Hivi kuna Mtanzania aliyekula bata kama Jakaya Kikwete?

Hivi kuna Mtanzania aliyekula bata kama Jakaya Kikwete?

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Kuna wimbo unaitwa Money,Power,Respect wa Lox
Fist yo get money
Then you get maza f....r power
Then maza f......r guys will respect you.
What you want in life
Money Power Respect
JK got it all
Jk hajui njaa ni mdudu gani
Kubali kataa CCM ni mali ya Jk ,kinana na makamba
Jk kazunguka dunia nzima with power money and respect
Na bado anaonekana atakula hizi bata mpaka afikishe miaka 100
Ukijumlisha bata alizokula Jk hata ujumlishe marais wote tangu uhuru hawamfikii
Wanasema Jk bado unaongoza nchi gani sijui
Jk kana ni kweli mwambie mama atuachie yule DJ disco limepoa.
Mbona we ulivumilia kelele za muziki.
Inakuwaje wengine muziki uwe kelele.nadhani Mungu alikubariki sababu roho yako nyeupe huna nongwa na mtu.
God bless you Jk
Dj tuwekee wimbo wa riziki uliopigwa na K bazil kusindikiza haters.
Haters niueni
 
Na sasa ni kama yupo madarakani nafikiri mzee ni $ bilionea sema amewekeza kwa waarabu na wahindi wamfanyie kazi
Na
Na Rais aliyepo anajiamini kwa Sababu ya ushwawishi wa kikwete ndani ya chama kwasababu anaogopeka sana na wanaccm
Kina makamba na kinana hawana ushwawishi wowote ni vile wameegemea kwa kikwete
 
Kuna wimbo unaitwa Money,Power,Respect wa Lox
Fist yo get money
Then you get maza f....r power
Then maza f......r guys will respect you.
What you want in life
Money Power Respect
JK got it all
Jk hajui njaa ni mdudu gani
Kubali kataa CCM ni mali ya Jk ,kinana na makamba
Jk kazunguka dunia nzima with power money and respect
Na bado anaonekana atakula hizi bata mpaka afikishe miaka 100
Ukijumlisha bata alizokula Jk hata ujumlishe marais wote tangu uhuru hawamfikii.
God bless you Jk
Haters niueni
Daudi Albert Bashite alisema yeye ni namba moja
 
Mbona unaongea as if kamaliza Kula hata,
Mwanadiplomasia ngwili kila siku yupo manje huko!
Mara anakunywa kahawa na wataleban..
Mara Uswizi!
Jamani JK Mungu azidi kumbariki, mtoto Waziri, mke mbunge!

Yaani halafu Hana shombo Ka za Mkolomije!

Siyo yeye Tu hata watanzania walikula bata!
 
Mbona unaongea as if kamaliza Kula hata,
Mwanadiplomasia ngwili kila siku yupo manje huko!
Mara anakunya kahawa na wataleban..
Mara Uswizi!
Jamani JK Mungu azidi kumbariki, mtoto Waziri, mke mbunge!

Yaani halafu Hana shombo Ka za Mkolomije!

Siyo yeye Tu hata watanzania walikula bata!
Kabisa aisee sijui Mungu ampe nini ukimtukana anasmile tu anajua matusi hayaui
 
Mara nyingi wanaokula bata na kufaidi raha za viongozi ama matajiri huwa ni Wanawake zao na Watoto wao ambao hawajui stress za Madaraka au za kumiliki Mali nyingi

Kama Mwanasiasa na kama kiongozi huwa anapitia nyakati ngumu za stress, hisia za kusalitiwa na hata wakati mwingine nafsi inakusuta unapowafanyizia wanasiasa maadui zako ama kwa ku revenge au kuwadhibiti dhidi ya hila zao

Mzee Mkuu alikuwa anamalizia stress za uongozi kwa kupiga mitungi ya kirusi kwa kwenda mbele

Mwingine akawa anamalizia stress kwa kuongeza Ibada

Mwingine hisia zilikuwa zikizidi anachukua pipa na washkaji wake kwa jina la wafanyabiashara kwenda kula bata

Mwingine akawa anapanga watu barabarana 'wazuie' msafara wake anachamba, anafoka anatoa ya Moyoni nafsi inatulia

Kwa mawazo yangu anaekula bata zaid ni yule ambae hana muda wa kuwa na stress bila ya kujali ana kipato kiasi gani
 
Mara nyingi wanaokula bata na kufaidi raha za viongozi ama matajiri huwa ni Wanawake zao na Watoto wao ambao hawajui stress za Madaraka au za kumiliki Mali nyingi

Kama Mwanasiasa na kama kiongozi huwa anapitia nyakati ngumu za stress, hisia za kusalitiwa na hata wakati mwingine nafsi inakusuta unapowafanyizia wanasiasa maadui zako ama kwa ku revenge au kuwadhibiti dhidi ya hila zao

Mzee Mkuu alikuwa anamalizia stress za uongozi kwa kupiga mitungi ya kirusi kwa kwenda mbele

Mwingine akawa anamalizia stress kwa kuongeza Ibada

Mwingine hisia zilikuwa zikizidi anachukua pipa na washkaji wake kwa jina la wafanyabiashara kwenda kula bata

Mwingine akawa anapanga watu barabarana 'wazuie' msafara wake anachamba, anafoka anatoa ya Moyoni nafsi inatulia

Kwa mawazo yangu anaekula bata zaid ni yule ambae hana muda wa kuwa na stress bila ya kujali ana kipato kiasi gani
Uko sahihi ila
Bongo hakuna asiye na stress hadi mbwa tunaofuga wanastress kula uji kila siku badala ya nyama
 
Back
Top Bottom