Hivi kula wali maharage ni kujishusha? Huyu Lemutuz sijui yupoje?

Hivi kula wali maharage ni kujishusha? Huyu Lemutuz sijui yupoje?

Status
Not open for further replies.
Nafikiri huyu mtu akili yake bado kama ya teenager mtu mzima huwezi kuwa na akili za kijinga namna hii.
upload_2017-8-15_12-54-42.jpeg


- I know teeneger hahahahahaha ona bata batannn Fish MArket kwa mateeneger hahahahahaa

le Mutuz
 
laiti huyo Lemutuz baba yake asingekua na ulwa basi leo hii ingekua hata smartphone hamiliki.
 
Le mutuz anakwambia usijibane sana eti kwasababu ya kujenga hhhhh anakwambia batazzz kujenga yeye bado hhhhh... mzee wa miaka 59 hana hata nyumba anaishi kwenye apatment ya kupangisha hhhhhhhhhhhhhhhhh akina dab wenzake wanajenga yeye anajenga tumbo tu hhhhhhhhhhhhhhhhhh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Le mutuz anakwambia usijibane sana eti kwasababu ya kujenga hhhhh anakwambia batazzz kujenga yeye bado hhhhh... mzee wa miaka 59 hana hata nyumba anaishi kwenye apatment ya kupangisha hhhhhhhhhhhhhhhhh akina dab wenzake wanajenga yeye anajenga tumbo tu hhhhhhhhhhhhhhhhhh

Sent using Jamii Forums mobile app

-
upload_2017-8-15_13-24-45.jpeg


- hahahaha pole sana mkuu ila maisha yangu ndio haya yanaendelea hayawezi kusimamishwa na binadam mjinga kama wewe bingwa wa kutukana kwa majina ya bandia pole sana hahahahaa ona mbebezzz huyo unaweza hiyo?


le Mutuz
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom