Hivi kuna mtu aliwahi kufanya ligi na Brevis AI 300 na akaishinda kweli? Mbona vigari vinakuwa uji sana mbele ya huyu mnyama?

Kuna sedan nzito zaidi ya Brevis, tell me u r joking
 
Brevis zimeharibiwa jina na wanaodai zinakula wese la maana
Halafu cha ajabu mi hata sioni kama inakula wese, maana mafuta hata ya buku 10 tu unaenda job na kurudi tena kwenye foleni kali na yanabaki mafuta kibao tu, tena hiyo gari ya 2002 na mafuta unakanyaga kibati full time, sasa hata sijui huwa wanazingumzia nini..
 
wewe utaua.πŸ€£πŸ€£πŸš•πŸš•
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…