Hivi kuna kadeti zenye ubora kuzidi VICOBSS?

nije wapi πŸ˜‚
umesema brand ya boss haipo kariakoo. Nikakwambia hivi unatania au upo seriously ukaiashia kucheka.
Kama upo seriously Uliza watu na utaelekezwa.au njoo kupeleke.
Vinginevyo labda unachangamsha genge mkuuπŸ˜‚
 
Tro 40k, juu mpaka chini unavaa mahahara wa mtu kabisa aisee.
 
Uzuri watazamaji hawawezi tofautisha Kati ya kadet ya 200k na 17k. Mimi huwa navyaa za 17k na nadunda mjini.
Hahaha umeongea kitu ambacho huwa naongea kila wakati

Unavaa kitu og mtu anachukulia ni ya kawaida tu
 
Mkimaliza kwenye kadeti mtupe brand ya jeans nyeusi ambayo ni Og haichuji rangi
 
Kadeti ni Mtumba Original tu, kama una kuanzia 45,000/= nikupe kadeti ya TEXAS na ENGLAND uivae mpaka uchoke na haipauki....jinsi haisogei hapo
Wapi kwa dar wanauza kadeti za mtumba nzuru
 
Mngeongelea na jeans pia zisizochuja rangi ingependeza zaidi
 
Hahaha umeongea kitu ambacho huwa naongea kila wakati

Unavaa kitu og mtu anachukulia ni ya kawaida tu
hahahah mjin hapa,hakuna muda wa mtu kukucheki ulichovaa ni OG au feki,muhim umetokelezea na pafyum yako ya kupima maisha yanaendelea πŸ˜„
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…