bacha
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 4,282
- 797
Havibadiliki vipi? mnajiendekeza tu wanaume, kututongoza wakati mnajua hamna mpango na sisi unataka ukague then uishie zako. Kwa nini msisubiri tuwatongoze wenyewe? Tena wanaume hawana haya mtaani anaweza tongoza hata wanawake 10 na wakikubali wote anawalala bila wao kujua. Au hata maofisini anatongoza huyu, mara huyu mradi uharibifu tuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu. Hilo nalo hamuwezi badilika?
Mnatuumiza na uongo wenu, kama mtu huna mpango nae unamtongoza wa nini? kwani lazima kila unaemtamani umlale? tena kwa mauongo meeeeeeeeeeeeeengi na ulaghai kibao.
BADILIKENI UCHAFUZI TU
Samahani kama kuna niliemkera
sasa Maty, tukiwatongoza shida,
tukiacha kuwatongoza balaa,
mtaanza kujiona mna nuksi......................
jamani tufanye nini sasa?
Ila nashukuru, kwa sasa hivi mpo juu kweli kututongoza.................