GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Nadhani kama Siku ya Hukumuy Kwake Mungu Sebuleni Kwake Mbinguni Wanaume wote tutahukumiwa na hii Dhambi ya Kudanganya / Kuongopa.
Ata wao mkuu wanatudanganya sana
Ila nahisi Sisi ndiyo tumezidi Mkuu kwani kuna muda huwa nikikumbuka Uwongo ambao huwa nawapa Wanawake kama ningehamishia katika Mambo ya Kimaendeleo basi huenda leo hii GENTAMYCINE ningekuwa nakimbizana Kiutajiri na Matajiri Wakubwa wa Afrika kama Aliko Dangote ( Nigeria ) Kaizer Motaung na Patrice Motsepe ( Afrika Kusini ) na Moise Chapwe Katumbi ( Congo DR ) lakini imekuwa ni Kinyume na nimebaki na Ukapuku na Upopoma wangu pekee tu ulionitukuka.
Tatizo la wanawake ukiwaambia ukweli(kuwa sina hela mimi kapuku tu) hawaelewi na atakukataa,ila ukiwadanganya ndo wana kuona we mkweli 😂😂😂.....Kuna mmoja aliniambia bora nimdanganye tu maana nikimuambia ukweli ataumia.Kwahyo mkuu inaonekana ni kitu ambacho wao wanapenda ukitaka kuamini jaribu kutongoza mwanamke halafu umwambie ukweli (mfano umwambie sina future na wewe nataka kukuchezea tu) kama utampata.Nalogout🏃🏃
mie huwaga nawaeleza ukweli mtupu ila baada ya kuwapa tu ukweli wananchomolea but nkirud for the second na uongo wanaelekea kibla
Hata jina unalotumia humu ni la uongo.
Kudanganyenyeje labda?. Si unamtongoza tu kawaida?. Nakuhitaji tuwe marafiki hivyo?. Wala sinaga mambo ya chenga. Chenga za nini kama hapo mkuu?.
Bibi bhana, we mwanaume?Sijapata kuona swali la kijinga kama hili la kwenye uzi huu.
Mtu aweze kutongoza ili afanye dhambi kubwa ya uzinifu lakini ashindwe kudanganya?
Ambae hadanganyi hatongozi anapeleka posa tu.