Akili Unazo!
JF-Expert Member
- Feb 18, 2009
- 3,930
- 4,912
Hivi kuna mtu wa Nchi hii anafuatilia na kuanzisha Mada JF ya nayoendelea Afrika Mashariki yanayohisiana na vita au heka heka ya kuagiza Yesu Africa?
Au nikiumbelel na kumuhemuhe au ubwege wa kuwazu yanayotuhusu mfano rushwa, mahari kwa watoto wetu na kabira zetu na mila zetu, tozo za vocha, ving'amuzi bando, mihamala ya simu, ya benki; kweli kuna mtu.
Au nikiumbelel na kumuhemuhe au ubwege wa kuwazu yanayotuhusu mfano rushwa, mahari kwa watoto wetu na kabira zetu na mila zetu, tozo za vocha, ving'amuzi bando, mihamala ya simu, ya benki; kweli kuna mtu.