Hivi kumbe unaweza toka na gari na hauna hata shillingi mia mfukoni

Hivi kumbe unaweza toka na gari na hauna hata shillingi mia mfukoni

Dah una bahati sana. Mimi mwaka fulani niliamshwa asubuhi sana nimpeleke bi mkubwa kazini.
sasa nilikua bado nina usingizi huku naendesha gari nilimkosa kidogo sana kumgonga gari Mkuu wa Majeshi(jina kapuni) alikua anafanya mazoezi ya kutembea yeye na bodyguard wake. Mpaka sasa hua nikikumbuka naogopa sana.
Huu ulikuwa ni zaidi ya msala.
 
Dah una bahati sana. Mimi mwaka fulani niliamshwa asubuhi sana nimpeleke bi mkubwa kazini.
sasa nilikua bado nina usingizi huku naendesha gari nilimkosa kidogo sana kumgonga gari Mkuu wa Majeshi(jina kapuni) alikua anafanya mazoezi ya kutembea yeye na bodyguard wake. Mpaka sasa hua nikikumbuka naogopa sana.
Ha ha ha ha ha ha ha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ungechezea mikebe
 
Back
Top Bottom