Kumbe Rizi ni kauzu yule jamaa eeeh?!Nenda dodoma bungeni ukaonane na mwanae jifanye unaomba kazi ya kuwa chawa wake.ila mwanae kauzu kuliko baba mtu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe Rizi ni kauzu yule jamaa eeeh?!Nenda dodoma bungeni ukaonane na mwanae jifanye unaomba kazi ya kuwa chawa wake.ila mwanae kauzu kuliko baba mtu
wengine wakaanza kutuletea mambo ya kijijini kwao maneno kama kupiga nyungu yaani ushamba juu ushamba.jiwe alitudumaza sana huu ugumu wa maisha yeye ndiyo sababu, washamba wengi walipewa nafasi watuongeza nchi iliongozwa kishamba sana wakati wa jiwe.
Ghorofa ngapi mkuu?Those day nikiwa afisa mambo ya nje... chini ya huyo mwamba nilijenga ghorofa 3 sehemu tofauti kabla ya kuhamia dunia ya kwanza. Boys2Men.... long live...
2 floors, 3 flrs or?Those day nikiwa afisa mambo ya nje... chini ya huyo mwamba nilijenga ghorofa 3 sehemu tofauti kabla ya kuhamia dunia ya kwanza. Boys2Men.... long live...
Walikuwa wauaji? Walikuwa na stress? Mugabe alipoanza mauaji akaishia wapi? Cuba sijui siasa zake za ndani.Sio kweli kuna viongozi walikuwa wanakaza lakin age ilifika had 95 exp Mugabe na Fidel Castro.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Mavi yake yakikusanywa yapo nchi zaid ya 100
Mwenzangu na mie yote yanakusanywa tangu uzaliwe yapo Iringa labda tofauti ni wilaya ulizonyea
[emoji16][emoji16]Mtu unaenda gengeni kununua nyanya moja! Hii nchi ni makini kinoma.
Huu Uzi nitacheka Sana [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji119]Kwetu tambuka reli soko mjinga wanauza maharage yaliyopikwa bakuli mia mbili, na yashaungwa nazi kabisa
Unapika ugali usiku ukitoka kwny mihangaiko unamtuma Mtoto maharage ya mia mbili kwny bakuli siku imeisha
Ukishiba unaingia JF kwa miatano yako tu ya kifurushi kubishana Siasa za Katiba mpya
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Labda usawa kwa maana ya idadi ya makalio
Duuh! Upande fulani amechagua maisha mazuri, ila ukikaza si unamuingia?Kauzu kiasi chake haingiliki kirahisi,sio mtu wa watu kama dingi yake,
[emoji16][emoji16][emoji16]inatoka wapi !?Huku ndio maskini wanavyojifariji [emoji16][emoji16][emoji16].
Kwa hiyo ukiwa maskini ndio una furaha au?
Kwenye pesa.[emoji16][emoji16][emoji16]inatoka wapi !?
Unapomwonea mtu wivu unapata nini mazee. Huu ni mjadala tu mimi siwezi kuwa jakaya halafu hapa kumbuka tunamzungumzia mtu ambae ameiongoza na kuitawala jamii hudhani nina haki ya kusema hivi sababu hata vinamvyombeba vinahusu umma. KILA mtu hawezi kufikiri utakavyo.Huu ni wivu,kutosheka ndio msamiati gani? Unatosheka ukiwa hai?
Mwenzio Dunia inamhitaji na yeye anaona bado ana nguvu kwa nini asiende?
Bakhresa hatumii Mali za umma wala biashara zake hazihusianagi na mambo yenye maslahi na taifa.Bakhresabado anauza tui la nazi,chapati na lambalamba,hela huwa haitoshi
Yaan we jamaa unachekesha kinomaaaaaMavi yake yakikusanywa yapo nchi zaid ya 100
Mwenzangu na mie yote yanakusanywa tangu uzaliwe yapo Iringa labda tofauti ni wilaya ulizonyea
Hapa yupo pande za UN na Guteres👇Yaan we jamaa unachekesha kinomaaaaa
Watakatifu wapo,sio kila mtu anapenda makuu hata hivyo hii ni mada tu inayosaidia huko unakokuita kurelax.Relax ndugu yangu,dont take things so serious,ukipata nafasi ya kula bata we kula tu,maiasha ndio hayahaya