Hivi kuna Mganga anayeweza kumuua Mchawi?

Hivi kuna Mganga anayeweza kumuua Mchawi?

Si kweli kwamba mganga na mchawi wanatoa nguvu zao toka chanzo kimoja. Waafrika tumeaminishwa na wazungu kuwa Uganga ni kitu kibaya na kinatoka kwa shetani. Kwanza ni vema kujua tofauti ya uganga na uchawi. Hivi ni vitu viwili tofauti.
Mchawi yupo kwa ajili ya kuangamiza, kuharibu, kutia mikosi, na hata kuvuruga mambo mema. Kwanini? Uchawi ni roho ya uharibifu toka kwa shetani.

Uganga ni nini? Ni uponyaji, urejeshaji, ujengaji, uuwishaji, utabibu, na urekebishaji. Ndo maana kwa kiswahili asilia daktari anaitwa mganga. Ndo maana tuna Mganga Mkuu wa serikali, Mkoa na kadhalika. Neno Daktari si kiswahili.
Uganga ni utaalamu ambao uhitaji mafunzo ya muda mrefu, ambayo uhusisha utaalamu wa kibaiolojia na kikemia, kwa kutumia mimea kuweza kutibu wanyama, binadamu na hata mimea yenyewe. Utaalamu huu uambatana na kujua saikolojia ya mwili wa binadamu, wanyama na mimea yenyewe.

Nitajikita katika Uganga asilia wa utabibu, ambao upo kila sehemu duniani. Uganga asilia uhitaji mafunzo ya muda mrefu, na umejikita zaid ktk matumizi ya mimea. Mtu aweza jifunza unganga kupitia kwa mtu akimuonesha aina tofauti za mimea na namna inavyoweza kutibu magonjwa mbalimbali.
Mara nyingi uganga huu uambatana na nguvu za kinyota, uwezo wa kisaikolojia, ramli, nguvu za asili za ukoo au miujiza. Uganga haupo kuuwa wala kuangamiza. Bali utokea tu pale kuna ulazima wa kufanya hivyo, na mara nyingi utoa onyo mara kadhaa kabla ya kuangamiza au kuuwa. Na hii itafanyika kama kuna jambo au tukio lililoumiza zaidi.

Tofauti ya Uchawi na Uganga, mchawi hawezi tibu, bali ni kuangamiza. Na mchawi asilimia kubwa nguvu zake ni za giza. Hakuna upatano baina ya mganga na mchawi. Ndo maana wachawi wengi hujitahidi waangamize mganga au kuuwa. Waganga kutokana na nguvu kadhaa za kiroho, kiukoo, uweza kuzuia nguvu za kichawi. Kuzuia huku hakuwafanyi wao kuwa wachawi la hasha!

Uganga unatofautiana, kwakua swali ni iwapo mganga anaweza muuwa mchawi nitajibu kwa mlengo huo. Mganga mwenye nguvu, anauwezo huo. Ila hafanyi tu kuuwa kama mchawi anavyo fanya. Mganga atauwa mchawi kama mchawi kafanya jambo baya la kuumiza na kuleta masononeko kwenye jamii au familia.
Na mara nyingi mganga atatoa onyo ili muhusika au mchawi ajisalimishe na kutubu. Inaposhindikana ndo hapo mganga atauwa mchawi. Na wakati mwingine kama mganga ajafurahishwa basi uamua kumuuwa mchawi bila kuonya iwapo huyu mchawi atajiona yeye ni yeye.
Tukumbuke swala la kuuwa, hata madakitari wetu wanauwezo wa kuuwa mtu wanapoona kunahitajika. Hivyo nguvu za uuaji zinatofautiana.

Mchawi uchukua muda mpaka kumuuwa mtu. Uanza kumroga na kuleta mikosi kwa huyo mtu. Ushindana na roho au nyota ya huyo mtu hadi kummaliza. Niliambiwa mchawi uondoa roho ya mtu wakati wa jua na si usiku. Usiku anautumia kulegeza nguvu za kiroho alizo nazo mhusika.
Ni mara chache inatokea akikuua usiku, ila roho yako itaondoka wakati wa jua.

Katika maisha yangu, nilishuhudia mganga mmoja, ambae waliuwa mwanae. Huyu mganga aliumia na kutamka. waliofanya hivyo wote watakufa. Na kweli hawa wachawi walikuwa kumi walioshirikiana kuuwa. Mmoja baada ya mwingine walianza kuumwa. Nakumbuka kuna mchawi mmoja hakuwahi kufahamika ni mchawi. Yeye alikuwa na dawa ya kuoga akiroga uchawi utaonekana kwa mtu mwingine si yeye. Hivyo walipokuja waganga kutambua wachawi yeye hakutambulika. Bali uchawi wake aliuweka kwa mchawi mwingine alie tambulika.

Lakini kwa huyu mganga alinasa, aliumwa na kuanza kwenda kwa wanganga kutafuta dawa, kila alipofika kwa mganga fulani aliambiwa umechezea sehemu mbaya, utakufa. Hatuna dawa ya kukutibu. Hospitali na kwa waganga ilishindikana. Nikimtembelea huyu mchawi, alitia huruma. Aliongea kwa shida huku machoni akiwa na aibu kubwa. Tulijuana nae kwa miaka kadhaa na alikuwa mtu mwema kwangu. Ndo maana niliona nikamjulie hali.

Lakini siku Mganga huyu anafanya yake ili waliomroga mwanae wafe nilikuwepo. Tulienda nae wote eneo la kaburi. Wala hakutumia uchawi. Sipendi kusema hapa namna alivyofanya wachawi wote kumi wakafa. Ila niseme Mganga mwenye ujuzi wa hali ya juu, ambae yupo kwa tiba tu na kinga anauwezo wa kuondoa uhai wa mchawi kama kuna jambo la kuumiza limetokea na hatumii uchawi!

Waganga wengi wananguvu za kiroho, wanalindwa wasipate athari za kichawi kwa nguvu ambazo wao wamekingwa nazo. Ila mchawi akikuta mganga ambae si imara na huyu mganga anazuia mchawi huyo asifanye mambo yake basi mchawi anauwezo wa kumroga au kumuuwa mganga.

Mganga mara nyingi uletewa jonzi au maono, ndo maana anajua mambo kadhaa. Ila mchawi hana jonzi au maono anaporoga. Yeye inambidi ajibadilishe, awe kwenye mfumo wa roho chafu, au awe katika maumbile mengine ili akaroge.
Ni mara chache mganga anaweza akaingia ktk ulimwengu wa roho akapotea usimuone. Hii hutokea pale tu kuna jambo maalum mganga inabidi afanye. Na hii uwezeshwa na nguvu za kiroho alizonazo.

Waganga wana mengi mazuri shida fani imeingiliwa na matapeli. Waganga wengi wazuri hawahitaji fedha. Na wanajua mambo mengi, dawa nyingi. Na hawa mchawi hawezi kuwagusa. Wanaweza kukupa kinga ya mchawi asifikirie kukudhuru, au akitaka kukudhuru hakuoni. Hawa waganga hawapendi kuuwa kabisa.
Mganga na mchawi ni vitu viwili tofauti. hata majini hayapendi wachawi. Yaani ni uadui mkubwa. Ni kwanini Majini ni adui wa uchawi? Ni somo refu linahitaji muda.
Na katika uganga, upo wa majini, yaani umetokana na majini. Upo uganga umetokana na mizimu katika koo. Upo uganga unaotokana na mashetani, niseme huu mara nyingi si mzuri unakonekisheni na nguvu za kichawi.

Uchawi nao unatofautiana, kuna wanga, hawa mara nyingi hawana madhara, wanacheza tu, wakija kwako usiku ni kukubeatua kukusumbua yaani vituko vya kila aina. Lakini Mchawi halisi huyu anaroga, anauwa, anaharibu na kuangamiza. Huyu ni hatari sana kuliko mwanga wa kawaida ambae mara nyingi ni kucheza na kukusumbua tu. Hawezi kukuua.
Bro nimeku inbox.. tafadhali pitia ombi langu uko dm kwako..
 
Hizo ni falme za giza. Ni sawa na fisi na simba ni suala la timing tu
 
Karibu katika chuo chetu cha ushirikina tandika.
Utajua maswqli yote ulonayo.

Wanadamu mu watu wa ajabu sana yani maandiko mnayo ila hamjui chochote mbona sisi watu wa kushoto tunajua yenu na yetuu?
 
Mbona kama mu weupe sana.
Anaetaka kujua haya mambo kwa kina anitafute inbox hapa sitoweza kuandika yote vingnevyo niandike makala maalumu na siku nkiwa na muda
 
Hakuna uchawi wala haujawai kuwepo....
Mkuu mbona kama u mweupe sanaa yan ya Mungu hujui pia ya shetani?
Maandiko yanaeleza bayana habari zabuchawi na ushirikina na baadhi ya watu waloufanya sasa we hata hilo hujui
 
Habarini wana JamiiForums,

Nimejaribu kujiuliza maswali, Kuhusu Uchawi na Uganga, sasa nikaja kugundua kwamba Hakuna Mganga asiye Mchawi na ingawa siyo wachawi wote ni waganga.

Sasa kinacho nifanya nije kwenu nikujua wataalaamu wa haya maswala kama wanaweza nipa Jibu ya swali langu, Kwamba Inawezekana kweli kukawepo Mganga ambaye anaweza kuwauwa wachawi? Maana mganga ni mchawi mwezao na kinachozidi tu ni kuwa mganga ana kipawa cha kutafuta dawa za tiba za miti shamba ila mchawi hawezi, sasa najiuliza ikiwa mganga ni watiba je anawezaje kuuwa Mchawi ikiwa nayeye ni mchawi je ana uwezo gani wazida zaidi ya miti shamba ya kutibu uchawi ulio fanywa na wachawi wenzake?

Kwanini nimewaza hivi ni jinsi ambayo unaweza kwenda kwa mganga aka kwambia ulichofanyiwa ila kamwe hata kwambia ni nani kafanya ikiwaaliye fanya ni mchawi ila kama aliye fanya siyo mchawi anakutajia jina la yule aliye kuendea kwa mganga kukuloga.

Sasa Basi kwa wale wajuzi wa mambo Naombeni mniambie kuna mganga yeyote hapa Tanzania mwenye uwezo wa kuuwa mchawi?

Asanteni.
Nitafute kwa wakati wako nkupe tofauti zao pia nkupe kufanana kwao
 
Swali lako ni SAwa na kusema hivi jambazi anaweza muua police. Police na majambazi wanafahamiana vizuri. Police anawajua wezi, vibaka na majambazi wote wa mtaa, au mji mzima.
Hivyo hivyo vibaka majambazi wanawajua na wanawatambua askari wote kwa majina na sura hata wakivaa kiraia. Mchawi na mganga ni ndugu boss wao ni mmoja. Wote wanauwana ni timing tu mchawi akimuua mganga anapanda cheo, mganga akimuua mganga mwenzake anachukua nguvu zake. Wachawi wanawaua waganga wanaozuia mtu wamtakae kumroga kama kawekewa kinga na mganga.
Kiujumla kwenye ulimwengu huo wa giza wanaishi kwa kuwindana kugombea umiliki wa anga kama ilivyo fisi na simba KILA mmoja anamla mwenzake akizidiwa nguvu. Maadamu wanakula nyama hawana tofauti na wanyama pori walao nyama. Wanyama walao nyasi ndio waliostaarabika.
Perfect mkuu.
Ukimwengu wa pili unaufahamu
 
Mganga na mchawi wote wana maarifa sawa, wanaenda shule moja, mwalimu wao mmoja, kozi moja, darasa moja, mitihani yao ni sawa, tofauti ni kwamba mganga amechagua kuondoa nadhara wakati mchawi amechagua kuleta madhara
Nyongeza mkuu. Walosoma darasani waloishia njian yan miaka minne wao hujua kuharibu zaidi ila alomaliza miaka yote saba anajua kuleta madhara na kuagua.
Mganga yoyote ili ajue kuagua lazima ajue aina ya uchawi ulofanyika na ndo maana mganga anakuwa na vitu viwili vya ziada yani kuagua pia kuloga pindi akitaka

Mganga ni aliye na taaluma zote mbili yan kuagua na kuloga
Mchawi anataaluma moja tuu yani kuloga

Japo kunawaganga wakiwa na njaa ya hela huwa huwaloga baadhi ya watu ambao waliwahi kufika kwao ili warudi tena ili wawaague na wapate hela.
Kwenda kwa mganga ni kama kujiwekea maagano na kuweka bond na shetani

Kiufupi mganga hajawahi kuwa mzuri pia mchawi hajawahi kuwa mzuri.
 
Si kweli kwamba mganga na mchawi wanatoa nguvu zao toka chanzo kimoja. Waafrika tumeaminishwa na wazungu kuwa Uganga ni kitu kibaya na kinatoka kwa shetani. Kwanza ni vema kujua tofauti ya uganga na uchawi. Hivi ni vitu viwili tofauti.
Mchawi yupo kwa ajili ya kuangamiza, kuharibu, kutia mikosi, na hata kuvuruga mambo mema. Kwanini? Uchawi ni roho ya uharibifu toka kwa shetani.

Uganga ni nini? Ni uponyaji, urejeshaji, ujengaji, uuwishaji, utabibu, na urekebishaji. Ndo maana kwa kiswahili asilia daktari anaitwa mganga. Ndo maana tuna Mganga Mkuu wa serikali, Mkoa na kadhalika. Neno Daktari si kiswahili.
Uganga ni utaalamu ambao uhitaji mafunzo ya muda mrefu, ambayo uhusisha utaalamu wa kibaiolojia na kikemia, kwa kutumia mimea kuweza kutibu wanyama, binadamu na hata mimea yenyewe. Utaalamu huu uambatana na kujua saikolojia ya mwili wa binadamu, wanyama na mimea yenyewe.

Nitajikita katika Uganga asilia wa utabibu, ambao upo kila sehemu duniani. Uganga asilia uhitaji mafunzo ya muda mrefu, na umejikita zaid ktk matumizi ya mimea. Mtu aweza jifunza unganga kupitia kwa mtu akimuonesha aina tofauti za mimea na namna inavyoweza kutibu magonjwa mbalimbali.
Mara nyingi uganga huu uambatana na nguvu za kinyota, uwezo wa kisaikolojia, ramli, nguvu za asili za ukoo au miujiza. Uganga haupo kuuwa wala kuangamiza. Bali utokea tu pale kuna ulazima wa kufanya hivyo, na mara nyingi utoa onyo mara kadhaa kabla ya kuangamiza au kuuwa. Na hii itafanyika kama kuna jambo au tukio lililoumiza zaidi.

Tofauti ya Uchawi na Uganga, mchawi hawezi tibu, bali ni kuangamiza. Na mchawi asilimia kubwa nguvu zake ni za giza. Hakuna upatano baina ya mganga na mchawi. Ndo maana wachawi wengi hujitahidi waangamize mganga au kuuwa. Waganga kutokana na nguvu kadhaa za kiroho, kiukoo, uweza kuzuia nguvu za kichawi. Kuzuia huku hakuwafanyi wao kuwa wachawi la hasha!

Uganga unatofautiana, kwakua swali ni iwapo mganga anaweza muuwa mchawi nitajibu kwa mlengo huo. Mganga mwenye nguvu, anauwezo huo. Ila hafanyi tu kuuwa kama mchawi anavyo fanya. Mganga atauwa mchawi kama mchawi kafanya jambo baya la kuumiza na kuleta masononeko kwenye jamii au familia.
Na mara nyingi mganga atatoa onyo ili muhusika au mchawi ajisalimishe na kutubu. Inaposhindikana ndo hapo mganga atauwa mchawi. Na wakati mwingine kama mganga ajafurahishwa basi uamua kumuuwa mchawi bila kuonya iwapo huyu mchawi atajiona yeye ni yeye.
Tukumbuke swala la kuuwa, hata madakitari wetu wanauwezo wa kuuwa mtu wanapoona kunahitajika. Hivyo nguvu za uuaji zinatofautiana.

Mchawi uchukua muda mpaka kumuuwa mtu. Uanza kumroga na kuleta mikosi kwa huyo mtu. Ushindana na roho au nyota ya huyo mtu hadi kummaliza. Niliambiwa mchawi uondoa roho ya mtu wakati wa jua na si usiku. Usiku anautumia kulegeza nguvu za kiroho alizo nazo mhusika.
Ni mara chache inatokea akikuua usiku, ila roho yako itaondoka wakati wa jua.

Katika maisha yangu, nilishuhudia mganga mmoja, ambae waliuwa mwanae. Huyu mganga aliumia na kutamka. waliofanya hivyo wote watakufa. Na kweli hawa wachawi walikuwa kumi walioshirikiana kuuwa. Mmoja baada ya mwingine walianza kuumwa. Nakumbuka kuna mchawi mmoja hakuwahi kufahamika ni mchawi. Yeye alikuwa na dawa ya kuoga akiroga uchawi utaonekana kwa mtu mwingine si yeye. Hivyo walipokuja waganga kutambua wachawi yeye hakutambulika. Bali uchawi wake aliuweka kwa mchawi mwingine alie tambulika.

Lakini kwa huyu mganga alinasa, aliumwa na kuanza kwenda kwa wanganga kutafuta dawa, kila alipofika kwa mganga fulani aliambiwa umechezea sehemu mbaya, utakufa. Hatuna dawa ya kukutibu. Hospitali na kwa waganga ilishindikana. Nikimtembelea huyu mchawi, alitia huruma. Aliongea kwa shida huku machoni akiwa na aibu kubwa. Tulijuana nae kwa miaka kadhaa na alikuwa mtu mwema kwangu. Ndo maana niliona nikamjulie hali.

Lakini siku Mganga huyu anafanya yake ili waliomroga mwanae wafe nilikuwepo. Tulienda nae wote eneo la kaburi. Wala hakutumia uchawi. Sipendi kusema hapa namna alivyofanya wachawi wote kumi wakafa. Ila niseme Mganga mwenye ujuzi wa hali ya juu, ambae yupo kwa tiba tu na kinga anauwezo wa kuondoa uhai wa mchawi kama kuna jambo la kuumiza limetokea na hatumii uchawi!

Waganga wengi wananguvu za kiroho, wanalindwa wasipate athari za kichawi kwa nguvu ambazo wao wamekingwa nazo. Ila mchawi akikuta mganga ambae si imara na huyu mganga anazuia mchawi huyo asifanye mambo yake basi mchawi anauwezo wa kumroga au kumuuwa mganga.

Mganga mara nyingi uletewa jonzi au maono, ndo maana anajua mambo kadhaa. Ila mchawi hana jonzi au maono anaporoga. Yeye inambidi ajibadilishe, awe kwenye mfumo wa roho chafu, au awe katika maumbile mengine ili akaroge.
Ni mara chache mganga anaweza akaingia ktk ulimwengu wa roho akapotea usimuone. Hii hutokea pale tu kuna jambo maalum mganga inabidi afanye. Na hii uwezeshwa na nguvu za kiroho alizonazo.

Waganga wana mengi mazuri shida fani imeingiliwa na matapeli. Waganga wengi wazuri hawahitaji fedha. Na wanajua mambo mengi, dawa nyingi. Na hawa mchawi hawezi kuwagusa. Wanaweza kukupa kinga ya mchawi asifikirie kukudhuru, au akitaka kukudhuru hakuoni. Hawa waganga hawapendi kuuwa kabisa.
Mganga na mchawi ni vitu viwili tofauti. hata majini hayapendi wachawi. Yaani ni uadui mkubwa. Ni kwanini Majini ni adui wa uchawi? Ni somo refu linahitaji muda.
Na katika uganga, upo wa majini, yaani umetokana na majini. Upo uganga umetokana na mizimu katika koo. Upo uganga unaotokana na mashetani, niseme huu mara nyingi si mzuri unakonekisheni na nguvu za kichawi.

Uchawi nao unatofautiana, kuna wanga, hawa mara nyingi hawana madhara, wanacheza tu, wakija kwako usiku ni kukubeatua kukusumbua yaani vituko vya kila aina. Lakini Mchawi halisi huyu anaroga, anauwa, anaharibu na kuangamiza. Huyu ni hatari sana kuliko mwanga wa kawaida ambae mara nyingi ni kucheza na kukusumbua tu. Hawezi kukuua.
Wote nguvu zao wanatoa kwenye chanzo kimoja
 
Fisi anaweza muua simba? Ukipata jibu umepata jibu la swali lako.
 
Si kweli kwamba mganga na mchawi wanatoa nguvu zao toka chanzo kimoja. Waafrika tumeaminishwa na wazungu kuwa Uganga ni kitu kibaya na kinatoka kwa shetani. Kwanza ni vema kujua tofauti ya uganga na uchawi. Hivi ni vitu viwili tofauti.
Mchawi yupo kwa ajili ya kuangamiza, kuharibu, kutia mikosi, na hata kuvuruga mambo mema. Kwanini? Uchawi ni roho ya uharibifu toka kwa shetani.

Uganga ni nini? Ni uponyaji, urejeshaji, ujengaji, uuwishaji, utabibu, na urekebishaji. Ndo maana kwa kiswahili asilia daktari anaitwa mganga. Ndo maana tuna Mganga Mkuu wa serikali, Mkoa na kadhalika. Neno Daktari si kiswahili.
Uganga ni utaalamu ambao uhitaji mafunzo ya muda mrefu, ambayo uhusisha utaalamu wa kibaiolojia na kikemia, kwa kutumia mimea kuweza kutibu wanyama, binadamu na hata mimea yenyewe. Utaalamu huu uambatana na kujua saikolojia ya mwili wa binadamu, wanyama na mimea yenyewe.

Nitajikita katika Uganga asilia wa utabibu, ambao upo kila sehemu duniani. Uganga asilia uhitaji mafunzo ya muda mrefu, na umejikita zaid ktk matumizi ya mimea. Mtu aweza jifunza unganga kupitia kwa mtu akimuonesha aina tofauti za mimea na namna inavyoweza kutibu magonjwa mbalimbali.
Mara nyingi uganga huu uambatana na nguvu za kinyota, uwezo wa kisaikolojia, ramli, nguvu za asili za ukoo au miujiza. Uganga haupo kuuwa wala kuangamiza. Bali utokea tu pale kuna ulazima wa kufanya hivyo, na mara nyingi utoa onyo mara kadhaa kabla ya kuangamiza au kuuwa. Na hii itafanyika kama kuna jambo au tukio lililoumiza zaidi.

Tofauti ya Uchawi na Uganga, mchawi hawezi tibu, bali ni kuangamiza. Na mchawi asilimia kubwa nguvu zake ni za giza. Hakuna upatano baina ya mganga na mchawi. Ndo maana wachawi wengi hujitahidi waangamize mganga au kuuwa. Waganga kutokana na nguvu kadhaa za kiroho, kiukoo, uweza kuzuia nguvu za kichawi. Kuzuia huku hakuwafanyi wao kuwa wachawi la hasha!

Uganga unatofautiana, kwakua swali ni iwapo mganga anaweza muuwa mchawi nitajibu kwa mlengo huo. Mganga mwenye nguvu, anauwezo huo. Ila hafanyi tu kuuwa kama mchawi anavyo fanya. Mganga atauwa mchawi kama mchawi kafanya jambo baya la kuumiza na kuleta masononeko kwenye jamii au familia.
Na mara nyingi mganga atatoa onyo ili muhusika au mchawi ajisalimishe na kutubu. Inaposhindikana ndo hapo mganga atauwa mchawi. Na wakati mwingine kama mganga ajafurahishwa basi uamua kumuuwa mchawi bila kuonya iwapo huyu mchawi atajiona yeye ni yeye.
Tukumbuke swala la kuuwa, hata madakitari wetu wanauwezo wa kuuwa mtu wanapoona kunahitajika. Hivyo nguvu za uuaji zinatofautiana.

Mchawi uchukua muda mpaka kumuuwa mtu. Uanza kumroga na kuleta mikosi kwa huyo mtu. Ushindana na roho au nyota ya huyo mtu hadi kummaliza. Niliambiwa mchawi uondoa roho ya mtu wakati wa jua na si usiku. Usiku anautumia kulegeza nguvu za kiroho alizo nazo mhusika.
Ni mara chache inatokea akikuua usiku, ila roho yako itaondoka wakati wa jua.

Katika maisha yangu, nilishuhudia mganga mmoja, ambae waliuwa mwanae. Huyu mganga aliumia na kutamka. waliofanya hivyo wote watakufa. Na kweli hawa wachawi walikuwa kumi walioshirikiana kuuwa. Mmoja baada ya mwingine walianza kuumwa. Nakumbuka kuna mchawi mmoja hakuwahi kufahamika ni mchawi. Yeye alikuwa na dawa ya kuoga akiroga uchawi utaonekana kwa mtu mwingine si yeye. Hivyo walipokuja waganga kutambua wachawi yeye hakutambulika. Bali uchawi wake aliuweka kwa mchawi mwingine alie tambulika.

Lakini kwa huyu mganga alinasa, aliumwa na kuanza kwenda kwa wanganga kutafuta dawa, kila alipofika kwa mganga fulani aliambiwa umechezea sehemu mbaya, utakufa. Hatuna dawa ya kukutibu. Hospitali na kwa waganga ilishindikana. Nikimtembelea huyu mchawi, alitia huruma. Aliongea kwa shida huku machoni akiwa na aibu kubwa. Tulijuana nae kwa miaka kadhaa na alikuwa mtu mwema kwangu. Ndo maana niliona nikamjulie hali.

Lakini siku Mganga huyu anafanya yake ili waliomroga mwanae wafe nilikuwepo. Tulienda nae wote eneo la kaburi. Wala hakutumia uchawi. Sipendi kusema hapa namna alivyofanya wachawi wote kumi wakafa. Ila niseme Mganga mwenye ujuzi wa hali ya juu, ambae yupo kwa tiba tu na kinga anauwezo wa kuondoa uhai wa mchawi kama kuna jambo la kuumiza limetokea na hatumii uchawi!

Waganga wengi wananguvu za kiroho, wanalindwa wasipate athari za kichawi kwa nguvu ambazo wao wamekingwa nazo. Ila mchawi akikuta mganga ambae si imara na huyu mganga anazuia mchawi huyo asifanye mambo yake basi mchawi anauwezo wa kumroga au kumuuwa mganga.

Mganga mara nyingi uletewa jonzi au maono, ndo maana anajua mambo kadhaa. Ila mchawi hana jonzi au maono anaporoga. Yeye inambidi ajibadilishe, awe kwenye mfumo wa roho chafu, au awe katika maumbile mengine ili akaroge.
Ni mara chache mganga anaweza akaingia ktk ulimwengu wa roho akapotea usimuone. Hii hutokea pale tu kuna jambo maalum mganga inabidi afanye. Na hii uwezeshwa na nguvu za kiroho alizonazo.

Waganga wana mengi mazuri shida fani imeingiliwa na matapeli. Waganga wengi wazuri hawahitaji fedha. Na wanajua mambo mengi, dawa nyingi. Na hawa mchawi hawezi kuwagusa. Wanaweza kukupa kinga ya mchawi asifikirie kukudhuru, au akitaka kukudhuru hakuoni. Hawa waganga hawapendi kuuwa kabisa.
Mganga na mchawi ni vitu viwili tofauti. hata majini hayapendi wachawi. Yaani ni uadui mkubwa. Ni kwanini Majini ni adui wa uchawi? Ni somo refu linahitaji muda.
Na katika uganga, upo wa majini, yaani umetokana na majini. Upo uganga umetokana na mizimu katika koo. Upo uganga unaotokana na mashetani, niseme huu mara nyingi si mzuri unakonekisheni na nguvu za kichawi.

Uchawi nao unatofautiana, kuna wanga, hawa mara nyingi hawana madhara, wanacheza tu, wakija kwako usiku ni kukubeatua kukusumbua yaani vituko vya kila aina. Lakini Mchawi halisi huyu anaroga, anauwa, anaharibu na kuangamiza. Huyu ni hatari sana kuliko mwanga wa kawaida ambae mara nyingi ni kucheza na kukusumbua tu. Hawezi kukuua.
Hapa hatuongelei kuhusu tabibu wa hospitali au anaetumia miti shamba.

Anaezungumziwa hapa ni mganga atumiaye mashetani ktk tiba zake. Huyu na mchawi hawana tofauti yoyote. Wote wanatumia uchawi ktk kutibu ama kudhuru. Leo hii unaona matangazo kuwa mganga anaweza kufanya watu wakapendana ama kufarakanisha. Wangapi leo hii wanaenda kwa waganga kwa ajili ya kufarakanisha ndoa za watu ama familia ,mzazi na mwanae n.k

Mganga (atumiae mashetani wa kijini) ktk kutibu ni sawa na mchawi atumiae mashetani wa kijini ktk kudhuru. Wote wana same background na lengo lao ni wanadamu wakufuru na kuwa washirikina kama walivyo wao.
 
Hapa hatuongelei kuhusu tabibu wa hospitali au anaetumia miti shamba.

Anaezungumziwa hapa ni mganga atumiaye mashetani ktk tiba zake. Huyu na mchawi hawana tofauti yoyote. Wote wanatumia uchawi ktk kutibu ama kudhuru. Leo hii unaona matangazo kuwa mganga anaweza kufanya watu wakapendana ama kufarakanisha. Wangapi leo hii wanaenda kwa waganga kwa ajili ya kufarakanisha ndoa za watu ama familia ,mzazi na mwanae n.k

Mganga (atumiae mashetani wa kijini) ktk kutibu ni sawa na mchawi atumiae mashetani wa kijini ktk kudhuru. Wote wana same background na lengo lao ni wanadamu wakufuru na kuwa washirikina kama walivyo wao.
Hujui chochote. Nimeaza kwa uchambuzi, nadhani kunashida ya uelewa. Ukakurupuka kupinga.

Neno mganga limetumika kama key word. Na elewa tunawanganga wa asili ambao wamejenga hospitali zao na wanaendesha matibabu kwa mfumo wa kihospitali . Na serikali inawatambua.

Pia tembelea Muhimbili, kuna kitengo cha waganga wa asili na dawa asili zinazotambulika. Hata NIMR wanatambua waganga asili na kufanya nao kazi katika tafiti.

Elewa kuwa hata hizi dawa za hospitalini ni miti shamba. Hivyo hakuna tofauti kubwa. Umekaririshwa na mkoloni kuwa unganga wa asili ni mbaya na uchawi. Kwanini muhimbili wakubaliwe.
Ndo maana nikafanya uchambuzi kwa uzoefu nilionao.

Hakuna mchawi anaetumia majini. Na tofautisha mashetani na majini. Kama hujui jambo uliza usipende kukurupuka kupinga uonekane nawe umepinga.
Kwa asili nimeeleza uadui baina ya jini na mchawi. Hawa hawapatani.
Nakuona hujui chochote juu ya hii mada sipo hapa kushindana. Nimeeleza niliyoyaishi.
 
Hujui chochote. Nimeaza kwa uchambuzi, nadhani kunashida ya uelewa. Ukakurupuka kupinga.

Neno mganga limetumika kama key word. Na elewa tunawanganga wa asili ambao wamejenga hospitali zao na wanaendesha matibabu kwa mfumo wa kihospitali . Na serikali inawatambua.

Pia tembelea Muhimbili, kuna kitengo cha waganga wa asili na dawa asili zinazotambulika. Hata NIMR wanatambua waganga asili na kufanya nao kazi katika tafiti.

Elewa kuwa hata hizi dawa za hospitalini ni miti shamba. Hivyo hakuna tofauti kubwa. Umekaririshwa na mkoloni kuwa unganga wa asili ni mbaya na uchawi. Kwanini muhimbili wakubaliwe.
Ndo maana nikafanya uchambuzi kwa uzoefu nilionao.

Hakuna mchawi anaetumia majini. Na tofautisha mashetani na majini. Kama hujui jambo uliza usipende kukurupuka kupinga uonekane nawe umepinga.
Kwa asili nimeeleza uadui baina ya jini na mchawi. Hawa hawapatani.
Nakuona hujui chochote juu ya hii mada sipo hapa kushindana. Nimeeleza niliyoyaishi.
Mbona unapayuka na kupaniki mdogo wangu ...nimeshafanya kazi huko NIMR unapopaongelea na nadhani unachanganya mada hapa.

Sijakataa utabibu /uganga unaohusisha miti shamba, asili ya dawa karibu zote zinatokana na miti. Ninachopinga ni waganga waotumia mashetani wa kijini katika kuagua watu.

Mfano mdogo unaweza kunambia ni mti gani unaotumika na hawa waganga kupiga ramli?

Pia ukija kwenye mada kuhusu majini vilevile utakaa? Hakuna sehemu niliochanganya kuhusu mashetani ba majini.

Majini ni viumbe vilivyoumbwa kwa miale ya moto, na ushetani ni sifa ya kiumbe muasi aliyekengeuka kwa mola wake,shetani anaweza kuwa mwanadamu au jini!!! Nafahamu ninachokiongea kijana
 
Back
Top Bottom