Hivi kuna Mtanzania aliyekula bata kama Jakaya Kikwete?

Hivi kuna Mtanzania aliyekula bata kama Jakaya Kikwete?

Mara nyingi wanaokula bata na kufaidi raha za viongozi ama matajiri huwa ni Wanawake zao na Watoto wao ambao hawajui stress za Madaraka au za kumiliki Mali nyingi

Kama Mwanasiasa na kama kiongozi huwa anapitia nyakati ngumu za stress, hisia za kusalitiwa na hata wakati mwingine nafsi inakusuta unapowafanyizia wanasiasa maadui zako ama kwa ku revenge au kuwadhibiti dhidi ya hila zao

Mzee Mkuu alikuwa anamalizia stress za uongozi kwa kupiga mitungi ya kirusi kwa kwenda mbele

Mwingine akawa anamalizia stress kwa kuongeza Ibada

Mwingine hisia zilikuwa zikizidi anachukua pipa na washkaji wake kwa jina la wafanyabiashara kwenda kula bata

Mwingine akawa anapanga watu barabarana 'wazuie' msafara wake anachamba, anafoka anatoa ya Moyoni nafsi inatulia

Kwa mawazo yangu anaekula bata zaid ni yule ambae hana muda wa kuwa na stress bila ya kujali ana kipato kiasi gani
Wa kichamba na kufoka 😄😄😄

2952061_JamiiForums569115795.jpg
 
Kuna wimbo unaitwa Money,Power,Respect wa Lox
Fist yo get money
Then you get maza f....r power
Then maza f......r guys will respect you.
What you want in life
Money Power Respect
JK got it all
Jk hajui njaa ni mdudu gani
Kubali kataa CCM ni mali ya Jk ,kinana na makamba
Jk kazunguka dunia nzima with power money and respect
Na bado anaonekana atakula hizi bata mpaka afikishe miaka 100
Ukijumlisha bata alizokula Jk hata ujumlishe marais wote tangu uhuru hawamfikii
Wanasema Jk bado unaongoza nchi gani sijui
Jk kana ni kweli mwambie mama atuachie yule DJ disco limepoa.
Mbona we ulivumilia kelele za muziki.
Inakuwaje wengine muziki uwe kelele.nadhani Mungu alikubariki sababu roho yako nyeupe huna nongwa na mtu.
God bless you Jk
Haters niueni
Hata Nyerere mwenye Tanganyika na kisha Tanzania hakuwahi KULA
 
Kuna wimbo unaitwa Money,Power,Respect wa Lox
Fist yo get money
Then you get maza f....r power
Then maza f......r guys will respect you.
What you want in life
Money Power Respect
JK got it all
Jk hajui njaa ni mdudu gani
Kubali kataa CCM ni mali ya Jk ,kinana na makamba
Jk kazunguka dunia nzima with power money and respect
Na bado anaonekana atakula hizi bata mpaka afikishe miaka 100
Ukijumlisha bata alizokula Jk hata ujumlishe marais wote tangu uhuru hawamfikii
Wanasema Jk bado unaongoza nchi gani sijui
Jk kana ni kweli mwambie mama atuachie yule DJ disco limepoa.
Mbona we ulivumilia kelele za muziki.
Inakuwaje wengine muziki uwe kelele.nadhani Mungu alikubariki sababu roho yako nyeupe huna nongwa na mtu.
God bless you Jk
Haters niueni
Na bado anatamani awe na madaraka ya urais tena
1645301201040.png
 
Unaita tuhuma wakati tuliona wenyewe TWIGA na wanyama pori wengine wengi tu wakipakiwa kwenye ndege na kupelekwa Uarabuni!!! Hakuna wakati wauza NGADA walishamiri kama wakati wa Kikwete ; mpaka hata wabunge wakawa wadau wa biashara hiyo!! Marehemu Amina Chifupa alipotishia kuwataja bungeni akapoteza uhai wake mysteriously!!
Kwa hiyo alikuwa ni yeye? Mbona tuliona Tausi na wanyamapori kama hao ATI wanapelekwa Chato kumbe wanavushwa.
 
Akina Jk tangu 1880s hawajapoteza Pasi…tukabe nasi tumiliki npira walau kwa miaka 10 badala ya kupigizana kelele JF za uzalendo wakati ziki zimetujaa hadi kwny kope

Kuwaita Wezi,vibaraka, sijui mafisadi havijawapunguzia kitu wao wala kutupa nafuu sie

Mzee Mizega ( Babu wa Jakaya) aliitwa Kibaraka wa wakoloni na 'wazalendo' wenzako

Mzee Mrisho ((DC) akaitwa Kibaraka wa Waingereza

Jakaya akaitwa Dhaifu, sijui Fisadi sijui nini

Mwanae Ridh kaitwa Muuza ngada sijui Fisadi sasa hivi Naibu Waziri


Pengine matusi yetu ndio 'ubani' unaowasaidia kutoboa zaid

Halaf Roho huwa inauma sana mtu unaemchukia sana akiwa anafanikiwa kila siku
Hata ukiangalia kwa sasa wanaojifanya kumchukia Samia ndio kwanza wanamfungulia baraka.

Ukiona Mungu kampa mtu ukuu wewe kama kuna shida mkosoe na muombee,kumchukia unapoteza mda.

Pili ukishika dola kuna makosa ya kibinadamu but generally ukijitahidi kutenda haki kwa wengi Unapata thawabu ila ukiwa mkatili na kujifanya Mungu mtu inakukata mapema Sana..

Siku zote laize afare style ndio nzuri,wote waliojifanya kukaza hapa Duniani walikufa mapema Sana.
 
Mungu aendelee kumbariki JK. Kuna.mengi mazuri ameyatenda nchi hii. Inasemekana mastory ya town yaani kina Ndama au Charle Mtawali, au Dr Mponjoli walivyokuwa wakienda sehemu mfano Uk, au Atlanta ,au Ohio kuna wadau wanaomba likizo kwa ajili ya bata mwanzo mwisho ndivyo mkulu nae kuna vijana wa mjini huko New york walikuwa wanamsubiri akipanda tu watu wanaomba off kubeba box wanajua Kaka mkubwa is in town. bata kama lote yaani, Clubbin mzee mbele huko strippers kama malaika. Hata mimi ningekula hilo bata.
 
Mungu aendelee kumbariki JK. Kuna.mengi mazuri ameyatenda nchi hii. Inasemekana mastory ya town yaani kina Ndama au Charle Mtawali, au Dr Mponjoli walivyokuwa wakienda sehemu mfano Uk, au Atlanta ,au Ohio kuna wadau wanaomba likizo kwa ajili ya bata mwanzo mwisho ndivyo mkulu nae kuna vijana wa mjini huko New york walikuwa wanamsubiri akipanda tu watu wanaomba off kubeba box wanajua Kaka mkubwa is in town. bata kama lote yaani, Clubbin mzee mbele huko strippers kama malaika. Hata mimi ningekula hilo bata.
Kwanza wafanyabiashara na watumishi wanakumbuka Sana utawala wake.

Hata sisi huku Sumbawanga,Kigoma,Katavi na Ruvuma bila janja janja ya JK tungekuwa tunasugua vumbi saizi.

Natamani Samia arudishe Nchi kwenye hizo zama maana watu wanasimulia jinsi maisha yalikuwa matamu na walifanikiwa.
 
Kwetu tambuka reli soko mjinga wanauza maharage yaliyopikwa bakuli mia mbili, na yashaungwa nazi kabisa

Unapika ugali usiku ukitoka kwny mihangaiko unamtuma Mtoto maharage ya mia mbili kwny bakuli siku imeisha

Ukishiba unaingia JF kwa miatano yako tu ya kifurushi kubishana Siasa za Katiba mpya
mkuu umenifanya nicheke kwa nguvu usiku huu wa manane
 
Mungu aendelee kumbariki JK. Kuna.mengi mazuri ameyatenda nchi hii. Inasemekana mastory ya town yaani kina Ndama au Charle Mtawali, au Dr Mponjoli walivyokuwa wakienda sehemu mfano Uk, au Atlanta ,au Ohio kuna wadau wanaomba likizo kwa ajili ya bata mwanzo mwisho ndivyo mkulu nae kuna vijana wa mjini huko New york walikuwa wanamsubiri akipanda tu watu wanaomba off kubeba box wanajua Kaka mkubwa is in town. bata kama lote yaani, Clubbin mzee mbele huko strippers kama malaika. Hata mimi ningekula hilo bata.

Mzee wa kubembea na BOYS TO MEN!!
 
Back
Top Bottom