Hivi kuna nchi nyingine zenye matamasha kama haya ya Yanga na Simba day?

Hivi kuna nchi nyingine zenye matamasha kama haya ya Yanga na Simba day?

HOPEfull

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2021
Posts
1,882
Reaction score
2,313
Poleni na heka heka za weekend.

Watu wengine watakuwa hoi bin taabani,wengine ndio kwanza kunakucha na safari za kurudi walikotoka baada ya tamasha la leo pa Simba tarehe 6 aug 2023.

Kesho sijui kama kazi zitafanyika ni mwendo wa kusinzia tu maofisini na kuparaza paraza tu mafaili mradi muda uende.

Turudi juu.Swali nauliza kama niko chekechea je kuna nchi nyingine zenye matamasha kama haya ya kwetu bongo ya hizi timu mbili kubwa ama ni sisi tu bongo.Nazionea huruma hizi timu zingine za ligi yetu sijui zinajionaje.

Zinajiona tudogo sana kama zinasindikiza tu wababe hawa .Hakuna mtu anazingalia maskini zimebaki tu kukodoa macho.Hata govt imezipa kidogo hizi timu tudogo..kuziangalia angalau kwa jicho moja hakuna😟.

Tuendelee..Kifupi naona gharama kubwa sana inatumika pamoja na muda ambao ungeweza kutumika kwa mambo mengine muhimu kwa klabu.
Najua faida inaweza kuwepo lkn duh!"!!!

Anyway nisiongee sana swali ni hilo tu kuwa kama kuna nchi nyingine nazo zina matamasha kama haya hasa afrika najua ulaya hawana haya mambo
wao wako advance sana muda wao mwingi wanatumia kuandaa timu na kusajili tu wachezaji.

Laleni unono.
 
D0ZiNvNXcAAXP5F.jpeg
 
Poleni na heka heka za weekend.

Watu wengine watakuwa hoi bin taabani,wengine ndio kwanza kunakucha na safari za kurudi walikotoka baada ya tamasha la leo pa Simba tarehe 6 aug 2023.

Kesho sijui kama kazi zitafanyika ni mwendo wa kusinzia tu maofisini na kuparaza paraza tu mafaili mradi muda uende.

Turudi juu.Swali nauliza kama niko chekechea je kuna nchi nyingine zenye matamasha kama haya ya kwetu bongo ya hizi timu mbili kubwa ama ni sisi tu bongo.Nazionea huruma hizi timu zingine za ligi yetu sijui zinajionaje.

Zinajiona tudogo sana kama zinasindikiza tu wababe hawa .Hakuna mtu anazingalia maskini zimebaki tu kukodoa macho.Hata govt imezipa kidogo hizi timu tudogo..kuziangalia angalau kwa jicho moja hakuna[emoji45].

Tuendelee..Kifupi naona gharama kubwa sana inatumika pamoja na muda ambao ungeweza kutumika kwa mambo mengine muhimu kwa klabu.
Najua faida inaweza kuwepo lkn duh!"!!!

Anyway nisiongee sana swali ni hilo tu kuwa kama kuna nchi nyingine nazo zina matamasha kama haya hasa afrika najua ulaya hawana haya mambo
wao wako advance sana muda wao mwingi wanatumia kuandaa timu na kusajili tu wachezaji.

Laleni unono.
Uliombwa kuchangia hata kumi moja? Utokolo mumeumia sana
 
Poleni na heka heka za weekend.

Watu wengine watakuwa hoi bin taabani,wengine ndio kwanza kunakucha na safari za kurudi walikotoka baada ya tamasha la leo pa Simba tarehe 6 aug 2023.

Kesho sijui kama kazi zitafanyika ni mwendo wa kusinzia tu maofisini na kuparaza paraza tu mafaili mradi muda uende.

Turudi juu.Swali nauliza kama niko chekechea je kuna nchi nyingine zenye matamasha kama haya ya kwetu bongo ya hizi timu mbili kubwa ama ni sisi tu bongo.Nazionea huruma hizi timu zingine za ligi yetu sijui zinajionaje.

Zinajiona tudogo sana kama zinasindikiza tu wababe hawa .Hakuna mtu anazingalia maskini zimebaki tu kukodoa macho.Hata govt imezipa kidogo hizi timu tudogo..kuziangalia angalau kwa jicho moja hakuna😟.

Tuendelee..Kifupi naona gharama kubwa sana inatumika pamoja na muda ambao ungeweza kutumika kwa mambo mengine muhimu kwa klabu.
Najua faida inaweza kuwepo lkn duh!"!!!

Anyway nisiongee sana swali ni hilo tu kuwa kama kuna nchi nyingine nazo zina matamasha kama haya hasa afrika najua ulaya hawana haya mambo
wao wako advance sana muda wao mwingi wanatumia kuandaa timu na kusajili tu wachezaji.

Laleni unono.
Kwani ina shida gani?
 
Tarehe 23 July Bayern Munich walikua na tamasha la kutambulisha kikosi chao cha Msimu wa 23/24. Pia ilichezwa mechi ya kirafiki kati ya legends wa Bayern dhidi Dortmund.
Nilikuwepo uwanjani, watu walikua wengi na tamasha lilifana.
 
Sio lazima kila tunachokifanya nchini kwetu kifanane na nchi nyingine
Kuwa tofauti ni kitu kizuri.
 
Turudi juu.Swali nauliza kama niko chekechea je kuna nchi nyingine zenye matamasha kama haya ya kwetu bongo ya hizi timu mbili kubwa ama ni sisi tu bongo.Nazionea huruma hizi timu zingine za ligi yetu sijui zinajionaje.
Ni tamasha la Simba Day lilibuniwa na kuanzishwa na mzee Hassan Dalali, ambapo mapato ya mechi ya siku ya tamasha la kwanza aliyatumia kununua uwanja wa Bunju. Hao wengine waliofuata utawauliza na watakujibu wenyewe kuwa walianzaje matamasha yao na yanawasaidiaje

1691383276316.png
 
baada ya makato
Kupata milioni 300 baada ya makato ni uongo.
Mechi ya Simba vs Yanga tu msimu uliopita, uwanja ulitapika lakini mapato jumla ilikuwa 410,645,000 halafu baada ya makato timu mwenyeji ambaye alikuwa ni Simba akaambulia 188,987,181
Sasa kivipi leo timu hizi za Simba na Yanga zikaondoka na maokoto ya milioni 300 baada ya makato? Ni ngumu mkuu
 
Ifike mahala ubunifu wetu tuupe thamani siyo lazima tufanane. Haijalishi hayo matanasha yapo huko kwingine au hayapo lkn je haya ya kwetu yana ubaya gani? Je yanaathiri kitu au yanaongeza kitu? Kama hayaathiri chochote basi walionzisha hizo idea wapewe maua yao.
Soka letu kivyetuvyetu
 
Kupata milioni 300 baada ya makato ni uongo.
Mechi ya Simba vs Yanga tu msimu uliopita, uwanja ulitapika lakini mapato jumla ilikuwa 410,645,000 halafu baada ya makato timu mwenyeji ambaye alikuwa ni Simba akaambulia 188,987,181
Sasa kivipi leo timu hizi za Simba na Yanga zikaondoka na maokoto ya milioni 300 baada ya makato? Ni ngumu mkuu
Mkuu kuhusu mahesabu ni kuwa hizi mechi zinaandaliwa na club zenyewe na ni mali ya club tofauti na za ligi ambazo huandaliwa na TFF ambao huwa na haki nazo na mpaka mgawo wao ndiyo wanapanga na kujimegea pia. Mechi za simba/yanga day mgawo hauendi TFF lakini pia haki za matangazo ya runinga, matangazo ya biashara uwanjani huwa ni mali ya club so hapo kuna faida zaidi ya hapo
 
Mkuu kuhusu mahesabu ni kuwa hizi mechi zinaandaliwa na club zenyewe na ni mali ya club tofauti na za ligi ambazo huandaliwa na TFF ambao huwa na haki nazo na mpaka mgawo wao ndiyo wanapanga na kujimegea pia. Mechi za simba/yanga day mgawo hauendi TFF lakini pia haki za matangazo ya runinga, matangazo ya biashara uwanjani huwa ni mali ya club so hapo kuna faida zaidi ya hapo
Ukitoa gharama wanabaki na kitu kweli?
 
Back
Top Bottom