Hivi kuna Mtanzania aliyekula bata kama Jakaya Kikwete?

Hivi kuna Mtanzania aliyekula bata kama Jakaya Kikwete?

Kwetu tambuka reli soko mjinga wanauza maharage yaliyopikwa bakuli mia mbili, na yashaungwa nazi kabisa

Unapika ugali usiku ukitoka kwny mihangaiko unamtuma Mtoto maharage ya mia mbili kwny bakuli siku imeisha

Ukishiba unaingia JF kwa miatano yako tu ya kifurushi kubishana Siasa za Katiba mpya
Mtu unaenda gengeni kununua nyanya moja! Hii nchi ni makini kinoma.
 
Kwetu tambuka reli soko mjinga wanauza maharage yaliyopikwa bakuli mia mbili, na yashaungwa nazi kabisa

Unapika ugali usiku ukitoka kwny mihangaiko unamtuma Mtoto maharage ya mia mbili kwny bakuli siku imeisha

Ukishiba unaingia JF kwa miatano yako tu ya kifurushi kubishana Siasa za Katiba mpya
Na vile tunatumia ID fake ukishashiba maharage unajikuta unamtukana mzazi wako bila kujua au kuponda single mother kumbe na wewe ni mtoto wa nje ya ndoa ahaaaa
 
Na sasa ni kama yupo madarakani nafikiri mzee ni $ bilionea sema amewekeza kwa waarabu na wahindi wamfanyie kazi
Na
Na Rais aliyepo anajiamini kwa Sababu ya ushwawishi wa kikwete ndani ya chama kwasababu anaogopeka sana na wanaccm
Kina makamba na kinana hawana ushwawishi wowote ni vile wameegemea kwa kikwete
Uko sahihi kabisa mkuu
 
Na sasa ni kama yupo madarakani nafikiri mzee ni $ bilionea sema amewekeza kwa waarabu na wahindi wamfanyie kazi
Na
Na Rais aliyepo anajiamini kwa Sababu ya ushwawishi wa kikwete ndani ya chama kwasababu anaogopeka sana na wanaccm
Kina makamba na kinana hawana ushwawishi wowote ni vile wameegemea kwa kikwete
Yana mwisho mkuu ipo siku
 
Kuna wimbo unaitwa Money,Power,Respect wa Lox
Fist yo get money
Then you get maza f....r power
Then maza f......r guys will respect you.
What you want in life
Money Power Respect
JK got it all
Jk hajui njaa ni mdudu gani
Kubali kataa CCM ni mali ya Jk ,kinana na makamba
Jk kazunguka dunia nzima with power money and respect
Na bado anaonekana atakula hizi bata mpaka afikishe miaka 100
Ukijumlisha bata alizokula Jk hata ujumlishe marais wote tangu uhuru hawamfikii
Wanasema Jk bado unaongoza nchi gani sijui
Jk kana ni kweli mwambie mama atuachie yule DJ disco limepoa.
Mbona we ulivumilia kelele za muziki.
Inakuwaje wengine muziki uwe kelele.nadhani Mungu alikubariki sababu roho yako nyeupe huna nongwa na mtu.
God bless you Jk
Haters niueni
hakuna mtu alikula bata kama BASHITE. trust me.
 
Back
Top Bottom