Ngissu gii
Member
- Nov 28, 2020
- 20
- 36
Tuliona Babalevo akijinadi kuwa watu wanamuonea wivu kisa kanunuliwa gari ya million 26 na Diamond pia alijisifu kulipiwa mamilioo kwenye video ya shusha ambayo bado .kwa msisitizo zaidi akasema atamuomba boss wake diamond amjengee kanyumba kadogo kakuishi.jana Tena kawapeleka watoto wake wawili kwa diamond awalipie ada diamond kakubali kasema atalipa