Hivi kuna maelezo yeyote ya kitaalamu yaliyotolewa na mamlaka husika juu ya changamoto ya mtandao

Hivi kuna maelezo yeyote ya kitaalamu yaliyotolewa na mamlaka husika juu ya changamoto ya mtandao

Mkuu,

Nakuelewa sana maumivu yako. Pole sana.

Ni jambo moja kuwa na tatizo kama hili, ni jambo tofauti kuwa na tatizo halafu hakuna hata updates.

Miezi michache iliyopita kuna meli iligonga nguzo ya daraja mjini Baltimore, Maryland USA. Daraja likaanguka. NIkawa naangalia wale viongozi kuanzia meya mpaka gavana wanavyoitisha press conferences kuwajulisha watu nini kimetokea, maendeleo, njia mbadala za kutumia, na hata pale ambapo walikuwa hawana majibu walikuwa wanasema kwa sasa ni mapema mno hatuna majibu, tunafanyia kazi, tutawajulisha tena maendeleo baada ya muda fulani.

Nilivyowaona wanafanya vile nikafikiria sana Tanzania na kusema tunaweza kujifunza mengi kwenye Disaster Management kutoka kwao.

Huku kwetu Nape akisha tweet ki vague tweet tu ndiyo imetoka hiyo.
Eti kivague tweet 😂😂😂😂
 
Hizo nyaya huko baharini zinamilikiwa na kampuni za kimataifa ikiwemo SeaCom nadhani ndio hii inayotusambazia sisi Afrika Mashariki. Hivyo hata likitokea tatizo wao ndio wana deal nalo. So, kama kenya imerudi kwa asilimia mia hata sifa sio za hao wakenya wenye cable zao wamemaliza matengenezo. And by the way tatizo lilizipata nchi 12 na Tanzania ndio iliathirika zaidi kuliko hizo zote.
Kenya hawategemei cable Kwa asilimia 100% wao wa backup kupitia satellite TZ tunategemea cables 100%
Na kama Tz ndio imeathirika zaidi basi itakuwa tulikuwa tunategemea cable moja au mbili ...
 
Mkuu,

Nakuelewa sana maumivu yako. Pole sana.

Ni jambo moja kuwa na tatizo kama hili, ni jambo tofauti kuwa na tatizo halafu hakuna hata updates.

Miezi michache iliyopita kuna meli iligonga nguzo ya daraja mjini Baltimore, Maryland USA. Daraja likaanguka. NIkawa naangalia wale viongozi kuanzia meya mpaka gavana wanavyoitisha press conferences kuwajulisha watu nini kimetokea, maendeleo, njia mbadala za kutumia, na hata pale ambapo walikuwa hawana majibu walikuwa wanasema kwa sasa ni mapema mno hatuna majibu, tunafanyia kazi, tutawajulisha tena maendeleo baada ya muda fulani.

Nilivyowaona wanafanya vile nikafikiria sana Tanzania na kusema tunaweza kujifunza mengi kwenye Disaster Management kutoka kwao.

Huku kwetu Nape akisha tweet ki vague tweet tu ndiyo imetoka hiyo.
Nape ametuzibia na mtandao wa elon sasa hivi tungekuwa tunapeta na satellite
 
Kenya hawategemei cable Kwa asilimia 100% wao wa backup kupitia satellite TZ tunategemea cables 100%
Na kama Tz ndio imeathirika zaidi basi itakuwa tulikuwa tunategemea cable moja au mbili ...
Satelite gani au unaongelea starlink? Kuathirika kunakozungumziea hapa si nani ana backup bali ni wapi damage ya hizo cable ilikata mawasiliano kwa kiasi kikubwa. Hiyo cable ilikata mawasiliano ya internet yanayotumia hiyo cable kwa Tanzania kwa kiasi kikubwa kuliko nchi nyingine kati ya hizo nchi 12.
Miaka 3 nyuma ilitokea Kenya nao wakakumbana na shida japo ilikuwa fixed within a day lakini shughuli nyingi zilisimama
 
Ni takribani siku kadhaa sasa tangu internet nchini imekuwa na changamoto.

Hadi sasa tunachofahamishwa ni kwamba kuna nyaya huko baharini zimeleta hitilafu, hilo ndilo kila mmoja nchini utasikia akisema, sasa najiuliza na huu mtandao ulivyo chini ina maana kuna nyaya zilibaki ndizo zinaleta mtandao huu hafifu? Au tumekodi satellite kama backup kwa muda.

Hao wataalamu wa IT huko TCRA na mamlaka husika hawana uwezo kufanya press conference na vyombo vya habari kuelezea wananchi kwa kina au kutoa elimu mwanzo mwisho kuhusu jambo lililotokea na mfumo mzima wa huo mkonga unavyofanya kazi, je umeleta hasara ipi? Je kuna ulazima wa kuwa na back up kwa wakati ujao? Ilishawahi kutokea mara ngapi? Mitandao ya simu itafidia gharama za watumiaji walioathirika na hili tatizo? Kuna mengi ya kuelezea tena kwa maelezo ya kitaalamu ili wananchi waelewe. Au na hao IT na wao ni weupe vichwani kutoa maelezo, au pengine wateja au wananchi hawapaswi kuwa na uelewa wa kinachoendelea? Kingine serikali iangalie mawaziri wenye uelewa mkubwa kuhusiana na wizara husika.

Hili suala limeathiri shughuli za wengi, kuna vijana wana hizi online TVs, kuna vijana wana trade stocks n.k kwa kifupi internet imesaidia wananchi wengi kujiajiri kuna watu internet ndio maisha yao, lakini kwa jinsi mamlaka zinavyochukulia hili suala ni kama jambo la kawaida tu. Suala la mtandao ni issue serious. Kushirikiana na wananchi kunaweza pelekea utatuzi wa tatizo hili kwa siku zijazo.

Ukimuuliza mtu mbona mtandao upo chini utasikia kuna nyaya huko baharini zina hitilafu. Hizo nyaya zenyewe hajui hata zinafanana vipi. Ukimuuliza hitilafu imesababishwa na nini hapo jibu hana.

Wanasiasa na mamlaka husika nyie mmeajiriwa na wananchi lazima kuhakikisha wananchi wanapata updates kwa kila kinachoendelea kwa maelezo ya kitaalamu yasiyoleta shaka, vijana sasa wamesoma wana uelewa mkubwa kuhusu ulimwengu huu wa kidijitali.

Katika kituko cha karne ni pale kuna shida ya internet halafu mamlaka husika zinakwenda kutoa taarifa mtandaoni kupitia mitandao ya kijamii, sasa hao wananchi wanapata vipi taarifa?


Hii nchi tuna safari ndefu.
Nchi yetu, sana sana kwenye utumishi wa, umma, kumejaa watu waliojaza nadharia tu vichwani, wana elimu za kwenye makarstasi, wamefika hapo kwa kudesa tu, tangu shule yq msingi!
 
Satelite gani au unaongelea starlink? Kuathirika kunakozungumziea hapa si nani ana backup bali ni wapi damage ya hizo cable ilikata mawasiliano kwa kiasi kikubwa. Hiyo cable ilikata mawasiliano ya internet yanayotumia hiyo cable kwa Tanzania kwa kiasi kikubwa kuliko nchi nyingine kati ya hizo nchi 12.
Miaka 3 nyuma ilitokea Kenya nao wakakumbana na shida japo ilikuwa fixed within a day lakini shughuli nyingi zilisimama
Nini maana ya availability in Technology...
Kama unasema hutongelei backups sasa kwenye technology ni muhimu Sana Lazima iwepo hakuna sehemu watu wapo serious wanadepend fully in one service..
Sasa kama Kenya wanaroute ya backup na wanaweza restore haraka basi wako Safi because on Sunday wote East Africa walipata shida ila wao wakarudi vyovyote vile iwe star link or other cables backup ni muhimu na ziwe nyingi iwezekanavyo
 
Nini maana ya availability in Technology...
Kama unasema hutongelei backups sasa kwenye technology ni muhimu Sana Lazima iwepo hakuna sehemu watu wapo serious wanadepend fully in one service..
Sasa kama Kenya wanaroute ya backup na wanaweza restore haraka basi wako Safi because on Sunday wote East Africa walipata shida ila wao wakarudi vyovyote vile iwe star link or other cables backup ni muhimu na ziwe nyingi iwezekanavyo
Narudia tena wakati wanasema athari walikuwa wanaongelea sehemu ya hiyo cable iliyopata uharibifu mkubwa.
 
Narudia tena wakati wanasema athari walikuwa wanaongelea sehemu ya hiyo cable iliyopata uharibifu mkubwa.
Naona hutuelewani ww unachozungumzia ni nini na solution ni nini?

Athari zipo Kila siku hiyo siyo ya Kwanza wala ya mwisho..
Sasa hapo unataka wafanyeje?
 
Back
Top Bottom