Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Fake fakeTommy yamejaa kariakoo mbona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fake fakeTommy yamejaa kariakoo mbona
😂 muonekano wa mtu unachangia pia nguo kuonekana ya tofauti bila kusahau mpangilio wa kodi na rangi.Shida ya hizo brand mtu akivaa kopi ya elfu 40 na wewe uliyevaa ya laki 2 nyote kwenye harusi mtaonekana mmenunua elf 20 tu.
Original inadumu ikiwa na ubora.Shida ya hizo brand mtu akivaa kopi ya elfu 40 na wewe uliyevaa ya laki 2 nyote kwenye harusi mtaonekana mmenunua elf 20 tu.
sawa ila bongo original stuff dont make sense kabisaOriginal inadumu ikiwa na ubora.
Mkuu inamake sense, inakuondoa kwenye manunuzi ya kitu kilekile mara kwa mara.sawa ila bongo original stuff dont make sense kabisa
Okay hio ni sahihiMkuu inamake sense, inakuondoa kwenye manunuzi ya kitu kilekile mara kwa mara.
Fake. Tommy Hill hatununui Kariakoo. Huwezi ikuta pale hata kwa bahati mbaya. Labda ukute mtumba.Kuna duka moja pale karibu na lumumba ofisi ndogo CCM nilingia sikumbuki jina Shirt 290,000 suruali cardet 295,000 brand ni Tommy
Weka pichaKadeti ni Mtumba Original tu, kama una kuanzia 45,000/= nikupe kadeti ya TEXAS na ENGLAND uivae mpaka uchoke na haipauki....jinsi haisogei hapo
Kariakoo kuna duka moja la mpemba miaka ya 2005 alikuwa anauza nguo original kutoka UK na France sikumbuki jina . Siyo kila duka Kariakoo wanauza counterfeit .Fake. Tommy Hill hatununui Kariakoo. Huwezi ikuta pale hata kwa bahati mbaya. Labda ukute mtumba.
Huwezi kuta kitu cha maana kinauzwa Kariakoo. Inawezekana alijaribu akashindwa akahama.Kariakoo kuna duka moja la mpemba miaka ya 2005 alikuwa anauza nguo original kutoka UK na France sikumbuki jina . Siyo kila duka Kariakoo wanauza counterfeit .
Bado sijaelewa point yako ni nini. Kariakoo hakuna wateja wenye fedha ya kununua bidhaa quality? Kariakoo kuna biashara ambazo si halali ? Nini kinasababisha mfanyabiashara ashindwe kuuza bidhaa bora katika eneo la Kariakoo?Huwezi kuta kitu cha maana kinauzwa Kariakoo. Inawezekana alijaribu akashindwa akahama.
Muwe mnaweka mambo wazi tuambieni hizo chimboKadeti ni Mtumba Original tu, kama una kuanzia 45,000/= nikupe kadeti ya TEXAS na ENGLAND uivae mpaka uchoke na haipauki....jinsi haisogei hapo
sasa hayo ni si ni ma fakeTommy yamejaa kariakoo mbona
kwa bongo ni msala kuvaa designer brand nishaacha.Alikuona umepigwa sababu Aggrey kuna mazaga kichele😂
Hili ni chimbo liko Arusha kuna jamaa ni Mkenya analetewaga na Mmarekani naye anazileta ArushaMuwe mnaweka mambo wazi tuambieni hizo chimbo