Hivi kuna Mtanzania aliyekula bata kama Jakaya Kikwete?

Hivi kuna Mtanzania aliyekula bata kama Jakaya Kikwete?

Mavi yake yakikusanywa yapo nchi zaid ya 100

Mwenzangu na mie yote yanakusanywa tangu uzaliwe yapo Iringa labda tofauti ni wilaya ulizonyea
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Kwetu tambuka reli soko mjinga wanauza maharage yaliyopikwa bakuli mia mbili, na yashaungwa nazi kabisa

Unapika ugali usiku ukitoka kwny mihangaiko unamtuma Mtoto maharage ya mia mbili kwny bakuli siku imeisha

Ukishiba unaingia JF kwa miatano yako tu ya kifurushi kubishana Siasa za Katiba mpya
Huu Uzi nitacheka Sana [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji119]
 
Sio ya kimipango mkuu mtu kafa unajitetea wewe. Mama akinya unatajwa wewe. Haiwi sawa na mara nyingi
.Mungu hajawahi kuwa msambaa ipo siku atakuchotatama
Huu ni wivu,kutosheka ndio msamiati gani? Unatosheka ukiwa hai?

Mwenzio Dunia inamhitaji na yeye anaona bado ana nguvu kwa nini asiende?
Unapomwonea mtu wivu unapata nini mazee. Huu ni mjadala tu mimi siwezi kuwa jakaya halafu hapa kumbuka tunamzungumzia mtu ambae ameiongoza na kuitawala jamii hudhani nina haki ya kusema hivi sababu hata vinamvyombeba vinahusu umma. KILA mtu hawezi kufikiri utakavyo.
 
Yaan we jamaa unachekesha kinomaaaaa
Hapa yupo pande za UN na Guteres👇

Screenshot_20220126-104550.png
 
Bakhresa hatumii Mali za umma wala biashara zake hazihusianagi na mambo yenye maslahi na taifa.
Relax ndugu yangu,dont take things so serious,ukipata nafasi ya kula bata we kula tu,maiasha ndio hayahaya
 
Relax ndugu yangu,dont take things so serious,ukipata nafasi ya kula bata we kula tu,maiasha ndio hayahaya
Watakatifu wapo,sio kila mtu anapenda makuu hata hivyo hii ni mada tu inayosaidia huko unakokuita kurelax.
 
Back
Top Bottom