Hivi kumbe unaweza toka na gari na hauna hata shillingi mia mfukoni

Hivi kumbe unaweza toka na gari na hauna hata shillingi mia mfukoni

Mimi sio mgeni mjini na njia hiyo siijui
Kama huijui hiyo njia naomba ukubali kuwa ni mgeni. Sio lazima kila mtu awe mzawa wa DSM wageni lazima muwepo ndio maana kuna Ubungo Terminal kwa ajili ya kuwapokea. Unaijua njia ya Goba to Malamba mawili kwenda Kinyerezi?
 
Siku nyingine ukitoka UD kwenda Kimara kuna njia ya lami inakuja kutokea pake Bahama Mama, PUMA Petrol Station sio lazima urudi mawasiliano. Nyie ndio mnasababisha foleni wakati kuna njia nzuri mbadala. Nadhani we ni mgeni mjini

Unazunguka sana hii njia, naifahamu vizuri na ilikuwa rahisi kupitia ubungo kwani nlikuwa kitivo cha uhandisi huku chini(CoET)
 
Sasa mbona kwenye hoja yako uliandika kuwa ulikuwa unaenda Kimara kutoka UDSM kupitia Sam Nujoma Road
Hata hivo ningekua mimi pia hiyo njia unayozungumzia wewe siijui sababu sio mwenyeji hata mimi nikitaka kuenda kimara kutoka udsm ningepita sam nujoma road
 
Unazunguka sana hii njia, naifahamu vizuri na ilikuwa rahisi kupitia ubungo kwani nlikuwa kitivo cha uhandisi huku chini(CoET)
unaendaje kwenye foleni wakati kuna njia haina jam wala mataa?
 
Dah nimeanza kujifunza kitu. Kuna muda mtu unamuona anapita na kausafiri kake especially hivi vibaby walker, ukasema ameyapatia na ile hali hapo hiyo route anapokwenda akikosa anachokifuata basi anaweza asiweze kuamsha gari sababu ya kukosa fuel ya kumrejesha home..
"kwa m'bongo wa kawaida hilo ni jambo la kawaida mnooooooooo na ukiomba lift anakunyima usije ukamletea mkosi njian..........."
 
Ha ha ha ha ha ha ha honest truth. Gari bila kipato ni sawa na mwanaume asiye na pesa kuishi na mwanamke mzuri anaetakwa na kila mwanaume.

Gari haitaki maigizo. Gharama inakuja katika sura nyingi...
....Gari linaweza likakupa heshima ambazo hukustahili..[emoji23][emoji23]
 
Kawaida sana, katika maisha kuna ups n downs, ukielewa hili huwezi dharau MTU yoyoye anayepitia magumu over!
 
Kitu nilichojifunza kwenye huu uzi wana JF wameongea uhalisia wa maisha yao, kule kwwnye nyuzi nyingine ukizisoma unaweza ukafikiri kila mwana JF anamiliki ndinga la kuanzia milionj 50..

Anyway, nirudi kwenye point...ni kweli ukiwasha gari uwe na akiba yoyoye mfukoni mathalani elfu 10 kwenda juu....na hii elfu kumi tafuta change kabisa za buku buku....unaweza kunasa hata kweny katope watoto wa kitaa wakakupush wakakudai hata buku 2,
kama huna hizo buku 2 utapewa maneno ya shombo kama mchuzi wa bata..

Lakini pia, tuwe tunatabia ya kumuomba mungu atuepushe na majanga ya ajali huko bara barani kwa sababu gari ni tatizo linalotembea..

Linaweza kugonga gari la mwenzako, ukalipa.

Linaweza likagonga ukuta wa nyumba ya mtu, ukamjengea

Linaweza kugonga mtu, ukamtibu au ukagharamia mazishi..

Linaweza kukupatia ajali ukapata ulemavu..

Hivyo tumtangulize Mungu tunapoendesha hivi vyombo..


Ni hayo tu WAJUMBE
 
"kwa m'bongo wa kawaida hilo ni jambo la kawaida mnooooooooo na ukiomba lift anakunyima usije ukamletea mkosi njian..........."
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kitu nilichojifunza kwenye huu uzi wana JF wameongea uhalisia wa maisha yao, kule kwwnye nyuzi nyingine ukizisoma unaweza ukafikiri kila mwana JF anamiliki ndinga la kuanzia milionj 50..

Anyway, nirudi kwenye point...ni kweli ukiwasha gari uwe na akiba yoyoye mfukoni mathalani elfu 10 kwenda juu...
Amina mkuu.... Amina.....

Mimi huu ni mwana na miezi nane nashukuru MUNGU, ukiacha hivi vitiketi na vibao vya matrafiki, sijapata ajali hata ya kuingiza gari kwenye shimo, nadhani malaika wa ulinzi niliopewa watakuwa wananijua vema sana tokea utotoni so wananipa ulinzi kiwango cha platinum.
 
Amina mkuu.... Amina.....

Mimi huu ni mwana na miezi nane nashukuru MUNGU, ukiacha hivi vitiketi na vibao vya matrafiki, sijapata ajali hata ya kuingiza gari kwenye shimo, nadhani malaika wa ulinzi niliopewa watakuwa wananijua vema sana tokea utotoni so wananipa ulinzi kiwango cha platinum.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kitu nilichojifunza kwenye huu uzi wana JF wameongea uhalisia wa maisha yao, kule kwwnye nyuzi nyingine ukizisoma unaweza ukafikiri kila mwana JF anamiliki ndinga la kuanzia milionj 50.
[emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji86]apeche aloo
 
Back
Top Bottom