😀😀Kuna siku maisha yalinifunga kamba za viatu, Niko kwenye foleni kabla mfugale haijajengwa. Ka cresta sikakazima mfukoni Nina 2,000 jamu niliyozuia, nusu mkojo niuache.
Konda Mmoja "gari za shemeji zenu, mnakuja kutuzimia huku, na hapo hata 3,000 huna".