Diana Spencer
JF-Expert Member
- Nov 14, 2018
- 3,609
- 5,144
Hii ni kweli kabisa na sitathubutuUkianza kutafuna mademu kwenye gari, utapata vi ajali vidogo vingi sana, angalia magari ya wanzinzi uone yalivyochoka, nsiushaurj usijaribu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni kweli kabisa na sitathubutuUkianza kutafuna mademu kwenye gari, utapata vi ajali vidogo vingi sana, angalia magari ya wanzinzi uone yalivyochoka, nsiushaurj usijaribu
Yule askari atakuwa hakupewa tunda na mkewe asubuhi ya kuamkia kazini. Hakuwa na element ya uelewa hata kidogo.Ungemuwahi mapema ukaomba samahani kwani kweli umekosea na ukampa elf5/10 fasta ukaendelea na ratiba zako
Huyo nae ana balaa sana, gari yenyewe inagonga 6km/l halafu unafosi kutembelea taa tena bongo? Mie siendeshi gari inayowaka taa Daslamu! Licha ya kero za matrafiki tu ila Distance za Dar ni za 10km+ point to point halafu mafoleni mengi sana.Kuna brazamen mmoja anaendesha Mark X ila mara kwa mara inamtokea gari kumzimikia njiani akiwa anafosi mafuta yamfikishe nyumbani
Hapo asubuhi alitoka taa ya mafuta inamuwakia tyr ila akakomaa na reserve fuel
Kwa muda mrefu sana nime-roll na washkaji wa hivyo, ilikuwa ni hasara tu na umbea wa kijumbe.Yes, sasa kama una marafiki kama 200 na hakuna mwenye uwezo wa kukupa hata million ukiwa na shida, hizo si ni takataka?
Nilipata Starlet model kabisa inauzwa Million 2, mfukoni nikawa na moja na nusu, washkaji kwa umoja wao wakashindwa nikopesha kilo tano. Mbaya wanataka niliyo nayo tuile. Nikasanuka asee, na leo rasmi nimewabatiza "Takataka"Yes, sasa kama una marafiki kama 200 na hakuna mwenye uwezo wa kukupa hata million ukiwa na shida, hizo si ni takataka?
Dah pole sana!Nilipata Starlet model kabisa inauzwa Million 2, mfukoni nikawa na moja na nusu, washkaji kwa umoja wao wakashindwa nikopesha kilo tano. Mbaya wanataka niliyo nayo tuile. Nikasanuka asee, na leo rasmi nimewabatiza "Takataka"
Hao sio washkaji aiseeNilipata Starlet model kabisa inauzwa Million 2, mfukoni nikawa na moja na nusu, washkaji kwa umoja wao wakashindwa nikopesha kilo tano. Mbaya wanataka niliyo nayo tuile. Nikasanuka asee, na leo rasmi nimewabatiza "Takataka"
Pole mkuu...Nilipata Starlet model kabisa inauzwa Million 2, mfukoni nikawa na moja na nusu, washkaji kwa umoja wao wakashindwa nikopesha kilo tano. Mbaya wanataka niliyo nayo tuile. Nikasanuka asee, na leo rasmi nimewabatiza "Takataka"
Ila saa zngne jitathmini nawew pia inawezakana ukikopeshwa hua haulipi kwa mda muafaka n.k so mtu anakua hana imani nawew na kumbuka 500k nindefu piaNilipata Starlet model kabisa inauzwa Million 2, mfukoni nikawa na moja na nusu, washkaji kwa umoja wao wakashindwa nikopesha kilo tano. Mbaya wanataka niliyo nayo tuile. Nikasanuka asee, na leo rasmi nimewabatiza "Takataka"
Mpaka niamue kuwaita hivyo ndugu nimejitathmini asee.Ila saa zngne jitathmini nawew pia inawezakana ukikopeshwa hua haulipi kwa mda muafaka n.k so mtu anakua hana imani nawew na kumbuka 500k nindefu pia
Mimi maisha yakinizidia kimo hua nauza vitu vyangu. Naona hata nikija kumiliki gari siku nikizidiwa kimo naliweka sokoni mapema asubuhi na jua linawaka.
Huu usemi ndiyo unaoniongoza kabla sijaweka kitu sokoni.Kimfaacho mtu chake..
[emoji23][emoji23][emoji23]Huu usemi ndiyo unaoniongoza kabla sijaweka kitu sokoni.
Sasa si unamwambia niandikie utalipa baada ya siku 7Imagine hapo ndio umevuka zebra na raia walikuwa wanapita.... Dah....
Babu... Laki tano, serious?! Unaendesha hummer au Vogue?!
Mkuu ww ni mgeni JF?
myb A380/ 747Babu... Laki tano, serious?! Unaendesha hummer au Vogue?!
Dah una bahati sana. Mimi mwaka fulani niliamshwa asubuhi sana nimpeleke bi mkubwa kazini.Mkuu Ni risk Sana ilishawahi kunikuta mwaka 2011 nilitoka home Nina Mia tano bahati mbaya Sana nikamgonga mke wa hansi kitine aliekuwa mkurugenzi wa usalama zamani bahati nzuri kwangu mama alikuwa...