Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
First lady akapanda na heels zake 😆😆😆Na bado anatamani awe na madaraka ya urais tena
View attachment 2124371
Nna chumba changu Tena Cha ndani Kodi sh 60.Humu kuna watu wanastahili SHIKAMOO! Mwaka 83 tayari unawajua MAMA LISHE... Unavuta Sigara...
China mbali Kenya tu hapo ..mpaka gaazeti waliandika.. ..Nenda China watakupa Ushahidi!!! Marafiki zake wote wanajihusisha na hiyo biashara , yeye atakosaje? SHOW ME YOUR FRIEND AND I WILL TELL YOU YOUR CHARACTER!!!
sasa kama tunaibiwa kwa akili tusisifie ? kama hujui wizi upo duniani kote viongozi wanaiba sana hata tukilaani haitobadili kitu hapamtaishi kwa kusifia ndio kazi zenu watanzania hamna lolote hata mkiibiwa mnasifia mkidhulumiwa mnasifia kutawala tanzania mbona rahisi sana mijitu nikusifia kubishana kumbe hata jid benz anaweza kuwa rais
We jamaa ni mkuu-ndu-gu yangu kabisa.Mavi yake yakikusanywa yapo nchi zaid ya 100
Mwenzangu na mie yote yanakusanywa tangu uzaliwe yapo Iringa labda tofauti ni wilaya ulizonyea
Namba yake anayo mama TMwenye mawasiliano yake please huyu mzee wa watu Muungwana niombe hata msaada ufadhili nikasome.
TakatakaAchen ale sabab bata huandaliwa, we km umeshindwa kujiandalia acha ule shida
Duuuh kumbe mzee ni mafia eeh?JK namkubali sana mshikaji wangu tumekula nae sana bata,sema jamaa anatembea na mguu wa bata masaa yote....jamaa yangu sana mambo ya uzee hana kabisa,nakubali uvaaji wake anatembea na fasheni miaka yote.
Unaonekana unauogopa sana huo mguu wa bata anaotembea nao. Wewe ulikuwa chawa wake?JK namkubali sana mshikaji wangu tumekula nae sana bata,sema jamaa anatembea na mguu wa bata masaa yote....jamaa yangu sana mambo ya uzee hana kabisa,nakubali uvaaji wake anatembea na fasheni miaka yote.
YUko imara sana uwanja huoDuuuh kumbe mzee ni mafia eeh?
NI kweli mnaweza zinguana akaikoki mzee !kwisha habari yakoUnaonekana unauogopa sana huo mguu wa bata anaotembea nao. Wewe ulikuwa chawa wake?
Vizuri kama umelitambua hilo, sasa na wewe usikae kizoba ikiwa unaandamana na mtu wa aina hiyo, lolote linaweza kutokea. Jipange kila dakika.NI kweli mnaweza zinguana akaikoki mzee !kwisha habari yako