Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndo kiherehere wa eti maandamano wakati wazalendo tunazungumzia umoja wa kitaifa na uwekezaji mzuri sana wa hawa jamaa wa DP WORLD? Muulizi Kitenge anajua sana ubora wa hawa jamaa kwa kawatembelea kabisa.Yaan unataka nikutaarifu ww kama nani.
🤷♂️Yaan unataka nikutaarifu ww kama nani.
Eti mkuu,Wewe ndo kiherehere wa eti maandamano wakati wazalendo tunazungumzia umoja wa kitaifa na uwekezaji mzuri sana wa hawa jamaa wa DP WORLD? Muulizi Kitenge anajua sana ubora wa hawa jamaa kwa kawatembelea kabisa.
Ww ndio ukamuulize kitenge kwa sababu mnalingana akili.kama uzalendo ndio huo basi kazi ipo.Wewe ndo kiherehere wa eti maandamano wakati wazalendo tunazungumzia umoja wa kitaifa na uwekezaji mzuri sana wa hawa jamaa wa DP WORLD? Muulizi Kitenge anajua sana ubora wa hawa jamaa kwa kawatembelea kabisa.
Kabla ya kukujibu nieleze kwa nini bandari ya Tanga haijahusika wala ile ya Mtwara kwa awamu hii?Eti mkuu,
Kama mkataba wa DP na Bandari zetu tanganyika una faida kubwa, kwa nini Bandari za Zanzibar hazikuingizwa ili tule wote faida?
Hivi wewe ukituangalia unaona kama tunapenda kubadilika Leo ama keshoUnadhani hatuwezi kuwa na dawa?
Kwa nini China kunasheria ya kunyonga majizi, unadhani ni kwa nini walijiwekea sheria hiyo?
Huoni kwamba wao huwenda ni wajuvi wa kuiba kuliko Sisi?
Kwa hiyo umeishiwa hoja siyo?Ww ndio ukamuulize kitenge kwa sababu mnalingana akili.kama uzalendo ndio huo basi kazi ipo.
Hv ugolo siku hz mnaita hoja.Kwa hiyo umeishiwa hoja siyo?
Umeandika kwa hisia sana mkuuHivi wewe ukituangalia unaona kama tunapenda kubadilika Leo ama kesho
Embu kaa masaa kadhaa angalia vijana wa kitanzania mtaani angalia viongozi wetu bungeni angalia wafanyakazi wa uma halafu uniambia kama huo utayar wa kubadilika upo......mabadiliko ni sacrifice siyo kitu Cha kuamua Leo na kesho umebadilika,ni swala la kizazi kimoja kujitoa kwa nguvu zote
Sasa Hawa vijana wanaobet wanaoongozwa na viongozi wa hivyo ndo uwalinganishe na China
Kwa hiyo Kisamv unataka watu wengine ndiyo wawe majasiri ili kuweza kubadili maisha yako weweBongo, ni sehemu hatari sana mtu kufikia ndoto zako inalazimu mtu uwe mwizi!
Maandamano hubadiri hali za kisiasa pia kiuchumi na huleta kuheshimiana kati ya viongozi na wananchi! Lakini wananchi ni waoga kuliko kuku yaani
Lakini kinachokuwa kinafanyika Tanganyika, ni cha kusikitisha na kukatisha tamaa
Kama mwana JF ambaye nimesoma habari yakoYaan unataka nikutaarifu ww kama nani.
Ni kweli nakubaliana nao sasaWazanzibar wanasema sisi ndiyo tunawavuta wasisonge mbele, wangekuwa wao Taifa huru basi Zanzibar, Pemba na Mafia ingekuwa kama Dubai - maana vile visiwa ni purely kwa utalii na uwekezaji - Kilimo cha majaruba ni hapa kwetu Tanganyika.
Kwa hiyo ukiwa ndani lockup ulikuwa unaruhusiwa kutumia simu?Labda nikupe tu tarifa, kati ya walioswekwa lockup nami ni miongoni mwao
Usinifutefate, ninahasira na waogawaoga kama wewe!Kwa hiyo ukiwa ndani lockup ulikuwa unaruhusiwa kutumia simu?
Wewe mwenyewe muoga, maandamano yako yalikuwa na ndani ya Jukwaa la Siasa tu. Kuandika kuwajaza wengine ujingaUsinifutefate, ninahasira na waogawaoga kama wewe!
Ulitishiwa na Magufi ukahama nchi, mwanaume uwe wewe?Wewe mwenyewe muoga, maandamano yako yalikuwa na ndani ya Jukwaa la Siasa tu. Kuandika kuwajaza wengine ujinga