Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Havijaja.sijasema kunaulazima wowote ila kabla hujahoji hiyo nguvu fulani imekujaje hoji hivi unavyoviona into existence vimekujaje?.
No one knows, mpaka pale itakapo thibitika.kwa bahati mbaya sindio?
Kama roho haionekani ulijuaje ipo?OK. Kwa Binadamu ambaye wengi wetu tunaamini kwamba mwanadamu ameumbwa kwa sura na mfano wa Mungu; kitu kinachoweza kuishi baada ya kufa ni ROHO na Roho haionekani kwa macho yetu haya ya nyama
ila kwa macho yetu haya haya ya nyama tunaweza kuona fika utendaji wake e.g. roho wabaya a.k.a Mapepo au Mizimu, wanavyowatesa wanadamu e.g. Biblia:Luka 8:33 " na Marko 5:1-17....... Pepo wakamtoka mtu yule wakawaingia nguruwe, nalo kundi lilitelemka gengeni kwa kasi, wakaingia ziwani, wakafa maji." Ipo mifano mingi sana ndani ya Biblia inayoonesha Utendaji wa Roho. Hata Yesu mwenyewe alipandishwa na Roho nyikani Mt 4: 1-4........ Oops! sijui mfano wowote wa kutoka kwenye Quran.
Ubarikiwe sana.
Sasa maana ya kufa ni ipi?Jibu ni ndio
Mimi nauliza hivi kuna uwezekano wa mtu au kiumbe kuishi baada ya kufa/kifo? Na kama ni ndio basi maana ya kufa ni ipi?OK. Kwa Binadamu ambaye wengi wetu tunaamini kwamba mwanadamu ameumbwa kwa sura na mfano wa Mungu (Biblia Mwanzo 1:26). Kitu kinachoweza kuishi baada ya kufa ni ROHO na Roho haionekani kwa macho yetu haya ya nyama ila kwa macho yetu haya haya ya nyama tunaweza kuona fika utendaji wake e.g. roho wabaya a.k.a Mapepo au Mizimu, wanavyowatesa wanadamu e.g. Biblia:Luka 8:33 " na Marko 5:1-17....... Pepo wakamtoka mtu yule wakawaingia nguruwe, nalo kundi lilitelemka gengeni kwa kasi, wakaingia ziwani, wakafa maji." Ipo mifano mingi sana ndani ya Biblia inayoonesha Utendaji wa Roho. Hata Yesu mwenyewe alipandishwa na Roho nyikani Mt 4: 1-4........ Oops! sijui mfano wowote wa kutoka kwenye Quran.
Ubarikiwe sana.
Kwani option yako ni kubet tu..hio ni black n white fallacy, fallacy of improbability na appeal to ignorance and emotionsijabisha nimejibu kutokana na maelezo ya aliyetoa hii comment
overal kabla hujazaliwa ulikuwa wapi?. au umetokea tu yaani kwa Kubeti kwamba kuna mtu amebeti grace atokee mara boom huyu hapa si ndio? out of more than a million sparms?.
mtu abeti chance yakutokea grace ambaye sperm iliyobeba genetic information yake ikarutubishe yai na azaliwe grace.
yaani kuna sperm million moja chances ya ww kutokea iwe kwa kubeti sindio?
Si ndo mwili asa unauliza wewe uko wapi kivipi...kwani unaulizwa wewe au ..π€£we niambie ukizima moto huo moto unaenda wapinani kwakuambia death is a cut off.
swali tunapoenda kuifadhi mwili tunasema huu ni mwili wa flani flani huyo flani yuko wapi?.
ufike mahali muelewe mwanadamu is more than a body. unasema huu ni mwili wangu wewe uko wapi hapo
Nzi ana roho? Plasmodium ana roho? Kama anayo inaenda wapi after death..kama hawana Wanaishi vipi bila rohoOK. Kwa Binadamu ambaye wengi wetu tunaamini kwamba mwanadamu ameumbwa kwa sura na mfano wa Mungu (Biblia Mwanzo 1:26). Kitu kinachoweza kuishi baada ya kufa ni ROHO na Roho haionekani kwa macho yetu haya ya nyama ila kwa macho yetu haya haya ya nyama tunaweza kuona fika utendaji wake e.g. roho wabaya a.k.a Mapepo au Mizimu, wanavyowatesa wanadamu e.g. Biblia:Luka 8:33 " na Marko 5:1-17....... Pepo wakamtoka mtu yule wakawaingia nguruwe, nalo kundi lilitelemka gengeni kwa kasi, wakaingia ziwani, wakafa maji." Ipo mifano mingi sana ndani ya Biblia inayoonesha Utendaji wa Roho. Hata Yesu mwenyewe alipandishwa na Roho nyikani Mt 4: 1-4........ Oops! sijui mfano wowote wa kutoka kwenye Quran.
Ubarikiwe sana.
Mufti Kuku MAFUTAJibu ni ndio
Nakuona DOKTA UCHWARA unatamba na biology yako ya form two.Skieni niwaambie... jibu ni simple ..nobody knows ..ila lemme tell u wat I know
1. Ukisema binadamu ana roho inabidi uelezee roho ni Nini, Iko wapi, inaanzia wapi...maana najua binadamu ni sperm na ovum ndo muunganiko ukadevelop...asa Kama roho ni uhai je shahawa zile ukimwaga sperms nazo zinaenda umilele...je ovum za period zinaenda umilele...je white blood cells zinaenda umilele...je bacteria..je nzi..je yeast fungi... if not why wewe ...why r u special...kisa ka akili kidogo ulichowazidi Cha kutunga story za uwongo na kweli ama...
2. Secondly, jiulize why dini zote zinatumia death kama cut off..."Bora uamini kabla hujafa..ukimkuta unalo..." why is death the cut off...why dini zote Mungu anajificha anamtokea mtu mmoja na huyo mtu ndo anaambia watu waamini yupo or else Wana adhabu wakimwona...it's simple...coz it's unfalsifiable..huwezi thibitisha...so watu hubet kutokana na uwoga.. hamna mtu aliyekufa akarudi na kusoma moto ni hivi na mbingu ni hivi na wanaodhani wamefanya hivyo wote Wana story tofauti
Ifike pahala wabongo na waafrika tuelewe kwamba hizi dini zililetwa katika mda wa Giza na waliozileta wametumia logic na reason na Sasa wameachana nazo..sisi maskini na mazuzu ndo tunajiona tunajua dini kuliko waliozitengeneza...
Dini ziwepo sawa Zina vifaida ila zisitufanye tubaki nyuma kama jamii na taifa
Huna lolote. Urongo mtupu.Kwani option yako ni kubet tu..hio ni black n white fallacy, fallacy of improbability na appeal to ignorance and emotion
Nipo Rafiki πBichwa nilikumix sana Rafiki.yangu unapotea sana π π
BICHWA KOMWE -
π€£ jibuni maswali