Hivi kuna Mtanzania aliyekula bata kama Jakaya Kikwete?

Hivi kuna Mtanzania aliyekula bata kama Jakaya Kikwete?

Tuhuma huwa zinathibitishwa na Mahakama sio na Macho ya 'Wazalendo' kama Ww

Hizo mahakama za kuthibitisha wizi wa hawa maccm ziko wapi? Ndio maana marehemu Karume kule Zanzibar alikuwa anasema " Ukimkama mwizi keba ni mwizi tu" hakuna haja ya mahakama kuthibitisha!!!
 
Akina Jk tangu 1880s hawajapoteza Pasi…tukabe nasi tumiliki npira walau kwa miaka 10 badala ya kupigizana kelele JF za uzalendo wakati ziki zimetujaa hadi kwny kope

Kuwaita Wezi,vibaraka, sijui mafisadi havijawapunguzia kitu wao wala kutupa nafuu sie

Mzee Mizega ( Babu wa Jakaya) aliitwa Kibaraka wa wakoloni na 'wazalendo' wenzako

Mzee Mrisho ((DC) akaitwa Kibaraka wa Waingereza

Jakaya akaitwa Dhaifu, sijui Fisadi sijui nini

Mwanae Ridh kaitwa Muuza ngada sijui Fisadi sasa hivi Naibu Waziri


Pengine matusi yetu ndio 'ubani' unaowasaidia kutoboa zaid

Halaf Roho huwa inauma sana mtu unaemchukia sana akiwa anafanikiwa kila siku


Hizo mahakama za kuthibitisha wizi wa hawa maccm ziko wapi? Ndio maana marehemu Karume kule Zanzibar alikuwa anasema " Ukimkama mwizi keba ni mwizi tu" hakuna haja ya mahakama kuthibitisha!!!
 
Kwetu tambuka reli soko mjinga wanauza maharage yaliyopikwa bakuli mia mbili, na yashaungwa nazi kabisa

Unapika ugali usiku ukitoka kwny mihangaiko unamtuma Mtoto maharage ya mia mbili kwny bakuli siku imeisha

Ukishiba unaingia JF kwa miatano yako tu ya kifurushi kubishana Siasa za Katiba mpya
Unanikumbusha nilivyoishi Makorora Tanga miaka ya 83. Nilikua nasubiri Giza liingie ndio niende kwa mama ntilie kuchukua Maharage yakiyokwisha ungwa. Kisha nawasha mchina na kusonga chap. Ugali ukishaiva jiko linatolewa nje lipoe harufu Kisha navua Shati. Nikishamaliza kula nawasha sigara na kutoka kuvutia nje.
 
Vitoto vya 'Oryx gas' havielewi hata maana ya kuwasha mchina
Unanikumbusha nilivyoishi Makorora Tanga miaka ya 83. Nilikua nasubiri Giza liingie ndio niende kwa mama ntilie kuchukua Maharage yakiyokwisha ungwa. Kisha nawasha mchina na kusonga chap. Ugali ukishaiva jiko linatolewa nje lipoe harufu Kisha navua Shati. Nikishamaliza kula nawasha sigara na kutoka kuvutia nje.
 
Nakumbuka kipindi Cha mkapa mzee wangu aliweza kumiliki gar tatu kwa mpigo na wote tukasoma Private school
Kipindi Cha jkn akaacha mwenyewe nae broo akawa ndio ananza Kaz akitokea udsm lmv duh hatari Sana
Siwez sema yote ila kila tawala ina bahat zake
Akaja jpm dah broo ninae mfata katusua mbaya
 
Nakumbuka kipindi Cha mkapa mzee wangu aliweza kumiliki gar tatu kwa mpigo na wote tukasoma Private school
Kipindi Cha jkn akaacha mwenyewe nae broo akawa ndio ananza Kaz akitokea udsm lmv duh hatari Sana
Siwez sema yote ila kila tawala ina bahat zake
Akaja jpm dah broo ninae mfata katusua mbaya
Halafu kuna vijitu usipounga Mkono Madai ya Katiba Mpya wanakuona fala kumbe hawajui neema mnazokula kupitia katiba Mkweche

Mie mwenyewe nasema Katiba sio 'Kipaumbele changu' maana nina kichaka flani cha kusogezea siku na huenda kikafyekwa likija hilo Katiba mpya
 
Mbona unaongea as if kamaliza Kula hata,
Mwanadiplomasia ngwili kila siku yupo manje huko!
Mara anakunya kahawa na wataleban..
Mara Uswizi!
Jamani JK Mungu azidi kumbariki, mtoto Waziri, mke mbunge!

Yaani halafu Hana shombo Ka za Mkolomije!

Siyo yeye Tu hata watanzania walikula bata!
Aliutendea haki msemo wa kizuri kula na nduguyo. Kwa kweli acha tumsifu angali hai.
 
Mara nyingi wanaokula bata na kufaidi raha za viongozi ama matajiri huwa ni Wanawake zao na Watoto wao ambao hawajui stress za Madaraka au za kumiliki Mali nyingi

Kama Mwanasiasa na kama kiongozi huwa anapitia nyakati ngumu za stress, hisia za kusalitiwa na hata wakati mwingine nafsi inakusuta unapowafanyizia wanasiasa maadui zako ama kwa ku revenge au kuwadhibiti dhidi ya hila zao

Mzee Mkuu alikuwa anamalizia stress za uongozi kwa kupiga mitungi ya kirusi kwa kwenda mbele

Mwingine akawa anamalizia stress kwa kuongeza Ibada

Mwingine hisia zilikuwa zikizidi anachukua pipa na washkaji wake kwa jina la wafanyabiashara kwenda kula bata

Mwingine akawa anapanga watu barabarana 'wazuie' msafara wake anachamba, anafoka anatoa ya Moyoni nafsi inatulia

Kwa mawazo yangu anaekula bata zaid ni yule ambae hana muda wa kuwa na stress bila ya kujali ana kipato kiasi gani
Umenichekesha sana. You've made my day.
 
Back
Top Bottom