Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,095
- 22,731
Dah nimeanza kujifunza kitu. Kuna muda mtu unamuona anapita na kausafiri kake especially hivi vibaby walker, ukasema ameyapatia na ile hali hapo hiyo route anapokwenda akikosa anachokifuata basi anaweza asiweze kuamsha gari sababu ya kukosa fuel ya kumrejesha home.
Kuna mshikaji hapa analalamika yupo empty set gari taa ya tank ya mafuta ina blink na yeye mfukoni mia hana. Aiseee haya maisha yetu haya.
Mshawahi pitia situation kama hii wakulungwa. Najua wengi imetukuta hebu tushare experience mlifanya mbinu gani. Given kuwa hapo wazee wako wa busara nao wote juu ya mawe so kuwamake call wakutumie inakuwa ni wazo tasa.
Kuna mshikaji hapa analalamika yupo empty set gari taa ya tank ya mafuta ina blink na yeye mfukoni mia hana. Aiseee haya maisha yetu haya.
Mshawahi pitia situation kama hii wakulungwa. Najua wengi imetukuta hebu tushare experience mlifanya mbinu gani. Given kuwa hapo wazee wako wa busara nao wote juu ya mawe so kuwamake call wakutumie inakuwa ni wazo tasa.