Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Yaani wanatutishaaa🤣🤣🤣Vitisho si ndio tego mana kila ukiwa a unaona kama wanakuja. Mwisho wa kipindi wanaacha mawasiliano.
Mana ukisha Shiba pindi la majini hulali wewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani wanatutishaaa🤣🤣🤣Vitisho si ndio tego mana kila ukiwa a unaona kama wanakuja. Mwisho wa kipindi wanaacha mawasiliano.
Mana ukisha Shiba pindi la majini hulali wewe.
Ochapwa na mashine haiwezi kukusaidia ila soma maarifa yaliyopo mule uokoleweUkienda huko shambani beba Bible hautasikia tena hayo marashi
Mimi nakumbuka nikiwa mdogo niliwahi kulelewa kwa marehemu babu alikuwaga mganga wa majini, mtaalamu wa kutega na kufukuza majini na alikuwa mfugaji mzuri wa majini na misukule ya kienyeji
Kuhusu hao majini tulikuwa sometimes tunakunywa nao chai asubuhi.