Huu sasa ni ukoloni uliopitiliza. Umri wa miaka 17? Haukui au umedumaa?Sana .nina boxer ya Louis Vuitton nilinunua mwaka 2007 mpaka leo naivaa na haijatoka hata kipande cha uzi nikiivaa utasema nimenunua jana. Aise kuvaa vitu original raha sana tatizo bei zake wengi hatuziwezi.
Kunipima shingoni ni muhimu sana bila hivyo utakuta size 40 ukifika home haikutishi[emoji23][emoji16][emoji16][emoji16]tunangalia size af bado tunajipima shingoni[emoji28]
Pado lipo hilo duka kule jirani na PPF TowerHivi bado woolworths wana operate hapa dar kuna kipindi kulikua na duka lao kule posta hawa wa South nao wanauza vitu quality ya ulaya mali safi. Hata arusha walikua na duka lao pale karibu na TFA
Kuna mtu Moja aliniambia iki kujua ni feki au og angalia muonekano wa mtu alievaa tofauti na hiyo wote mnaonekana mmevaa kile kilesawa ila bongo original stuff dont make sense kabisa
π€£π€£ tena sasa nimekua mwembamba kipindi hicho nilikua bongeHuu sasa ni ukoloni uliopitiliza. Umri wa miaka 17? Haukui au umedumaa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na mikocheni pia Tommy zipo.huwezi kuta hiyo brand kariakooo[emoji23][emoji23]
duka lingine liko masaki, i think na Mlimani city ndo waweza kuta brand ya Tommy [emoji23][emoji23] wanaovaa sasa hata hawpigi kelele kama wavaa cadet za zara na Jeep
Wapo mikocheni. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hivi bado woolworths wana operate hapa dar kuna kipindi kulikua na duka lao kule posta hawa wa South nao wanauza vitu quality ya ulaya mali safi. Hata arusha walikua na duka lao pale karibu na TFA
Ninayetumia washing machine nafanyaje kutumia mche? Anayejua tafadhali
Hata kama ni original, ndio toka 2007!!?Sana .nina boxer ya Louis Vuitton nilinunua mwaka 2007 mpaka leo naivaa na haijatoka hata kipande cha uzi nikiivaa utasema nimenunua jana. Aise kuvaa vitu original raha sana tatizo bei zake wengi hatuziwezi.
Kwani navaa kila siku hiyo hiyo mkuu π€£ au unataka ushahidi wa pichaHata kama ni original, ndio toka 2007!!?
Nikihitaji kununua nguo original, jitakutafuta.Kwani navaa kila siku hiyo hiyo mkuu π€£ au unataka ushahidi wa picha
Wala huhitaji kunitafuta mkuu zipo tu kwenye maduka yao ila bei yake nayo imechangamka kidogoNikihitaji kununua nguo original, jitakutafuta.
ππWala huhitaji kunitafuta mkuu zipo tu kwenye maduka yao ila bei yake nayo imechangamka kidogo
Hivi una hakika na unayoongea au unafurahisha?huwezi kuta hiyo brand kariakoooππ
duka lingine liko masaki, i think na Mlimani city ndo waweza kuta brand ya Tommy ππ wanaovaa sasa hata hawpigi kelele kama wavaa cadet za zara na Jeep
πππnimelia sanaHivi una hakika na unayoongea au unafurahisha?
Dickies ni habar nyingine aisee.No bro nenda jaribu Dickies utakuja kunishukuru
labda kama unatania ila kama upo seriously njoo uonyeshwe mpka viatu vyenye barcode vya milioni na T-shirt πππππnimelia sana
nije wapi πlabda kama unatania ila kama upo seriously njoo uonyeshwe mpka viatu vyenye barcode vya milioni na T-shirt ππ