Wakipekee
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 6,194
- 10,711
Shamba kubwa nimeicheki movie kali Sana baadaye ikaja "kifo Haramu" na "misukosuko""Shamba kubwa" nayo si mchezo. Nani kuwahi iona humu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shamba kubwa nimeicheki movie kali Sana baadaye ikaja "kifo Haramu" na "misukosuko""Shamba kubwa" nayo si mchezo. Nani kuwahi iona humu?
[emoji16][emoji16][emoji16]Ipo ya DP World
Hili litambara ni la ukweli sana , kwanza design ya magari yaliyotumika humo[emoji95][emoji95][emoji95] . Halafu Kuna mwamba mmoja anaitwa coma-doof warrior au guitarist [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] jamaa anapiga gitaa kuhamasisha wenzake akiwa amefungwa mbele kabisa ya gari....hakika walioitengeneza hii movie walikuwa serious na kazi.One of the best, sichoki kuiangalia
Hii ni series siyo moviethe lord of the ring sijui nimepatia
Sure Mkuu,Hili litambara ni la ukweli sana , kwanza design ya magari yaliyotumika humo[emoji95][emoji95][emoji95] . Halafu Kuna mwamba mmoja anaitwa coma-doof warrior au guitarist [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] jamaa anapiga gitaa kuhamasisha wenzake akiwa amefungwa mbele kabisa ya gari....hakika walioitengeneza hii movie walikuwa serious na kazi.
The Lord of the Rings na The Hobbit ni movies zenye mtiririko,Hii ni series siyo movie
[emoji120][emoji120][emoji120]The Lord of the Rings na The Hobbit ni movies zenye mtiririko,
The Lord of the Rings: The Rings of Power ndio Series.
Ukitaka kufaidi nenda kaangalie The Lord of the Rings kisha The Hobbit ndio utaielewa vizuri The Rings of Power.
Watu wanauliza inahusu nini au story yake ikoje? Hakuna majibu, leo siku ya tatu.Kwangu mad max: fury road ni best
Death at a Funeral (2010)Mi naomba mnitajie muvi za kuchekesha wakuu za kuvunja mbavu kwelikweli ukiitoa mr bones,bushman,mr bean,coming to america
Asante sana ukizpata ntajie mkuu nataka movie zankuchkesha zile za kuvunja mbav kbsaDeath at a Funeral (2010)
White men can't jump 2023
3 idiots
Zingine mesahau ngoja nikikumbuka
Hii nayo naona itakuwa na mazingira kama ya kwenye mad maxSure Mkuu,
Kuna siku niliangalia behind the scenes ya hii filamu, aisee wenzetu wako mbali sana.
Nadhani pia mambo ya haki miliki itakuwa inawalipa vizuri, maana Bajeti yake sio mchezo
Hii ni movie isiyochosha aisee, ni vita vita muda wote dadeki haina kupoa.Ulishaangalia Mad Max: Fury Road
Mwamba hana kazi nyingine zaidi ya kutumbuiza tu, vibe la wale jamaa sio la nchi hii aisee.Hili litambara ni la ukweli sana , kwanza design ya magari yaliyotumika humo[emoji95][emoji95][emoji95] . Halafu Kuna mwamba mmoja anaitwa coma-doof warrior au guitarist [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] jamaa anapiga gitaa kuhamasisha wenzake akiwa amefungwa mbele kabisa ya gari....hakika walioitengeneza hii movie walikuwa serious na kazi.
Hii nayo naona itakuwa na mazingira kama ya kwenye mad max
OngezeaAsante sana ukizpata ntajie mkuu nataka movie zankuchkesha zile za kuvunja mbav kbsa