Hivi Kuna msanii Tanzania anaemzidi harmonize yaani Hadi wale wa zamani

Hivi Kuna msanii Tanzania anaemzidi harmonize yaani Hadi wale wa zamani

Hivi unaakili timamu yaani diamond muimbaji amapiano hapa tunaongelea mziki mzuri sio mtu anaimba kiruuu kiruu we itakua hujui mziki yaani mpaka umemuweka huyo bibi jay dee haupo serious hapa ndio nimegundua harmonize Hana mpinzani kwenye mziki mzuri kama watu wenyewe ndio hao uliowataja
Ohhh kumbe ndio facts hizi. Hongera
 
Back
Top Bottom