Hivi kumbe unaweza toka na gari na hauna hata shillingi mia mfukoni

Hivi kumbe unaweza toka na gari na hauna hata shillingi mia mfukoni

Kuna siku maisha yalinifunga kamba za viatu, Niko kwenye foleni kabla mfugale haijajengwa. Ka cresta sikakazima mfukoni Nina 2,000 jamu niliyozuia, nusu mkojo niuache.

Konda Mmoja "gari za shemeji zenu, mnakuja kutuzimia huku, na hapo hata 3,000 huna".
Duh, ukafanyeje mwanangu
 
Dah nimeanza kujifunza kitu. Kuna muda mtu unamuona anapita na kausafiri kake especially hivi vibaby walker, ukasema ameyapatia na ile hali hapo hiyo route anapokwenda akikosa anachokifuata basi anaweza asiweze kuamsha gari sababu ya kukosa fuel ya kumrejesha home...
Ndio maana watu wengi siku hizi akishakuwa na kigari chake utakuta anaumwa pressure,ukimuuliza utasikia kwetu ipo ni ya kurithi,kumbe wengi sababu ni maisha ya mashaka anayoishi baada ya kulazimisha kuwa na kausafiri wakati hela yake ya mashaka...
 
Ukitoa gari barabarani hakikisha una fedha mfukoni ya emergency!
 
Usipokuwa mjanja na gari, haki linakufilisi
Kwa siku nilikua naweza kutumia 30k+ nlipiga hesabu nikaona mwez haujaisha ila nmetumia zaid ya 600,000/= kwasabab unakuta Kuna vtu vdogo vya kurekebisha huwez kumwambia alikupa gar inabid upambane,, nikaona hii mm siwez
 
Ndio maana watu wengi siku hizi akishakuwa na kigari chake utakuta anaumwa pressure,ukimuuliza utasikia kwetu ipo ni ya kurithi,kumbe wengi sababu ni maisha ya mashaka anayoishi baada ya kulazimisha kuwa na kausafiri wakati hela yake ya mashaka...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]eti presha ya kurithi
 
[emoji21] miaka ya nyuma ilikuwa inanitokea sana kwenye pikipik. Kila nikienda petrol station naweka ya Tsh 3k au 2k na inanizimikiaga sana njiani narudi nayo home nalikokota tena usiku mara kwa mara. Sitosahau siku niliwahi kuikokota for 6kilometa usiku wa manane tatizo ni petrol,

Gari pia inasiku ya tatu sasa nilienda nayo mjini ikanizimikia mafuta nimeipaki kwa rafiki yangu adi leo sina ata ela ya mafuta kwenda kuistart engine. Maisha aya unaenda town mishemishe dili zinagoma unarudi home na kipaseli cha dinner tu.
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mkuu wewe una experience ya kutosha. Mambo yote uliyoandika ni ya ukweli na yanatokea ktk jamii zetu. Kwenye jamii zetu ukishanunua gari hata kama ni chakavu unaitwa mshua.
Nakwambia acha tu.... Kuna kipindi niliuza gari nikaanza kuhesabu hekari kama mwaka hivi, aisee nikajua unafiki wa wanadamu the way walibadilika namna ya kunitreat. But nilipochukua nyingine ndio nikaanza kuadopt na hali halisi ya maisha
 
Kuna siku maisha yalinifunga kamba za viatu, Niko kwenye foleni kabla mfugale haijajengwa. Ka cresta sikakazima mfukoni Nina 2,000 jamu niliyozuia, nusu mkojo niuache.

Konda Mmoja "gari za shemeji zenu, mnakuja kutuzimia huku, na hapo hata 3,000 huna".
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ndio maana watu wengi siku hizi akishakuwa na kigari chake utakuta anaumwa pressure,ukimuuliza utasikia kwetu ipo ni ya kurithi,kumbe wengi sababu ni maisha ya mashaka anayoishi baada ya kulazimisha kuwa na kausafiri wakati hela yake ya mashaka...
Kuna mshikaji alipopata kikazi chake akafukuzia mkopo na hela ya dili zake akaagizia kluger.

Ngoma imefika hakuamini hiyo bili ya mafuta anayolipia daily hadi anakata tamaa ya kutumia gari.

Maana anakwambia kwa siku mafuta anaweka ya 30,000.

Juzi kati nakutana nae yupo na vits new model. Nikamwambia vipi mzee ananiambia dah zile gari huu sio wakati wake. Ngoja tusubirie kwanza awamu imalize muda wake.
 
Nakwambia acha tu.... Kuna kipindi niliuza gari nikaanza kuhesabu hekari kama mwaka hivi, aisee nikajua unafiki wa wanadamu the way walibadilika namna ya kunitreat. But nilipochukua nyingine ndio nikaanza kuadopt na hali halisi ya maisha
Aisee mkuu umepitia changamoto kama zangu. Mimi mwenyewe mwaka juzi nilinunua gari japo ilikuwa used iliyotumika bongo. Basi aisee nilipata marafiki wengi ghafla hata walipotokea hapajulikani.

Ilikuwa kuanzia saa moja tu asubuh simu zinamiminika kabla sijaamka watu wanajazana gheto ili nikitoka nipige nao misele. Sasa ile gari nikaiuza basi huwezi amini wale watu waliyeyuka ghafla hadi leo hawana habari na mimi.

Nina mpango mwakani ninunue nyingine na nitakuwa sitaki mazoea na mtu.
 
Kumbe matrafiki wanavuna sana, sijawahi kutoa zaidi ya 5k. Kumbe mpo mnaotoa 15k dah!!
Kwa miaka hii ukimpa elfu tano labda awe na njaa sana na awe amekuhurumia. Ila ni kuanzia 10k.

Hiyo elfu tano akikuandikia anenda kupewa kama commission ya kukusanya mapato.

Au haujui kuwa TRA na Traffic ni taasisi moja majengo tofauti
 
Aisee mkuu umepitia changamoto kama zangu.
Mimi mwenyewe mwaka juzi nilinunua gari japo ilikuwa used iliyotumika bongo. Basi aisee nilipata marafiki wengi ghafla hata walipotokea hapajulikani.

Ilikuwa kuanzia saa moja tu asubuh simu zinamiminika kabla sijaamka watu wanajazana gheto ili nikitoka nipige nao misele. Sasa ile gari nikaiuza basi huwezi amini wale watu waliyeyuka ghafla hadi leo hawana habari na mimi.

Nina mpango mwakani ninunue nyingine na nitakuwa sitaki mazoea na mtu.
Mimi hii yangu natumia muda mwingi nipo pekee yangu. Maana nimegundua watu ni wanafiki sana. Siazimi hata mtu akiniomba labda iwe msiba au kuna dharula ya mgonjwa. Ila mambo ya sijui harusi watakwenda kukodi uber huko.
 
Kwa miaka hii ukimpa elfu tano labda awe na njaa sana na awe amekuhurumia. Ila ni kuanzia 10k.

Hiyo elfu tano akikuandikia anenda kupewa kama commission ya kukusanya mapato.

Au haujui kuwa TRA na Traffic ni taasisi moja majengo tofauti
Sijawahi zaidi ya 5k mkuu, pale mapipa nilivuka zebra mtu anacross traffic kanipiga mkono, nikaimbisha dk2 akaniambia nenda. Yangu haitoki ovyo, nabisha mpaka jamaa anajiuliza huyu anatokea wapi..10k nawasikia nyie!!
 
Back
Top Bottom