Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #21
Hao wa mitaani wanalipiwa na seriikali ?Wewe nae ni poyoyo. Wanakwenda washabiki wa mitaani kuongeza nguvu, itakuwa waziri?
Ikiwa upinzani ndiyo huo, Mungu isaidie Tanzania.
Inalipa Serikali Na AnalipwaAnalipa yy au serikali? Hapo usikute kuna mademu wanaenda nao kimya kimya
Mademu wa bongomovie na bongo flava hawakosekani mkuu , hawawezi wekwa kwemye listAnalipa yy au serikali? Hapo usikute kuna mademu wanaenda nao kimya kimya
Huwezi kuwaona kbs ila wapoMademu wa bongomovie na bongo flava hawakosekani mkuu , hawawezi wekwa kwemye list
Acha ujinga wewe, sasa unafananisha uwepo wa mashabiki na waziri! Huu upuuzi wa kujipangia matwmbezi binafsi kwa kisingizio cha taifa starz. Huyu alitakiwa kwenda uko kwa gharama zakeWewe nae ni poyoyo. Wanakwenda washabiki wa mitaani kuongeza nguvu, itakuwa waziri?
Ikiwa upinzani ndiyo huo, Mungu isaidie Tanzania.
Asubui tu[emoji38][emoji38][emoji38] unamaanisha tutapigwa mapema ?
Wewe unaumia nini?Usishangae akakaa huko Mpaka mashindano yamalizike [emoji16][emoji1]
Tena akunje na kona kabisa na milango asifunge [emoji1787][emoji1787]Sana yani saana, namsihi Dereva wa ndege hata asizime ndege Chap tu Tanzania wanaludi Home
Ela za wajinga acha ziliwe tu. Maana hapo inaandikwa safari ya kikazi na analipwa accommodation etc. banana republic hizi. Na hakuna wa kumwambia lolote maana wote wanafanya hivyohivyo.Hivi mtu kama Mwana FA ana ushawishi gani hata aifuate Timu ya Taifa kwa madai ya uongo ya kuongeza nguvu ?
Hii nchi mbona kila mahali ni kutafuta fursa?
View attachment 2863041
Mfu anaweza pigwa upepo afufuke tusubirieMpaka yamalizike wapi !! Wakati baada ya Wiki mbili tu......Baad ya mechi 3 kukamilika Tanzania inaludi nyumbani kuendelea na Ratiba nyingne za kimaendeleo