Hivi kuna kadeti zenye ubora kuzidi VICOBSS?

Hivi kuna kadeti zenye ubora kuzidi VICOBSS?

Sana .nina boxer ya Louis Vuitton nilinunua mwaka 2007 mpaka leo naivaa na haijatoka hata kipande cha uzi nikiivaa utasema nimenunua jana. Aise kuvaa vitu original raha sana tatizo bei zake wengi hatuziwezi.
Huu sasa ni ukoloni uliopitiliza. Umri wa miaka 17? Haukui au umedumaa?
 
Hivi bado woolworths wana operate hapa dar kuna kipindi kulikua na duka lao kule posta hawa wa South nao wanauza vitu quality ya ulaya mali safi. Hata arusha walikua na duka lao pale karibu na TFA
Pado lipo hilo duka kule jirani na PPF Tower
 
huwezi kuta hiyo brand kariakooo[emoji23][emoji23]


duka lingine liko masaki, i think na Mlimani city ndo waweza kuta brand ya Tommy [emoji23][emoji23] wanaovaa sasa hata hawpigi kelele kama wavaa cadet za zara na Jeep
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na mikocheni pia Tommy zipo.
Kuna mtu alienda nunua surual hapoo, alinunua 2 ile hela aliyotoa kizungu zungu nlipata mie badala ya mtoaji.
 
Hivi bado woolworths wana operate hapa dar kuna kipindi kulikua na duka lao kule posta hawa wa South nao wanauza vitu quality ya ulaya mali safi. Hata arusha walikua na duka lao pale karibu na TFA
Wapo mikocheni. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom