F35-Bomber
JF-Expert Member
- Mar 18, 2017
- 1,345
- 1,069
Unakuta mtu unaendesha zako 50kph huna habari na mtu, taratiiibu kabisa, huku ukiburudika na mziki lainiii..., halafu ghafla anakuja mtu kwa nyuma na kuanza kukuwashia mafull light kwamba yaani unampotezea muda eti umpishee..., na sehehemu inakibao kabisa chan50kph...
Hahaha, nimetoka kuchakaza hiyo WRX juzi tu usiku njia ya Mwenge kwenda ubungo, hivyo vigari vinamakelele kiasi kama hujui unaweza kuogopa, kila saa nilikuwa nasikia kinapiga kelele za mluzi kama mtu anafyonza kitu hivi, 'swwiiiiiii, swiiiiiii, swiiiii....' hadi nikapagawa, basi nikaweka 'TRC off' halafu nikawasha 'ECT Power', ndugu, nikaona mashine inaanza kupaa' hahahabah, raha sana jinsi nilivokapita kama kamesimama at 170kph, sijui aliwaza nini baada ya kuonalile tukio, hahahahahah, it ws priceless, i would like more of those WRX toys, atleast zinatoa challenge kidogo, sio kama hizo XT, akijitahidi sana unamuacha @ 120kph..., ππππππ, raha sana jamaniiiHiyo speed ndogo sana mkuu. Wewe tunakuonea huruma tunakupa subaru wrx ambayo haijafanyiwa tuning.
Nakataa nabisha kabisa umekutana na lena wwHahaha, nimetoka kuchakaza hiyo WRX juzi tu usiku njia ya Mwenge kwenda ubungo, hivyo vigari vinamakelele kiasi kama hujui unaweza kuogopa, kila saa nilikuwa nasikia kinapiga kelele za mluzi kama mtu anafyonza kitu hivi, 'swwiiiiiii, swiiiiiii, swiiiii..
Hakuna cha learner wala nini, ni kwamba tu mnyama hashikikiNakataa nabisha kabisa umekutana na lena ww
Hahaha, nimetoka kuchakaza hiyo WRX juzi tu usiku njia ya Mwenge kwenda ubungo, hivyo vigari vinamakelele kiasi kama hujui unaweza kuogopa, kila saa nilikuwa nasikia kinapiga kelele za mluzi kama mtu anafyonza kitu hivi, 'swwiiiiiii, swiiiiiii, swiiiii....' hadi nikapagawa, basi nikaweka 'TRC off' halafu nikawasha 'ECT Power', ndugu, nikaona mashine inaanza kupaa' hahahabah, raha sana jinsi nilivokapita kama kamesimama at 170kph, sijui aliwaza nini baada ya kuonalile tukio, hahahahahah, it ws priceless, i would like more of those WRX toys, atleast zinatoa challenge kidogo, sio kama hizo XT, akijitahidi sana unamuacha @ 120kph..., [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], raha sana jamaniii
Natafuta pesa ninunue Jeep Cherokee 4,000 cc kwa ajili ya kudeal na watu kama hawa!Unakuta mtu unaendesha zako 50kph huna habari na mtu, taratiiibu kabisa, huku ukiburudika na mziki lainiii..., halafu ghafla anakuja mtu kwa nyuma na kuanza kukuwashia mafull light kwamba yaani unampotezea muda eti umpishee..., na sehehemu inakibao kabisa chan50kph.
Sasa watu kama hao dawa yao huwa naijua, ni kuwazalilisha tu, kiasi kama yuko na wenzake humo hadi aone aibu, ni kumwaibisha tu.
Kinachofanyika ni kumwacha apite kwanza na kiharrier chake cheupe, halafu unamwacha afike mbali kabisa tena akikamua at full throttle ili aone kwamba kakuweza, then akifika kama 50M ahead basi una mkamua mnyama at full throttle, 4 seconds nyingi anabaki kukutafuta umepitia wapi na uko wapi, stupid kabisa, na siku nyingine rudia tena, mnakera!
View attachment 1384663
Itakuwa alikutana na wrx ya kuchoraa πππHuyo jamaa hakutaka tu ligi,,,vinginevyo usingeona hata taa zake
Gahawa ya mchana kweupe hii.Hahaha, nimetoka kuchakaza hiyo WRX juzi tu usiku njia ya Mwenge kwenda ubungo, hivyo vigari vinamakelele kiasi kama hujui unaweza kuogopa, kila saa nilikuwa nasikia kinapiga kelele za mluzi kama mtu anafyonza kitu hivi, 'swwiiiiiii, swiiiiiii, swiiiii....' hadi nikapagawa, basi nikaweka 'TRC off' halafu nikawasha 'ECT Power', ndugu, nikaona mashine inaanza kupaa' hahahabah, raha sana jinsi nilivokapita kama kamesimama at 170kph, sijui aliwaza nini baada ya kuonalile tukio, hahahahahah, it ws priceless, i would like more of those WRX toys, atleast zinatoa challenge kidogo, sio kama hizo XT, akijitahidi sana unamuacha @ 120kph..., ππππππ, raha sana jamaniii
Alikuwa anajitahidi mno hadi injini inataka kupasuka unasema hakutaka? πππππHuyo jamaa hakutaka tu ligi,,,vinginevyo usingeona hata taa zake
Nyanya tu hizo, hamna kitu ππItakuwa alikutana na wrx ya kuchoraa πππ
Nyanya tu hizo, hamna kitu [emoji13][emoji13]
Alikuwa anajitahidi mno hadi injini inataka kupasuka unasema hakutaka? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huko umempeleka mbali sana mtafutie katoto ka VW Golf 1.190cc speed 260km/h.Utakuwa mgeni wa magari mzee.. Tenga muda cku moja nikupe free ride na VOLKSWAGEN GOLF GTI.. 296 HP
Dash board yangu speed limit inasoma 280 kph.. Brevis yako inasoma ngapi mzee [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1378310
Za masaru au sio eeh ππNyanya tu hizo, hamna kitu ππ
Natafuta pesa ninunue Jeep Cherokee 4,000 cc kwa ajili ya kudeal na watu kama hawa!
Cherokee 4.0l ni utopolo hio usione hio 4.0l ukadhani ni gari ya maana haina mbio hata kidogo,cherokee ya maana labda utafute SRT kitu 6.4l na sijui kama bei yake utaiweza.Natafuta pesa ninunue Jeep Cherokee 4,000 cc kwa ajili ya kudeal na watu kama hawa!
Janaa anakwambia hakuna brevis no. C Tz hui,hahah.Ule uzi fulani wa mdada anayetafuta gari ya milioni 5,,,tulipotaja bl Brevis nikashangaa sana jinsi ulivyokua unaipamba kumbe unamiliki hilo gari.
Cherokee 4.0l ni utopolo hio usione hio 4.0l ukadhani ni gari ya maana haina mbio hata kidogo,cherokee ya maana labda utafute SRT kitu 6.4l Hp
Janaa anakwambia hakuna brevis no. C Tz hui,hahah.
Na hio sio bmw 3 series mkuu.Mimi na BMW 3 series tu hahahaaaaa.....View attachment 1625092View attachment 1625093View attachment 1625094View attachment 1625095
Wakongo wanapenda magari mazuri sana mkuu,ukute linapelekwa huko mzee baba.Leo nimeona benz moja kali kinyama mitaa ya tazara ila inapelekwa boda nikasema kimoyo "mnyama yule" sipati picha huko njiani huo mwendo wake.