na mtu kama wewe. Kila unae piga picha nae kawa mkeo tabu tupu
Sent using Jamii Forums mobile app
laiti huyo Lemutuz baba yake asingekua na ulwa basi leo hii ingekua hata smartphone hamiliki.
Nikiwa na mtoto kama Le Mutuz, najinyonga hadharani kabisa. Naweza kwenda Garden pale posta NBC nikajinyonga mubashara.
Heri kufa kuliko kutahayarika mbele ya kadamnasi.
Le mutuz anakwambia usijibane sana eti kwasababu ya kujenga hhhhh anakwambia batazzz kujenga yeye bado hhhhh... mzee wa miaka 59 hana hata nyumba anaishi kwenye apatment ya kupangisha hhhhhhhhhhhhhhhhh akina dab wenzake wanajenga yeye anajenga tumbo tu hhhhhhhhhhhhhhhhhh
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa na mwili wake wa puto kwani umejaa hewa tuu
Hahahahaha.......... mkuu tema mate chini kabla hujakumbwa na hii dhahamaNikiwa na mtoto kama Le Mutuz, najinyonga hadharani kabisa. Naweza kwenda Garden pale posta NBC nikajinyonga mubashara.
Heri kufa kuliko kutahayarika mbele ya kadamnasi.
Nipe kazi chief, ila ajira sitaki.View attachment 566693
- Studio inakaribia kuisha kama unahitaji ajira karibu sana mkuu, punguza hasira matatizo ya maisha yako mimi sio mchawi wako angalia kwenye kioo utamuona adui wako ni wewe mwenyewe! hahahaha
le Mutuz
hahaha dah wewe kiboko imebidi nicheke .Huishiwi na majibu lolView attachment 566687
- Ninamalizia kujenga my own Sstudio so achana na simu maana huwa hata sinunui napewa na makampuni ninayoyatangaza hahahahaha
le Mutuz