WatesiWETU
Senior Member
- Jan 2, 2022
- 106
- 248
Habarini wana JamiiForums,
Nimejaribu kujiuliza maswali, Kuhusu Uchawi na Uganga, sasa nikaja kugundua kwamba Hakuna Mganga asiye Mchawi na ingawa siyo wachawi wote ni waganga.
Sasa kinacho nifanya nije kwenu nikujua wataalaamu wa haya maswala kama wanaweza nipa Jibu ya swali langu, Kwamba Inawezekana kweli kukawepo Mganga ambaye anaweza kuwauwa wachawi? Maana mganga ni mchawi mwezao na kinachozidi tu ni kuwa mganga ana kipawa cha kutafuta dawa za tiba za miti shamba ila mchawi hawezi, sasa najiuliza ikiwa mganga ni watiba je anawezaje kuuwa Mchawi ikiwa nayeye ni mchawi je ana uwezo gani wazida zaidi ya miti shamba ya kutibu uchawi ulio fanywa na wachawi wenzake?
Kwanini nimewaza hivi ni jinsi ambayo unaweza kwenda kwa mganga aka kwambia ulichofanyiwa ila kamwe hata kwambia ni nani kafanya ikiwaaliye fanya ni mchawi ila kama aliye fanya siyo mchawi anakutajia jina la yule aliye kuendea kwa mganga kukuloga.
Sasa Basi kwa wale wajuzi wa mambo Naombeni mniambie kuna mganga yeyote hapa Tanzania mwenye uwezo wa kuuwa mchawi?
Asanteni.
Nimejaribu kujiuliza maswali, Kuhusu Uchawi na Uganga, sasa nikaja kugundua kwamba Hakuna Mganga asiye Mchawi na ingawa siyo wachawi wote ni waganga.
Sasa kinacho nifanya nije kwenu nikujua wataalaamu wa haya maswala kama wanaweza nipa Jibu ya swali langu, Kwamba Inawezekana kweli kukawepo Mganga ambaye anaweza kuwauwa wachawi? Maana mganga ni mchawi mwezao na kinachozidi tu ni kuwa mganga ana kipawa cha kutafuta dawa za tiba za miti shamba ila mchawi hawezi, sasa najiuliza ikiwa mganga ni watiba je anawezaje kuuwa Mchawi ikiwa nayeye ni mchawi je ana uwezo gani wazida zaidi ya miti shamba ya kutibu uchawi ulio fanywa na wachawi wenzake?
Kwanini nimewaza hivi ni jinsi ambayo unaweza kwenda kwa mganga aka kwambia ulichofanyiwa ila kamwe hata kwambia ni nani kafanya ikiwaaliye fanya ni mchawi ila kama aliye fanya siyo mchawi anakutajia jina la yule aliye kuendea kwa mganga kukuloga.
Sasa Basi kwa wale wajuzi wa mambo Naombeni mniambie kuna mganga yeyote hapa Tanzania mwenye uwezo wa kuuwa mchawi?
Asanteni.