Hivi kuna mwanaume mpaka sasa anasimamia kucha saa moja?

Joined
Sep 20, 2022
Posts
34
Reaction score
53
Habari za mchana ndugu zangu.

Kama nilivyoalindika kichwa hapo juu, hivi siku hizi kuna mwanaume anaeweza kujamiana na mwanamke raundi ya kwanza wastani wa saa moja?

Maana mbona kuna malalamiko mengi siku hizi zihusizo nguvu za kiume kupungua?😠

Salaam.πŸ™
 
Mkuu unaufahamu MPUMBU PAKA?,Basi kama huujui njo nikupatie uwe unasimamia unywele siyo ukucha tena!
 
Jitahidi kuwajaribu ipo siku utakutana nao hao wa lisaa limoja au kuzidi, hapa hakuna mtu amewahi kuwajaribu wote akupe majibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…