GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Nadhani kama Siku ya Hukumuy Kwake Mungu Sebuleni Kwake Mbinguni Wanaume wote tutahukumiwa na hii Dhambi ya Kudanganya / Kuongopa. Huwa nikikaa Mwenyewe na Kujitafakari kwa aina ya Uwongo ambao nimekuwa nikiwadanganya na bado naendelea Kuwadanganya Wanawake ili tu ' niwabandue ' najiona kabisa kuwa Siku yangu ya Hukumu naweza Kuchomwa Moto hata mara Milioni kwa jinsi ambayo Baba Mola / Maulana atakavyokuwa na Hasira na Mimi.
Naomba kama kuna Mwanaume ambaye hajawahi Kuongopa / Kudanganya ili aipate ' Mbunye ' ajitokeze hapa nimpe Zawadi.
Naomba kama kuna Mwanaume ambaye hajawahi Kuongopa / Kudanganya ili aipate ' Mbunye ' ajitokeze hapa nimpe Zawadi.