Hivi kumbe unaweza toka na gari na hauna hata shillingi mia mfukoni

Hivi kumbe unaweza toka na gari na hauna hata shillingi mia mfukoni

Ni hatari sana.

Imenitokea wiki iliyopita natoka udsm, sasa kama unaenda kimara lazima uje upite mawasiliano hapa, sasa kuna hilux iko mbele yangu ikakatisha kwenye barrier zile za barabara ya fly over na ile ya kawaida...
Dah hiyo ilikuwa noma balaa hapo
 
Ha ha ha ha ha ha ha honest truth. Gari bila kipato ni sawa na mwanaume asiye na pesa kuishi na mwanamke mzuri anaetakwa na kila mwanaume.

Gari haitaki maigizo. Gharama inakuja katika sura nyingi..
Nina muhuni wangu mmoja alinunua gar shroom badae ilikuja kumshinda akaipak gar nzur tu kuuza hatak kuihudumia hatak ikabao imekaa tu watt wanaichezea, jamaa akiangali kodi ya nyumba, mahitaj yake na kipat anachoingiza mara gar aihudumie ikawa imemshinda, kwahiyo suala la kuangalia kipato Ni muhim pia mkuu ili usikutane na aibu kama hizo za kuendesha gar huku huna hata 100 mfukon unaweza ukamparamia hata mtu alaf ikawa tatzo
 
Nina muhuni wangu mmoja alinunua gar shroom badae ilikuja kumshinda akaipak gar nzur tu kuuza hatak kuihudumia hatak ikabao imekaa tu watt wanaichezea, jamaa akiangali kodi ya nyumba, mahitaj yake na kipat anachoingiza mara gar aihudumie ikawa imemshinda,, kwahiyo suala la kuangalia kipato Ni muhim pia mkuu ili usikutane na aibu kama hizo za kuendesha gar huku huna hata 100 mfukon unaweza ukamparamia hata mtu alaf ikawa tatzo
Na ndio ukute gari haina bima
 
Hakuna changamoto mbaya kama huna hela na unahitaji kutoka na gari. Na hapo hupendi kupanda usafiri wa umma.

Asikwambie mtu.
Especially kipindi kile cha korona ambapo ilikuwa tunapanda kwa foleni sana. Lakini pia bila barakao ni tatizo.
 
sijaribu asee,never bora nitoke nikapande bajaji huko...

ikitokea hivyo labda niwe napeleka gari garage naenda liacha huko...
 
Hio ni hatari sana achilia mbali gari kutembea tu bila hata walau 10k mfukoni siwezi kabisa yani siwezi kutoka hata kwenda kwa jirani bila chochote mfukoni mana dharura haina wake up call
 
Kuna jamaa yang yet alinipa gar akaniambia tumia tu kweny mizunguko yako kwakua ilikua imepak tu,, ile gar nilitumia wik 3 tu nikamrudishia akashangaa chuma imepak nje ya get nikamkabidhi key.

Nilijikuta naishi kwa gharama sana ala kipato cha kawaida ningeweza kuimudu ndiyo ila nisingeweza kusave pesa,, mm naamin kila kitu na wakat wake.
Usipokuwa mjanja na gari, haki linakufilisi
 
Anaishi maisha ya hatari sana huyo jamaa, ukiweka gari barabarani hakikisha una angalau 50,000 ya kuongea na traffic, wale jamaa hawaelewi lugha nyingine.
Achilia mbali trafiki kuna ajali ndogo ndogo kama kuchubua rangi na kubamiza bampa za watu ikitokea lazima uaibike.
 
Kuna jamaa yang yet alinipa gar akaniambia tumia tu kweny mizunguko yako kwakua ilikua imepak tu,, ile gar nilitumia wik 3 tu nikamrudishia akashangaa chuma imepak nje ya get nikamkabidhi key.

Nilijikuta naishi kwa gharama sana ala kipato cha kawaida ningeweza kuimudu ndiyo ila nisingeweza kusave pesa,, mm naamin kila kitu na wakat wake.
Wewe una akili sana mkuu.
Kuna watu wengine vichwa boksi ndio wanapenda waazime magari wapate kiki mjini.
 
Mkuu Ni risk Sana ilishawahi kunikuta mwaka 2011 nilitoka home Nina Mia tano bahati mbaya Sana nikamgonga mke wa hansi kitine aliekuwa mkurugenzi wa usalama zamani bahati nzuri kwangu mama alikuwa anaendeshwa na alitambua Mimi ni muungwana akaniambia nenda tu mwanangu dooooh sitaisahau siku hiyo.
 
Kuna siku maisha yalinifunga kamba za viatu, Niko kwenye foleni kabla mfugale haijajengwa. Ka cresta sikakazima mfukoni Nina 2,000 jamu niliyozuia, nusu mkojo niuache.

Konda Mmoja "gari za shemeji zenu, mnakuja kutuzimia huku, na hapo hata 3,000 huna".
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Makondakta huwa wana hasira sana na watu wenye private cars.
 
Ukiwa na chombo Cha Moto barabarani bila hela au nidhamu yahela unabeti
 
Ha ha ha ha ha ha ha honest truth. Gari bila kipato ni sawa na mwanaume asiye na pesa kuishi na mwanamke mzuri anaetakwa na kila mwanaume.

Gari haitaki maigizo. Gharama inakuja katika sura nyingi...
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mkuu wewe una experience ya kutosha.

Mambo yote uliyoandika ni ya ukweli na yanatokea ktk jamii zetu. Kwenye jamii zetu ukishanunua gari hata kama ni chakavu unaitwa mshua.
 
Back
Top Bottom