mzaza
Member
- Mar 13, 2014
- 95
- 84
Kwanini umechagua saa moja?Habari za mchana ndugu zangu.
Kama nilivyoalindika kichwa hapo juu, hivi siku hizi kuna mwanaume anaeweza kujamiana na mwanamke raundi ya kwanza wastani wa saa moja?
Maana mbona kuna malalamiko mengi siku hizi zihusizo nguvu za kiume kupungua?[emoji34]
Salaam.[emoji120]
Na zamani unalinganisha na kipindi gani ulichokuwana na historia nacho?