Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Teh teh teh 😂😂😂 sheikh leo umeonja bia nini?Labda usawa kwa maana ya idadi ya makalio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Teh teh teh 😂😂😂 sheikh leo umeonja bia nini?Labda usawa kwa maana ya idadi ya makalio
Teh teh teh [emoji23][emoji23][emoji23] sheikh leo umeonja bia nini?
Rais akitaka Mbowe awe huru hilo linawezekana kabisa'…Rais hana Mamlaka ya kumsamehe Mtuhumiwa…ana mamlaka ya kusamehe waliokutwa na hatia tu'-Kamanda Tundu Antipas Lissu -Rais wa Mioyo ya Akili kubwaaaz
Wa kichamba na kufoka 😄😄😄Mara nyingi wanaokula bata na kufaidi raha za viongozi ama matajiri huwa ni Wanawake zao na Watoto wao ambao hawajui stress za Madaraka au za kumiliki Mali nyingi
Kama Mwanasiasa na kama kiongozi huwa anapitia nyakati ngumu za stress, hisia za kusalitiwa na hata wakati mwingine nafsi inakusuta unapowafanyizia wanasiasa maadui zako ama kwa ku revenge au kuwadhibiti dhidi ya hila zao
Mzee Mkuu alikuwa anamalizia stress za uongozi kwa kupiga mitungi ya kirusi kwa kwenda mbele
Mwingine akawa anamalizia stress kwa kuongeza Ibada
Mwingine hisia zilikuwa zikizidi anachukua pipa na washkaji wake kwa jina la wafanyabiashara kwenda kula bata
Mwingine akawa anapanga watu barabarana 'wazuie' msafara wake anachamba, anafoka anatoa ya Moyoni nafsi inatulia
Kwa mawazo yangu anaekula bata zaid ni yule ambae hana muda wa kuwa na stress bila ya kujali ana kipato kiasi gani
Anaumwa magonjwa ya kitajiri?Kwanini mnamsingizia mkwere wa Watu? Maradhi aliyokuwa nayo siyo ya kumuezesha mtu kula bata!!! Anajikaza tu mambo sio kama unavyoyaona.
Hata Nyerere mwenye Tanganyika na kisha Tanzania hakuwahi KULAKuna wimbo unaitwa Money,Power,Respect wa Lox
Fist yo get money
Then you get maza f....r power
Then maza f......r guys will respect you.
What you want in life
Money Power Respect
JK got it all
Jk hajui njaa ni mdudu gani
Kubali kataa CCM ni mali ya Jk ,kinana na makamba
Jk kazunguka dunia nzima with power money and respect
Na bado anaonekana atakula hizi bata mpaka afikishe miaka 100
Ukijumlisha bata alizokula Jk hata ujumlishe marais wote tangu uhuru hawamfikii
Wanasema Jk bado unaongoza nchi gani sijui
Jk kana ni kweli mwambie mama atuachie yule DJ disco limepoa.
Mbona we ulivumilia kelele za muziki.
Inakuwaje wengine muziki uwe kelele.nadhani Mungu alikubariki sababu roho yako nyeupe huna nongwa na mtu.
God bless you Jk
Haters niueni
Na bado anatamani awe na madaraka ya urais tenaKuna wimbo unaitwa Money,Power,Respect wa Lox
Fist yo get money
Then you get maza f....r power
Then maza f......r guys will respect you.
What you want in life
Money Power Respect
JK got it all
Jk hajui njaa ni mdudu gani
Kubali kataa CCM ni mali ya Jk ,kinana na makamba
Jk kazunguka dunia nzima with power money and respect
Na bado anaonekana atakula hizi bata mpaka afikishe miaka 100
Ukijumlisha bata alizokula Jk hata ujumlishe marais wote tangu uhuru hawamfikii
Wanasema Jk bado unaongoza nchi gani sijui
Jk kana ni kweli mwambie mama atuachie yule DJ disco limepoa.
Mbona we ulivumilia kelele za muziki.
Inakuwaje wengine muziki uwe kelele.nadhani Mungu alikubariki sababu roho yako nyeupe huna nongwa na mtu.
God bless you Jk
Haters niueni
Kwa hiyo alikuwa ni yeye? Mbona tuliona Tausi na wanyamapori kama hao ATI wanapelekwa Chato kumbe wanavushwa.Unaita tuhuma wakati tuliona wenyewe TWIGA na wanyama pori wengine wengi tu wakipakiwa kwenye ndege na kupelekwa Uarabuni!!! Hakuna wakati wauza NGADA walishamiri kama wakati wa Kikwete ; mpaka hata wabunge wakawa wadau wa biashara hiyo!! Marehemu Amina Chifupa alipotishia kuwataja bungeni akapoteza uhai wake mysteriously!!
Hata ukiangalia kwa sasa wanaojifanya kumchukia Samia ndio kwanza wanamfungulia baraka.Akina Jk tangu 1880s hawajapoteza Pasi…tukabe nasi tumiliki npira walau kwa miaka 10 badala ya kupigizana kelele JF za uzalendo wakati ziki zimetujaa hadi kwny kope
Kuwaita Wezi,vibaraka, sijui mafisadi havijawapunguzia kitu wao wala kutupa nafuu sie
Mzee Mizega ( Babu wa Jakaya) aliitwa Kibaraka wa wakoloni na 'wazalendo' wenzako
Mzee Mrisho ((DC) akaitwa Kibaraka wa Waingereza
Jakaya akaitwa Dhaifu, sijui Fisadi sijui nini
Mwanae Ridh kaitwa Muuza ngada sijui Fisadi sasa hivi Naibu Waziri
Pengine matusi yetu ndio 'ubani' unaowasaidia kutoboa zaid
Halaf Roho huwa inauma sana mtu unaemchukia sana akiwa anafanikiwa kila siku
Huku ndio maskini wanavyojifariji 😁😁😁.Hayo yote yakiwemo manissan na mahekalu hayana maana kama hayawaletei furaha!!!!! Tajiri anafurajha vipi mali yake wakati hawezi kula vizuri na kunywa vizuri kwa sababu ya ubovu wa afya yake?
Huu ni wivu,kutosheka ndio msamiati gani? Unatosheka ukiwa hai?NA HAELEKEI KUTOSHEKA TAMAA MBELE MAUTI NYUMA.
Kwanza wafanyabiashara na watumishi wanakumbuka Sana utawala wake.Mungu aendelee kumbariki JK. Kuna.mengi mazuri ameyatenda nchi hii. Inasemekana mastory ya town yaani kina Ndama au Charle Mtawali, au Dr Mponjoli walivyokuwa wakienda sehemu mfano Uk, au Atlanta ,au Ohio kuna wadau wanaomba likizo kwa ajili ya bata mwanzo mwisho ndivyo mkulu nae kuna vijana wa mjini huko New york walikuwa wanamsubiri akipanda tu watu wanaomba off kubeba box wanajua Kaka mkubwa is in town. bata kama lote yaani, Clubbin mzee mbele huko strippers kama malaika. Hata mimi ningekula hilo bata.
Maradhi yanayomsumbua aliyaweka hadharani mwenyewe na sio ugonjwa wa kitajiri haslani bali hata masikini huugua!!!Anaumwa magonjwa ya kitajiri?
Kwa hiyo ukiwa maskini ndio una furaha au?
Hahahaha!Mavi yake yakikusanywa yapo nchi zaid ya 100
Mwenzangu na mie yote yanakusanywa tangu uzaliwe yapo Iringa labda tofauti ni wilaya ulizonyea
mkuu umenifanya nicheke kwa nguvu usiku huu wa mananeKwetu tambuka reli soko mjinga wanauza maharage yaliyopikwa bakuli mia mbili, na yashaungwa nazi kabisa
Unapika ugali usiku ukitoka kwny mihangaiko unamtuma Mtoto maharage ya mia mbili kwny bakuli siku imeisha
Ukishiba unaingia JF kwa miatano yako tu ya kifurushi kubishana Siasa za Katiba mpya
Mungu aendelee kumbariki JK. Kuna.mengi mazuri ameyatenda nchi hii. Inasemekana mastory ya town yaani kina Ndama au Charle Mtawali, au Dr Mponjoli walivyokuwa wakienda sehemu mfano Uk, au Atlanta ,au Ohio kuna wadau wanaomba likizo kwa ajili ya bata mwanzo mwisho ndivyo mkulu nae kuna vijana wa mjini huko New york walikuwa wanamsubiri akipanda tu watu wanaomba off kubeba box wanajua Kaka mkubwa is in town. bata kama lote yaani, Clubbin mzee mbele huko strippers kama malaika. Hata mimi ningekula hilo bata.
Yupo wapi?Daudi Albert Bashite alisema yeye ni namba moja
Mbona unaongea as if kamaliza Kula hata,
Mwanadiplomasia ngwili kila siku yupo manje huko!
Mara anakunya kahawa na wataleban..
Mara Uswizi!
Jamani JK Mungu azidi kumbariki, mtoto Waziri, mke mbunge!
Yaani halafu Hana shombo Ka za Mkolomije!
Siyo yeye Tu hata watanzania walikula bata!
😂Mara anakunya