Hivi kuna Mtanzania aliyekula bata kama Jakaya Kikwete?

Hivi kuna Mtanzania aliyekula bata kama Jakaya Kikwete?

Maisha ya bata matamu sana. Kwa hili siwezi kumponda JK. Aendelee tu kula hilo bata mpaka siku yake ya kiama. Maana hakuna namna.

Bata batani🍻🥂🍾🍴👩‍❤️‍👨🥵

Kwanini mnamsingizia mkwere wa Watu? Maradhi aliyokuwa nayo siyo ya kumuezesha mtu kula bata!!! Anajikaza tu mambo sio kama mnavyoyaona.
 
Kuna wimbo unaitwa Money,Power,Respect wa Lox
Fist yo get money
Then you get maza f....r power
Then maza f......r guys will respect you.
What you want in life
Money Power Respect
JK got it all
Jk hajui njaa ni mdudu gani
Kubali kataa CCM ni mali ya Jk ,kinana na makamba
Jk kazunguka dunia nzima with power money and respect
Na bado anaonekana atakula hizi bata mpaka afikishe miaka 100
Ukijumlisha bata alizokula Jk hata ujumlishe marais wote tangu uhuru hawamfikii
Wanasema Jk bado unaongoza nchi gani sijui
Jk kana ni kweli mwambie mama atuachie yule DJ disco limepoa.
Mbona we ulivumilia kelele za muziki.
Inakuwaje wengine muziki uwe kelele.nadhani Mungu alikubariki sababu roho yako nyeupe huna nongwa na mtu.
God bless you Jk
Haters niueni
Nani akuue wewe
Endelea kula Bata tu ila Kila kitu kina mwisho
 
Kuna wimbo unaitwa Money,Power,Respect wa Lox
Fist yo get money
Then you get maza f....r power
Then maza f......r guys will respect you.
What you want in life
Money Power Respect
JK got it all
Jk hajui njaa ni mdudu gani
Kubali kataa CCM ni mali ya Jk ,kinana na makamba
Jk kazunguka dunia nzima with power money and respect
Na bado anaonekana atakula hizi bata mpaka afikishe miaka 100
Ukijumlisha bata alizokula Jk hata ujumlishe marais wote tangu uhuru hawamfikii
Wanasema Jk bado unaongoza nchi gani sijui
Jk kana ni kweli mwambie mama atuachie yule DJ disco limepoa.
Mbona we ulivumilia kelele za muziki.
Inakuwaje wengine muziki uwe kelele.nadhani Mungu alikubariki sababu roho yako nyeupe huna nongwa na mtu.
God bless you Jk
Haters niueni
Amekula bata kumzidi bashite? maana kwa maneno yake mwenyewe alidai hakuna anayekula raha hapa duniani kama yeye..........
 
Kwetu tambuka reli soko mjinga wanauza maharage yaliyopikwa bakuli mia mbili, na yashaungwa nazi kabisa

Unapika ugali usiku ukitoka kwny mihangaiko unamtuma Mtoto maharage ya mia mbili kwny bakuli siku imeisha

Ukishiba unaingia JF kwa miatano yako tu ya kifurushi kubishana Siasa za Katiba mpya
Halafu anatoka mjinga mmoja anajitapa eti katika Wala raha duniani yeye ni namba moja
 
Babu yake aliwahi Akida wa Wajerumani, na walipoondoka wakaja waingereza akawa Hakimu kule Bagamoyo hadi miaka ya 1940s na mtoto wake akawa DC kule Same na Pangani miaka ya mwisho ya Uhuru na mwanzo ya Uhuru, 1965 chini ya Julius Nyerere akawa Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba

Kwa hiyo Baba wa Babu alikuwa Akida na Hakimu

Babu akawa DC
Baba akawa Rais
Mtoto kawa Naibu Waziri

Jamaa hawajapoteza kijiti kuanzia 1880s

Labda mtoto ndio atoe boko
Bashite miaka sita tu chali, anajificha uvunguniJk kaanza bata akiwa tumboni nasikia mzee wake naye aliwahi kuwa DC kama bashite
 
Babu yake aliwahi Akida wa Wajerumani, na walipoondoka wakaja waingereza akawa Hakimu kule Bagamoyo hadi miaka ya 1940s na mtoto wake akawa DC kule Same na Pangani miaka ya mwisho ya Uhuru na mwanzo ya Uhuru, 1965 chini ya Julius Nyerere akawa Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba

Kwa hiyo Baba wa Babu alikuwa Akida na Hakimu

Babu akawa DC
Baba akawa Rais
Mtoto kawa Naibu Waziri

Jamaa hawajapoteza kijiti kuanzia 1880s

Labda mtoto ndio atoe boko
Dah kuna watu wana bahati zao,hapo hujamuongelea mama mtu,first lady na mbunge
 
Huyu hapa
 
Kuna wimbo unaitwa Money,Power,Respect wa Lox
Fist yo get money
Then you get maza f....r power
Then maza f......r guys will respect you.
What you want in life
Money Power Respect
JK got it all
Jk hajui njaa ni mdudu gani
Kubali kataa CCM ni mali ya Jk ,kinana na makamba
Jk kazunguka dunia nzima with power money and respect
Na bado anaonekana atakula hizi bata mpaka afikishe miaka 100
Ukijumlisha bata alizokula Jk hata ujumlishe marais wote tangu uhuru hawamfikii
Wanasema Jk bado unaongoza nchi gani sijui
Jk kana ni kweli mwambie mama atuachie yule DJ disco limepoa.
Mbona we ulivumilia kelele za muziki.
Inakuwaje wengine muziki uwe kelele.nadhani Mungu alikubariki sababu roho yako nyeupe huna nongwa na mtu.
God bless you Jk
Haters niueni
Dr Kigwa!
 
Kuna wimbo unaitwa Money,Power,Respect wa Lox
Fist yo get money
Then you get maza f....r power
Then maza f......r guys will respect you.
What you want in life
Money Power Respect
JK got it all
Jk hajui njaa ni mdudu gani
Kubali kataa CCM ni mali ya Jk ,kinana na makamba
Jk kazunguka dunia nzima with power money and respect
Na bado anaonekana atakula hizi bata mpaka afikishe miaka 100
Ukijumlisha bata alizokula Jk hata ujumlishe marais wote tangu uhuru hawamfikii
Wanasema Jk bado unaongoza nchi gani sijui
Jk kana ni kweli mwambie mama atuachie yule DJ disco limepoa.
Mbona we ulivumilia kelele za muziki.
Inakuwaje wengine muziki uwe kelele.nadhani Mungu alikubariki sababu roho yako nyeupe huna nongwa na mtu.
God bless you Jk
Haters niueni
Jakaya Mrisho Kilwete hamfikii Paul Christian Makonda,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uuzaji qa ngada Umetokea Pakistan na America ya Kaskazini

Kuhusu Tuhuma za Ufisadi ukiacha Mwl Nyerere hakuna Rais ambae hakatuhumiwa kwa ufisadi
Unaita tuhuma wakati tuliona wenyewe TWIGA na wanyama pori wengine wengi tu wakipakiwa kwenye ndege na kupelekwa Uarabuni!!! Hakuna wakati wauza NGADA walishamiri kama wakati wa Kikwete ; mpaka hata wabunge wakawa wadau wa biashara hiyo!! Marehemu Amina Chifupa alipotishia kuwataja bungeni akapoteza uhai wake mysteriously!!
 
Back
Top Bottom