Hivi kuna nchi nyingine zenye matamasha kama haya ya Yanga na Simba day?

Hivi kuna nchi nyingine zenye matamasha kama haya ya Yanga na Simba day?

Poleni na heka heka za weekend.

Watu wengine watakuwa hoi bin taabani,wengine ndio kwanza kunakucha na safari za kurudi walikotoka baada ya tamasha la leo pa Simba tarehe 6 aug 2023.

Kesho sijui kama kazi zitafanyika ni mwendo wa kusinzia tu maofisini na kuparaza paraza tu mafaili mradi muda uende.

Turudi juu.Swali nauliza kama niko chekechea je kuna nchi nyingine zenye matamasha kama haya ya kwetu bongo ya hizi timu mbili kubwa ama ni sisi tu bongo.Nazionea huruma hizi timu zingine za ligi yetu sijui zinajionaje.

Zinajiona tudogo sana kama zinasindikiza tu wababe hawa .Hakuna mtu anazingalia maskini zimebaki tu kukodoa macho.Hata govt imezipa kidogo hizi timu tudogo..kuziangalia angalau kwa jicho moja hakuna😟.

Tuendelee..Kifupi naona gharama kubwa sana inatumika pamoja na muda ambao ungeweza kutumika kwa mambo mengine muhimu kwa klabu.
Najua faida inaweza kuwepo lkn duh!"!!!

Anyway nisiongee sana swali ni hilo tu kuwa kama kuna nchi nyingine nazo zina matamasha kama haya hasa afrika najua ulaya hawana haya mambo
wao wako advance sana muda wao mwingi wanatumia kuandaa timu na kusajili tu wachezaji.

Laleni unono.
Barcelona wanayo...

Sijajua team nyingine...
 
Mkuu kuhusu mahesabu ni kuwa hizi mechi zinaandaliwa na club zenyewe na ni mali ya club tofauti na za ligi ambazo huandaliwa na TFF ambao huwa na haki nazo na mpaka mgawo wao ndiyo wanapanga na kujimegea pia. Mechi za simba/yanga day mgawo hauendi TFF lakini pia haki za matangazo ya runinga, matangazo ya biashara uwanjani huwa ni mali ya club so hapo kuna faida zaidi ya hapo
hata kama ni mali za klabu ila
VAT lazima ulipe
BMT lazima ulipe
Gharama za tiketi lazima ulipie
Gharama za tamasha
Uwanja lazima ulipie
FA mkoa je?
Wale wageni kuwahudumia na kuwasafirisha je?

TFF umesema hawahusiki, je timu ndio inayopanga juu ya waamuzi wa kuchezesha mechi za tamasha au inakuaje?
 
Poleni na heka heka za weekend.

Watu wengine watakuwa hoi bin taabani,wengine ndio kwanza kunakucha na safari za kurudi walikotoka baada ya tamasha la leo pa Simba tarehe 6 aug 2023.

Kesho sijui kama kazi zitafanyika ni mwendo wa kusinzia tu maofisini na kuparaza paraza tu mafaili mradi muda uende.

Turudi juu.Swali nauliza kama niko chekechea je kuna nchi nyingine zenye matamasha kama haya ya kwetu bongo ya hizi timu mbili kubwa ama ni sisi tu bongo.Nazionea huruma hizi timu zingine za ligi yetu sijui zinajionaje.

Zinajiona tudogo sana kama zinasindikiza tu wababe hawa .Hakuna mtu anazingalia maskini zimebaki tu kukodoa macho.Hata govt imezipa kidogo hizi timu tudogo..kuziangalia angalau kwa jicho moja hakuna😟.

Tuendelee..Kifupi naona gharama kubwa sana inatumika pamoja na muda ambao ungeweza kutumika kwa mambo mengine muhimu kwa klabu.
Najua faida inaweza kuwepo lkn duh!"!!!

Anyway nisiongee sana swali ni hilo tu kuwa kama kuna nchi nyingine nazo zina matamasha kama haya hasa afrika najua ulaya hawana haya mambo
wao wako advance sana muda wao mwingi wanatumia kuandaa timu na kusajili tu wachezaji.

Laleni unono.
Upuuzi kweli,wenzenu wanawa-distract from major issues halafu ninyi bila kujua mnanasa kwenye mtego jamaa wanafanya vitu vyao.Mnaendekeza tamaa za mwili na macho, wakati mwili mtauacha hapa hapa duniani na ni udongo,instead of caring about the spirit,very sad.See and
listen
to the following clip to learn the evil plans of Satan and how you have been trapped.

 
Mpira wa bongo bado una safari ndefu sana maneno maneno mengi kuliko soka lenyewe
Mpira bongo unasafari ndefu kwenda wapi tena?

Kinachokuumiza wewe ni hulka ya binadamu kutojiona mwili wake mpaka wanaomuangalia ndo wamuone

1. NBCPL ni ligi ya tano kwa ubora afrika nyuma ya egypt, morocco, tunisia na algeria kama sikosei.

2. Simba sc ni klbu ya saba kwa ubora africa.

3. Klab ya simba mwaka huu itaanzia raund ya kwanza CAFCL

4. Kwa kuujua ubora wa mpira wa bongo, CAF wameipa Tz heshima ya kuhost show ya ufunguzi wa CAF AFL

Unataka safari ya kwenda wapi tena?

Au unatamani yanga iwe kama bayern, azam iwe kama liverpool na simba iwe kama madrif?

Au unataka coastal union iwe ya kwanza kwa ubora africa?

Watanzania kwa sasa tunatafuta kitu kimoja tuengine yote tushayapata, sio makombe ya CAF bali klab namba 1 kwa ubira africa
 
Mpira bongo unasafari ndefu kwenda wapi tena?

Kinachokuumiza wewe ni hulka ya binadamu kutojiona mwili wake mpaka wanaomuangalia ndo wamuone

1. NBCPL ni ligi ya tano kwa ubora afrika nyuma ya egypt, morocco, tunisia na algeria kama sikosei.

2. Simba sc ni klbu ya saba kwa ubora africa.

3. Klab ya simba mwaka huu itaanzia raund ya kwanza CAFCL

4. Kwa kuujua ubora wa mpira wa bongo, CAF wameipa Tz heshima ya kuhost show ya ufunguzi wa CAF AFL

Unataka safari ya kwenda wapi tena?

Au unatamani yanga iwe kama bayern, azam iwe kama liverpool na simba iwe kama madrif?

Au unataka coastal union iwe ya kwanza kwa ubora africa?

Watanzania kwa sasa tunatafuta kitu kimoja tuengine yote tushayapata, sio makombe ya CAF bali klab namba 1 kwa ubira africai
Inchi hii ufisadi ungepita mbali tungefika mbali sana kisoka.🙄
 
Back
Top Bottom