Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hela zipi hizo??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ana hela mbaya mnoo!
Gundu ya nini mbona alifunga ndoa kubwa sana kitambo sema haikudumu sana, sio ya dogo janja ile ilikuwa kiki tuHivi nae hajapataga zumbukuku lakumvesha pete kama yule mwenzake akafunga nae ndoa kuondoa gundu?
Wewe wa wapi wewe??!!huyu demu ana mavumba kinomaa hotel anayomiliki balaa ila siitajiKwenye urembo Sina neno Kila mtu anao mtazamo wake katoka urembo... kwenye helaa mmhh labda niwape mic wafuatiliaji wa mambo ya town
Chunguza ana pesa huyo demu na anamilki hotel tamu kinoma sema siitaji kazi kwako kuitafutaKwa hela zipi hizo??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wazazi wako wanajua kama mtoto wao upo mitandaoni una type ushuzi ?Chunguza ana pesa huyo demu na anamilki hotel tamu kinoma sema siitaji kazi kwako kuitafuta
Kwa biashara hipi?Kwa hela zipi hizo??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aliwahi kuolewa na yule footballer aliyekufa bigirimana sijui!?Hivi nae hajapataga zumbukuku lakumvesha pete kama yule mwenzake akafunga nae ndoa kuondoa gundu?
Bongo we chenji chenji 100000Kwa hela zipi hizo??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]