Hivi kuna mwanaume mpaka sasa anasimamia kucha saa moja?

Kwanini umechagua saa moja?
Na zamani unalinganisha na kipindi gani ulichokuwana na historia nacho?
 
Mm nimezeeka lakini nakamua kwa dk 45.
Anayetaka kutest mitambo ruksa ila asinianhukize magonjwa yenu vijana.
 
Juz tu hapa nikiwa iringa nikavuta mtoto toka pande za mafinga tuka poz zetu pande za country side hatua kadhaa toka ilipo university of iringa (zamani Tumaini)
Mchezo ukaanza saa 7:40 jioni. Kipindi cha kwanza kikaisha saa 10.00 usimu magoli ni hayana hesabu kamili (yeye) ila mimi ni 1 tu..

Kipindi cha pili kilikua kifup kikaanza saa 10:30 usiku mpaka saa 12:15 usiku nikapata goli la 2 yeye hata haijulikani.

Na ni kawaida tuu mimi kwenda kilometer kama hiz ingawa time hii nilikamia sana
 
Mimi nasimamia kucha masaa mawili.
 
Saa nzima unajaribu ku prove nini?
 
Duh saa saba dk arobaini hadi saa kumi mchana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…