Hivi kuna mtu alishawahi kuwa na uhusiano na kiumbe jini

Hivi kuna mtu alishawahi kuwa na uhusiano na kiumbe jini

Mkuu hapo inahitajika akili ndogo tuu

Ngono ipo kufanywa na ME&KE physically sasa kama mmoja kati yao anafanya kitendo kinachoshabihiana na ngono bila mtu wa jinsia nyingine mpaka anafikia climax/kileleni basi kipo kitu/mtu/kiumbe anakuwa connected nacho sexually
Mkuu hapo inahitajika akili ndogo tuu

Ngono ipo kufanywa na ME&KE physically sasa kama mmoja kati yao anafanya kitendo kinachoshabihiana na ngono bila mtu wa jinsia nyingine mpaka anafikia climax/kileleni basi kipo kitu/mtu/kiumbe anakuwa connected nacho sexually
Hapa sasa kiongozi ndiyo nimekuelewa vizuri sana tena sana.
 
Majini kuna wachavu na waovu ambao wanafanya mabaya mengi sana na hata kushawishi wanadamu waingie kwenye maasi, hawa wanaitwa mashetani. Ni kosa kubwa kumwita shetani jini ambaye hana sifa hizo,
Muhammad alisema devil (shetani) wake kutoka majini anamshauri mema na ni muislamu, unaliongeleje hilo

Muhammad, said, “Each one of you has a devil-companion from the jinn over him.” They said, “Even you, O Messenger of Allah?” The Prophet said, “Even me, yet Allah helped me against him until he embraced Islam. He does not order me to do anything but good saḥīḥ Muslim 2814
 
Majini ni malaika waasi kwa Mungu. Ni roho, kwa mujibu wa Biblia majini ni wawakilishi wa shetani, shetani hana lolote jema kwa mwanadamu, shetani akikupa kitu na mkono wa kulia anachukua kitu ndani yako kwa mkono wake wa kushoto. Anaweza kukupa pesa na vitu vingine unavyo tamani lakini hawezi kukupa amani, amani ni kila kitu kwa mwanadamu, Bora ukose vyote lkn uwe na amani kwakua hata pesa tunazitafuta ili tuwe na amani. Mwisho wa uhusiano wowote na majini ni mauti na moto wa milele jehanamu. Mpokee Yesu awe Bwana na mwokozi wa maisha yako, naye atakupumzisha mizigo yako
Mimi nilishawahi kusaidiwa na Jini anaitwa Belzebul huyu ukiukutana nae hana shida anakusaidia kama ukiwa na shida ila pia ukitaka kutafsiri majini kumbuka kujua unawaelezea kwa dini gani kwa waislam kuna majini wema na wabaya kwa wakristo majini roho chafu ila kwa dini zote wanaamini Shetani ni mbaya ijapokuwa kuna watu wengine anawasaidia hapa watu wanachanganya kati ya majini na Shetani

ILA KIUHALISIA SHEATANI ni opposite ya MUNGU hivyo kwa vyovyote ili shetani atokee lazima Mungu awepo kama vile positive na negative maana yake Aliyemuumba Mungu ndio kamuumba Shetani na Kama Mungu kamuumba Shetani basi Mungu ndio Shetani mwenywe
 
Mimi nilishawahi kusaidiwa na Jini anaitwa Belzebul huyu ukiukutana nae hana shida anakusaidia kama ukiwa na shida ila pia ukitaka kutafsiri majini kumbuka kujua unawaelezea kwa dini gani kwa waislam kuna majini wema na wabaya kwa wakristo majini roho chafu ila kwa dini zote wanaamini Shetani ni mbaya ijapokuwa kuna watu wengine anawasaidia hapa watu wanachanganya kati ya majini na Shetani

ILA KIUHALISIA SHEATANI ni opposite ya MUNGU hivyo kwa vyovyote ili shetani atokee lazima Mungu awepo kama vile positive na negative maana yake Aliyemuumba Mungu ndio kamuumba Shetani na Kama Mungu kamuumba Shetani basi Mungu ndio Shetani mwenywe
Lilikusaidia kabisa.
 
Lilikusaidia kabisa.
Nilikuwa nadaiwa ada ya chuo nilikula sasa tulipokaribia end of semester wale ambao hatujamaliza ada tulikuwa tumeambiwa hampata namba na hamtafanya mitihani ya fainal nakumbuka nilikuwa sili vizuri wala silali usingizi vizuri maana nisipofanya paper na hela ya ada nimekula itakuwaje nyumbani wee nilivyokutana na huyo Belzebul nilichomuomba anisaidie kubet mpira nipate pesa akaniambia lala usingizi timu utakazoziota weka hizo hizo nakumbuka nikala laki 5 nikalipa ada maajabu mpaka leo kila nikimuita haji 😁 😁 😁
 
Nilikuwa nadaiwa ada ya chuo nilikula sasa tulipokaribia end of semester wale ambao hatujamaliza ada tulikuwa tumeambiwa hampata namba na hamtafanya mitihani ya fainal nakumbuka nilikuwa sili vizuri wala silali usingizi vizuri maana nisipofanya paper na hela ya ada nimekula itakuwaje nyumbani wee nilivyokutana na huyo Belzebul nilichomuomba anisaidie kubet mpira nipate pesa akaniambia lala usingizi timu utakazoziota weka hizo hizo nakumbuka nikala laki 5 nikalipa ada maajabu mpaka leo kila nikimuita haji 😁 😁 😁
Inabidi unipe mbinu za kumuita.
 
Inabidi unipe mbinu za kumuita.
Kuna mtu niliwahi kumuuliza akaniambia mara Belzebul haji mara kwa mara huyu ni chief mm nilipata bahati na mpaka leo hii nikifanya conjuring sprit ya Angel Demon na jinn ku summon hawa wanakuja wengine tu
 
Kuna mtu niliwahi kumuuliza akaniambia mara Belzebul haji mara kwa mara huyu ni chief mm nilipata bahati na mpaka leo hii nikifanya conjuring sprit ya Angel Demon na jinn ku summon hawa wanakuja wengine tu
Daaah nishachoka.
 
Salaam wote!!....

Nimeaona sio vibaya nikawashirikisha hili wakuu daah, maisha ya duniani kama huyajui unaweza dhania unayajua kumbe kuna vingi vitu huvijui.

hata ule chumvi nyingi lakini vipo bado vingi hutakuwa huvifahamu.

Hawa viumbe tunawasikia wanaitwa majini wapo lakini mara nyingi hawaonekani na huwa wapo kwenye mazingira yetu....ikumbukwe jini huweza kuwavaa hata binadamu bila yeye kujua.

Binafsi nilikuwa mazingira fulani ya shamba ambapo kuna ukimya na hakuna movement wala mimea mingi, basi nikanotisi harafu ya marashi makali sana ya kike hii ilitokea siku mbili zilizopita nyuma na jana tena yametokea.

Hivi Swali langu wakuu kwa nini Jini linapenda kufuata binadamu, kuna jamaa mmoja alisema ukiwa msafi sana jini huwa linatabia hizo, na pia ukiwa na mahusiano yanayosumbua afu jini likaamua kukupenda kuliko anayekusumbua pia hukufuata. (Ikumbukwe Kuna majini wazuri na wabaya).

Majini wengine wanabana au kuziba hadi riziki na wengine pia huwa na neema sema watakupa masharti.

Mawazo yenu wakuu hii hali inatokea sana.
Mmh! mwenzen majuz nimelala peke yangu asubuh naamka nijiandae kwenda job nakuta huku Mbele kumeloa!
Yan nawachukia sana hawa viumbe kwann wanafanya bila ridhaa ya mhusika[emoji24][emoji24]
 
Mmh! mwenzen majuz nimelala peke yangu asubuh naamka nijiandae kwenda job nakuta huku Mbele kumeloa!
Yan nawachukia sana hawa viumbe kwann wanafanya bila ridhaa ya mhusika[emoji24][emoji24]
Basi naja Dm tuungane
 
M
Mmh! mwenzen majuz nimelala peke yangu asubuh naamka nijiandae kwenda job nakuta huku Mbele kumeloa!
Yan nawachukia sana hawa viumbe kwann wanafanya bila ridhaa ya mhusika[emoji24][emoji24]
Mtoto akatoka amelowa
 
Mimi nakumbuka nikiwa mdogo niliwahi kulelewa kwa marehemu babu alikuwaga mganga wa majini, mtaalamu wa kutega na kufukuza majini na alikuwa mfugaji mzuri wa majini na misukule ya kienyeji
Kuhusu hao majini tulikuwa sometimes tunakunywa nao chai asubuhi.
 
🤣🤣🤣🤣Kuna mwingine mkaka nilimuona u tube nae anajiita sijui Nani majinni ni mpuuzi anatoa vi story vya vitishotisho
Vitisho si ndio tego mana kila ukiwa a unaona kama wanakuja. Mwisho wa kipindi wanaacha mawasiliano.
Mana ukisha Shiba pindi la majini hulali wewe.
 
Majini ni malaika waasi kwa Mungu. Ni roho, kwa mujibu wa Biblia majini ni wawakilishi wa shetani, shetani hana lolote jema kwa mwanadamu, shetani akikupa kitu na mkono wa kulia anachukua kitu ndani yako kwa mkono wake wa kushoto. Anaweza kukupa pesa na vitu vingine unavyo tamani lakini hawezi kukupa amani, amani ni kila kitu kwa mwanadamu, Bora ukose vyote lkn uwe na amani kwakua hata pesa tunazitafuta ili tuwe na amani. Mwisho wa uhusiano wowote na majini ni mauti na moto wa milele jehanamu. Mpokee Yesu awe Bwana na mwokozi wa maisha yako, naye atakupumzisha mizigo yako
Nyakati za sasa huwezi kua na amani kama huna pesa.
 
Back
Top Bottom