Hivi kuna gharama za uhamisho kwa mtoto wa Shule ya Msingi?

Hivi kuna gharama za uhamisho kwa mtoto wa Shule ya Msingi?

Mbona kakutajia pesa ndogo sana hiyo?????

Unajua gharama za bundles na nauli??????au unafikiri hilo kadi la mwanao linajipeleka lenyewe halmashauri?


TAFUTA HELA.
Kabisa mkuu.
Kwanza mfungua uzi alipaswa awe na kugha nzuri kwa mwalimu husika angepewa maelekezo yote muhimu.
Uzuri wa watanzania ukienda ofisi ya mtu na lugha nzuri utasaidiwa tu kabla hata ya hiyo elf 10.

Kuna gharama nyingi mtoa mada angejiongeza kabla ya official fees kama ulizoainisha ( nauli, bundle, photocopy) etc .
 
Nimekwenda shule fulani hapa Dar kutaka kumuhamisha kijana wangu anayeingia STD 7 nikaambiwa gharama ni sh 10000/=, Is this real?

Cha ajabu risiti hatoi nilipo muhoji maelezo yake hayakunitosha. Kwa vile nilikuwa na assignment ya haraka sikuwa na MUDA wa kubishana nae.

Lakini Kama itakuwa sio kweli kesho namuibukia fasta. Elfu kumi sio mchezo.
Una ushahidi kuwa ulimpa Hela?
 
Nimekwenda shule fulani hapa Dar kutaka kumuhamisha kijana wangu anayeingia STD 7 nikaambiwa gharama ni sh 10000/=, Is this real?

Cha ajabu risiti hatoi nilipo muhoji maelezo yake hayakunitosha. Kwa vile nilikuwa na assignment ya haraka sikuwa na MUDA wa kubishana nae.

Lakini Kama itakuwa sio kweli kesho namuibukia fasta. Elfu kumi sio mchezo.
Embu twambie kwanza process nzima mpaka umetoa Hela Ili tujue kama ni halali au lah? Pia uhamisho umeshakamilika au Bado?
 
Issue sio kiasi Cha pesa, Cha msingi Je ni halali ? Kama huwezi kufuatilia Mambo madogo., ujue Hata haki zako zingine hutakuwa na ujasiri wa kufuatilia.

Na hapa wabongo ndio tunafeli. kwani tozo ni hela nyingi? Mbona imeleta msuguano mkubwa
 
Kuna gharama ambazo mkuu wa shule anaingia kukamilisha uhamisho huo acha njaa broo kwanza hiyo ndogo
 
Nimekwenda shule fulani hapa Dar kutaka kumuhamisha kijana wangu anayeingia STD 7 nikaambiwa gharama ni sh 10000/=, Is this real?

Cha ajabu risiti hatoi nilipo muhoji maelezo yake hayakunitosha. Kwa vile nilikuwa na assignment ya haraka sikuwa na MUDA wa kubishana nae.

Lakini Kama itakuwa sio kweli kesho namuibukia fasta. Elfu kumi sio mchezo.
Hakuna gharama, hiyo hela ya kutuliza vumbi la chaki tu.
 
Issue sio kiasi Cha pesa, Cha msingi Je ni halali ? Kama huwezi kufuatilia Mambo madogo., ujue Hata haki zako zingine hutakuwa na ujasiri wa kufuatilia.

Na hapa wabongo ndio tunafeli. kwani tozo ni hela nyingi? Mbona imeleta msuguano mkubwa ktk jamii
Hiyo pesa ya bando kuingilia kwny mfumo kumhamisha mtoto.
Relax
 
Hii nadhani ni Gov school. Issue yangu NI private school.
Fomu, picha, mtandao na nauli wilayani umeshughulikia mwenyewe?? Kama unaenda nje ya Mkoa mpk mkoani pia.
Tena uende ukamwongeze 20,000 kama hujayafanya hayo yote mwenyewe.
 
Sie binadamu wengine huwa hatuwezi kujishtukia. Mtu kakufanyia shughuli yako kwa kivyovyote vile(Mentally or physically), kaupoteza muda wake pia. Unakuta hakuna fadhila, ndio maana mtu anaamua kupanga kautaratibu kake.

Imagine, mmepangana zaidi ya mtu mmoja mnasubiri huduma hiyo. Siku inaisha akiwa anashighulikia kazi yenu halafu mwisho wa siku hola hata kopo la maji anashindwa kununua.
 
Back
Top Bottom