Ndikumana sio BigirimanaAliwahi kuolewa na yule footballer aliyekufa bigirimana sijui!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndikumana sio BigirimanaAliwahi kuolewa na yule footballer aliyekufa bigirimana sijui!?
Wee unaijua hiyo hotel?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe wa wapi wewe??!!huyu demu ana mavumba kinomaa hotel anayomiliki balaa ila siitaji
Wee shost hebu niache, Uwoya yupi mwenye hotel? Huyu aliyezaa na ndiku? Mama krish? ?au yupi?Chunguza ana pesa huyo demu na anamilki hotel tamu kinoma sema siitaji kazi kwako kuitafuta
Shangaa wee mwenzangu, uwiiiih.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan nimecheka mnooo khaaaaah.Bongo we chenji chenji 100000
Ziwe 1000 Gawande zirushe,kesho utaitwa bilionea
Ova
HehehChunguza ana pesa huyo demu na anamilki hotel tamu kinoma sema siitaji kazi kwako kuitafuta
Inamana hata chura anatoa kwa ngapiWa kawida sana... Uzuri wake hua hanaga iyana, alafu kote kote anakwenda...
Hana gharama... sababu ana mambo yake meusi kibao...Inamana hata chura anatoa kwa ngapi
Hayo umeyasema wewe uwoya ni mrembo na ana hela sana uwezo wa kumlipa to yeye kwa miaka 1000 ijayo anao!
Networth yake tsh ngapi anazo? Na source ya izo pesa ni nn? Au mnaropokaga tu fulani ana pesaAna hela mbaya mnoo!
Nenga?Hivi nae hajapataga zumbukuku lakumvesha pete kama yule mwenzake akafunga nae ndoa kuondoa gundu?