Hivi kuna mwanaume mpaka sasa anasimamia kucha saa moja?

Hivi kuna mwanaume mpaka sasa anasimamia kucha saa moja?

Mwanamke kufika kileleni inatokana na mambo kadhaa si we mwanaume kuweza kukaa masaa tu, unaweza kukaa lisaa na bado asifike, mwingine ndani dakika 5 tayari amefika usikariri endelea kujifunza kwa kila mwanamke,
 
Habari za mchana ndugu zangu.

Kama nilivyoalindika kichwa hapo juu, hivi siku hizi kuna mwanaume anaeweza kujamiana na mwanamke raundi ya kwanza wastani wa saa moja?

Maana mbona kuna malalamiko mengi siku hizi zihusizo nguvu za kiume kupungua?😠

Salaam.🙏
Saa nzima utakua unachimba madini au😂😂
 
Duniani Hakuna mwanaume anaeenda round ya 1 kwa saa nzima, round ya kwanza inakuwaga fupi Sana maana hapo wazungu wanakuwanga nje nje.

Mimi huwa natumia dakika 20 nimemaliza Cha kwanza.
 
Hao wanawake wenyewe wa 'kukaa hewani' kwa saa moja bado wapo? Ukimpaisha dk 15 nyingi anakwambia kachoka...
Mara adai anaumia nk...
Kiuhalisia hayo maneno ya kuwa sijui wanaume hawana nguvu, ni story za vijiweni. In the contrary wanawake ndio hawana stamina!
 
Duniani Hakuna mwanaume anaeenda round ya 1 kwa saa nzima, round ya kwanza inakuwaga fupi Sana maana hapo wazungu wanakuwanga nje nje.

Mimi huwa natumia dakika 20 nimemaliza Cha kwanza.
Tupo usibishe.
 
Hayo mambo ya kusimamia lisaa nakamia nn?
Mimi wakwangu nikikuandaa cha kwanza kwangu n dakika 10-15 na yeye hapo ashapiga mshindo back to back mara mbili....ya nn kujitesa?
Mapenzi hisia , kama mtu hakufeel hata upige mpaka kesho
 
Duniani Hakuna mwanaume anaeenda round ya 1 kwa saa nzima, round ya kwanza inakuwaga fupi Sana maana hapo wazungu wanakuwanga nje nje.

Mimi huwa natumia dakika 20 nimemaliza Cha kwanza.
LIAR [emoji28][emoji28]
Hakuna mwanaume anayeenda bao la kwanza for more than 3 minutes, labda kama uliwasiliana na CHAPUTA dakika 5 kabla
 
Back
Top Bottom