Nani shost yako??!!ππππ halafu kama hujui kitu ni bora ukae kimya kuliko kuongea kitu ambacho hukijui wewe??!!!no research no speakWee shost hebu niache, Uwoya yupi mwenye hotel? Huyu aliyezaa na ndiku? Mama krish? ?au yupi?
Kawadanganye washamba wenzio, uwoya huyu ambaye anajimbeleza na kujishaua kwa The Don asiachwee, eti ana hela? Au kulipa 4m masaki alikopangaa ndo ana hela?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka mbavu cna woiiiiih
Wee ndo hujui kitu ukae kimyaa tyuuh, unajichoreshaa buree.Nani shost yako??!![emoji849][emoji849][emoji849][emoji849] halafu kama hujui kitu ni bora ukae kimya kuliko kuongea kitu ambacho hukijui wewe??!!!no research no speak
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Bongo we chenji chenji 100000
Ziwe 1000 Gawande zirushe,kesho utaitwa bilionea
Ova
[emoji28][emoji28][emoji28]HIVI UNAWEZAJE KUMUITA MTU MREMBO KWA PICHA ZA EDITING?
KAMA HUNA KAZI YA KUFANYA NENDA UNYE, UTAWAZE ULALE,
Acha umbeya. Hela za watu unazipimaje?
Hahaha kweli we mzee mzima mwenzangu kmbe wote tumepitwaHuyu ndio Aunt ake Nandi?
[emoji1787][emoji1787][emoji847]Wewe wa wapi wewe??!!huyu demu ana mavumba kinomaa hotel anayomiliki balaa ila siitaji
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Bongo we chenji chenji 100000
Ziwe 1000 Gawande zirushe,kesho utaitwa bilionea
Ova
[emoji28][emoji28]coca[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan nimecheka mnooo khaaaaah.
Yaan mama krish ana hela? Wallah Dunia maajabu hayakosekani.